Kumlipia mtu mahari sio jambo dogo! Ukaribu huo wa Kikwete na Musiba ulitokana na nini?Alimlipia mahali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumlipia mtu mahari sio jambo dogo! Ukaribu huo wa Kikwete na Musiba ulitokana na nini?Alimlipia mahali
Ila wewe [emoji16][emoji3][emoji848][emoji2955][emoji3]Hivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?
hakuwa membe ,Ila membe alijionyesha pale alipokejeli bila woga mwenzake kufa!! Nae kaondoka au yeye alijua ana bima ya kifo!!?Hivi nyie wafuasi na chawa wa Magufuli mnaamini adui wa Jiwe alikuwa Membe , kwanini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hacha kuisafisha aliye isema akuwa na maana hii yako yeye alimainisha wanao kufa ni wabaya akataja adi wazuri walio hai angalia klip hiyo mpaka mwisho.Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.
Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.
Lugha zina utamu wake.
Ndiyo unamnalijua Leo?Mnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
Tulilijuwa alipoondoka janga yule.Ndiyo unamnalijua Leo?
Wazuri hawafi
Ni kweli katiririka sana kumbe ilikuwa ni zuga tu kumwengua alikuwa anajua anachokifanyaKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Ngoja tuoneWazuri hawafi
Mimi natamani kukunyonya mnduku.Belinda jacob una mdomo mzuri kwenye iyo avatar. Nikipata fursa naweza kukunyonya violently hadi nikaushe kinywa chako.
Badilisha iyo avatar faster. Acheni kututamanisha na kutuweka majaribuni wakati huu wa msiba wa taifa.
Hajui kesho yake,amezoea kukenua kinywa,ngoja tuone kwenye huu msiba kama atakenua kinywa kama alivyofanya kwa mzee NkapaKikwete ameumia mwenzake kufa.
Mzee JK ni mtu wa watu, Musiba kipindi hicho alikuwa Chanel ten pale ,akamfuata JK akamueleza shida Basi mzee akamsaidia.Kumlipia mtu mahari sio jambo dogo! Ukaribu huo wa Kikwete na Musiba ulitokana na nini?
Yale ni maumbile yake na siyo kwamba anakenua!!Hajui kesho yake,amezoea kukenua kinywa,ngoja tuone kwenye huu msiba kama atakenua kinywa kama alivyofanya kwa mzee Nkapa
Nimemuelewa sasa baada ya Membe kufarikiHakumuelewa kama nyinyi ambavyo hamjamuelewa.
Inatosha. Alipokuwa kijana inasemwa mjomba alikuwa anashinda kwa marehemu Kimambi "Tiger Motel "!Mmoja alikuwa ni Pimp wa Mademu wa Mwenzake. Naomba niishie hapa tafadhali.
Alikua rafiki yangu kinomanomaHivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?
Ni kweli wazuri hawafi kwa maana ya wema hawafi.Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.
Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.
Lugha zina utamu wake.
Jibu zuri sana kwa watu wasiyo jitambuaYale ni maumbile yake na siyo kwamba anakenua!!
Kama hupendi alivyo, muumbe kivingine!!
Maumbile?, seriously?,wewe mkewe?Yale ni maumbile yake na siyo kwamba anakenua!!
Kama hupendi alivyo, muumbe kivingine!!