Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.

Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.

Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
JPM alikuwa katili tu
 
Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
1684138558121.png
 
Kama elimu ingekuwa haijanisaidia nisengekuwa na kampuni nje ya nchi
Wewe kazi yako kulipwa vijisenti kumtukana Magufuli.
Kwa hiyo wewe elimu imekusaidia kumtukana Magufuli

Kipindi cha Magufuli Tanzania ilikuwa inaheshimika sana huku [emoji1189] ata ukiulizwa unatoka nchi gani unajivunia unasema bila uoga Tanzania but nowadays inafikia hatua hadi tunaukana uraia wetu but tunaipenda Tanzania ndio maana tunatamani tupate viongozi kama Magufuli wenye uchungu na nchi sio wenye tamaa na familia zao.
Mkuu NORWAY gani ilikuwa inaonesha heshima kwa TZ enzi za JPM, acha ufala nimeisha hapo miaka m3 mjini Oslo.

Wadanganye wapumbavu wenzako.
 
Mkuu NORWAY gani ilikuwa inaonesha heshima kwa TZ enzi za JPM, acha ufala nimeisha hapo miaka m3 mjini Oslo.

Wadanganye wapumbavu wenzako.
Kwani msiba mmemaliza embu zikeni kwanza mzoga wenu ndio uje ubishane
 
Back
Top Bottom