Chipoku
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 254
- 181
AI MISI YUUKipi kirefu alichoelezea Kikwete hapo? Mbona naona nukuu ya sentensi moja tu? Au una lako jambo moyoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AI MISI YUUKipi kirefu alichoelezea Kikwete hapo? Mbona naona nukuu ya sentensi moja tu? Au una lako jambo moyoni?
Wakati profesa Assad anafukuzwa kazi kimakosa JK alikuwa Ana cheo ganiMoja ya matatizo makubwa tuliyonayo nchini kwa sasa ni KIKWETE.
Huyu ndio shida kubwa na chanzo cha ufisadi na kushindikana kuwajibishwa mafisadi. Wizara zote CAG alizotaja kuhusika na ufisadi wa kutisha ni vijana wa Kikwete aliyeiteka CCM na mtandao wake wa uhalifu.
Hapana hata Dr Anord Bisase alimzungumzia tofauti Idd Amin soma kitabu cha Gurdian Angel cha Dr Spero bisasiKwa sababu alikuwa muislamu [emoji1787][emoji1787]
Mm niliona ni ukoloni wa kiarabuHuku kwa wapenda vya bure haswaa ndiyo lilikuwa lengo lake
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kwa maneno mengine: hivi mtu mwenye akili timamu, mmwuungana, aliyeelimika na kustaarabika anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?Hivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?
Na wewe hujui kitu, ni wale wale wa story za kwenye vijiwe vya Kahawa. Ni busara kukaa kimya kuliko kuropoka usiyo na uhakika nayoNi mtu na mdogo wake damu damu
Umemjibu Sahihi KabisaKikwete alipitia changamoto zipi za kimaisha na Magufuli?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Maisha hayako kama unavyotaka wewe.Watu huzaliwa Mama mmoja na bado wanaweza kutokuwa marafiki
Hauna akiliMlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo😂😂
Msikiti wa Dodoma.Na ule alioitaga harambee tena kanisani na pesa ikachangwa
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Mwendakuzimu Jiwe Mungu aliingilia Kati Kuinusuru nchi, hakukuwa na Sababu ya Kuomboleza Bali kurudisha Sifa na utukufu Kwa MunguKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Halafu hawausemeagi kimya kabisa.Msikiti wa Dodoma.
Na yule aliyepokea pesa za Muamary [emoji51] kwa ajili yakugombea uprezidaa na kusilimishwa kabisa sijui aliendaga wapi?Mm niliona ni ukoloni wa kiarabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gwaride afande akisema nyumazzz geuka
Kwani upande wa pili hawana wazee??Kwanza elewa hizi page zinaendeshwa na wasaidi wao, Pili ratiba ya mazishi imeshatoka, wazee wa Lindi wana jambo lao, tutegemee nini baada ya VAR ya wazee? Tukae kitako kwa kutulia.
Ilani ya Chadema inaizungumzia Ccm?Ilani ya CCM ilikuwa inasemaje kuhusu wapinzani kama Lissu, Mbowe na vyama vyao?
Kwasasa Membe ni mwendakuzimu kama jinsi ambavyo mlikuwa mkumuita JPM.Mnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
Msamehe huyo Popoma. Alienda shule kusomea ujingaKipi kirefu alichoelezea Kikwete hapo? Mbona naona nukuu ya sentensi moja tu? Au una lako jambo moyoni?
Unastahili kutunukiwa udaktari wa heshima kutokana na juhudi zako chonganishi.Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Hakumwelezea vizuri kwa sababu magu hakuwa mtu wa circle za kwenye ukachero na alikuwa mtu wa shamba na mgeni ktk ccm. Kimsingi JK alikuwa anamjuajua magu lakini siyo kivile.Mlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo😂😂