Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Aliyekuzalia kwenye mkesha wa mbio za mwengeMamaako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuzalia kwenye mkesha wa mbio za mwengeMamaako.
JPM alikuwa katili tuKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Na kamwe hatuwezi kusahau mabaya aliyo tufanyia kama watanzaniaJPM alikuwa katili tu
PumbafMamaako.
Waeleweshe hawa mama.Mnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
Tulia wewe zao la mbio za mwengeMamaako.
Unaona umepatiaaaaaaaa [emoji2]Mamaako.
Mjanja wa lwamukoma huyo [emoji2] [emoji4] [emoji3]Mamaako.
Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Kuliko asee.Dude la cható lilikuwa katili sanaKuliko JMK Wenu?
Mshamba atabakia kuwa mshamba tuLazima unijue kwani si huwa Nakuchanua Chanu Miguu yako hiyo kwa Oparesheni yangu Tukuka ya Kibaiolojia?
mwenzake waliyepita naye ktk mapito magumu au au Benard Kikwete?Kikwete ameumia mwenzake kufa.
Mkuu NORWAY gani ilikuwa inaonesha heshima kwa TZ enzi za JPM, acha ufala nimeisha hapo miaka m3 mjini Oslo.Kama elimu ingekuwa haijanisaidia nisengekuwa na kampuni nje ya nchi
Wewe kazi yako kulipwa vijisenti kumtukana Magufuli.
Kwa hiyo wewe elimu imekusaidia kumtukana Magufuli
Kipindi cha Magufuli Tanzania ilikuwa inaheshimika sana huku [emoji1189] ata ukiulizwa unatoka nchi gani unajivunia unasema bila uoga Tanzania but nowadays inafikia hatua hadi tunaukana uraia wetu but tunaipenda Tanzania ndio maana tunatamani tupate viongozi kama Magufuli wenye uchungu na nchi sio wenye tamaa na familia zao.
Wakati lisu anapigwa shaba wewe ulikuwa ndotoni?Ila za JPM ni zaukweli?
Kwani msiba mmemaliza embu zikeni kwanza mzoga wenu ndio uje ubishaneMkuu NORWAY gani ilikuwa inaonesha heshima kwa TZ enzi za JPM, acha ufala nimeisha hapo miaka m3 mjini Oslo.
Wadanganye wapumbavu wenzako.
Kwahiyo hilo ndiyo linafanya akose marafiki?Wakati lisu anapigwa shaba wewe ulikuwa ndotoni?
Mzee malcela au????Na yule aliyepokea pesa za Muamary [emoji51] kwa ajili yakugombea uprezidaa na kusilimishwa kabisa sijui aliendaga wapi?
Hapana si yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila na yeye nikipindi cha awamu ya kwanza au yapili aliwahi ingia humo, akawa Rashid [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mzee malcela au????