Watu wangemshangaa kama asingempa uwaziri, pia kwenye urais hakuwa na namna maana hali haikuwa hali, hata yeye mwenyewe alisema , walikuwa wanasema sisiem itanifia mkononi ikowapi hata yeye alishukuru, mtafute ShibudaUnapaswa kushangaa kwamba JPM hakuwa rafiki wa JK lakini JK alimpa u waziri na baadaye kuruhusu hata awe rais! Kama Kikwete ana chuki na JPM basi kosa ni la JPM sio la JK. Unaelewa?
Na ule alioitaga harambee tena kanisani na pesa ikachangwaKwani nasema uongo jamani? --- in Magu's voice
Mufti ni kati ya watu wachache waliopata nafasi ya kwenda kuongea nae hospital akiwa mgonjwa siku za mwisho wa uhai wake.
Habari ya msikiti wa Kinondoni unaijua bila shaka.
Shetani anao marafiki wengi sanaLabda ungesema hata shetani anamarafiki, kuhusu Idd Amin hatujui sana ubaya wake maana kwa miaka hii shutuma zake zinautata sana wapo wanaomtetea na wapo wanaomuona ni mtu mbaya.
Sisi Yanga nyuma mwikoWa mbele anakuwa nyuma
TakbiiiiirIddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Huku kwa wapenda vya bure haswaa ndiyo lilikuwa lengo lakeKwani ina maana gadafi alitaka kuleta huku afrika arab,nazation na sio umoja wa afrika???
YawezekanaHuwaga najiuliza kwanini Hawa watu wameamua kuficha huu undugu kiasi hichi?
Ukweli ni kwanba JK na BM ni mtu na mdogo wake, wanashea mama.
Damu ni nzito kuliko maji, ujue!Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Mmm haya ukweli wanaujua wao.Wengine wanasema JK na BM wame share Baba Mama tofauti,sema BM yeye alikua anatumia ubini wa Mama yake!!
Allahu AkbarTakbiiiiir
Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo nchini kwa sasa ni KIKWETE.
Huyu ndio shida kubwa na chanzo cha ufisadi na kushindikana kuwajibishwa mafisadi. Wizara zote CAG alizotaja kuhusika na ufisadi wa kutisha ni vijana wa Kikwete aliyeiteka CCM na mtandao wake wa uhalifu.
Kwani ule mzoga mwingine ulifanywa nini?Mlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo😂😂
Wewe unajiona wa pekee sana. Hujui wapo wengi zaidi yako. Kama ni masuala ya academic performance, upo mbali sana toka kwangu, japo nafahamu kuwa hata mimi wapo wengi wa kunizidi. Mimi nilitoka ni 3As PCM, hraduate degree second best science student, postgraduate degree best MSc student (Geological sciences) University of British Columbia.Ndugu yangu uwezo wangu mkubwa najielewa
O level Tabora boys one 7
A-level mzumbe one 4
Bachelor degree civil engineering UDSM
Masters Highway udsm
Usijifananishe na mimi wewe tahira
Wengi wamejitwika upofu wa akili.Kwahiyo vyuo vyote vimejengwa na Magu?
Hospitali zote zimejengwa na Magu?
Mashule yote yamejengwa na Magu?
Barabara na madaraja yote yamejengwa na Magu?
Mitambo na mabwawa yanayozalisha umeme hivi sasa yamejengwa na Magu?!
Unajua huwa napata mashaka sana na uelewa wa Wafuasi wa Magu!
Let's assume una elimu ya Chuo Kikuu!!
Now, ni infrastructure ipi iliyojengwa na JPM iliyowezesha wewe kuwa na elimu ya chuo ya kikuu, na kwamba, kama siyo hiyo infrastructure, huenda usingekuwa na hiyo elimu?
Nakuuliza kwa sababu kama unajaribu kutuaminisha pasipo na JPM hapawezi kufanyika kitu basi bila shaka hata wewe elimu yako YOTE imewezekana kutokana na misingi iliyojengwa na JPM!
Kama elimu ingekuwa haijanisaidia nisengekuwa na kampuni nje ya nchiWewe unajiona wa pekee sana. Hujui wapo wengi zaidi yako. Kama ni masuala ya academic performance, upo mbali sana toka kwangu, japo nafahamu kuwa hata mimi wapo wengi wa kunizidi. Mimi nilitoka ni 3As PCM, hraduate degree second best science student, postgraduate degree best MSc student (Geological sciences) University of British Columbia.
Lakini la muhimu zaidi ni kwamba performance ya darasani si chochote, kama haiwezi kuakisiwa na maisha yako ya kila siku. Kama unabaki unatukana tukana watu hovyo, hata hizo degree zako zinakuwa hazina maana yeyote kwa yeyote kwa sababu zimeshindwa kukusaidia hata wewe mwenyewe binafsi kjstaarabika na angalao kuweza kuwa hata na hekima ile ya kawaida ambayo hata mtu asiyeenda shule anastahili kuwa nayo. Unaweza kuwa umesoma lakini hujaelimika.