Uchaguzi 2020 Kikwete, Mizengo Pinda na Kassim Majaliwa hamna ushawishi wowote kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, huko kwenye kampeni mlikojiingiza mnachorwa tu

Sasa wewe unahangaika nini? Hao wazee wote uliowataja kwa taarifa yako ni viongozi wenye heshima kubwa Sana kwenye taifa hili msifikiri watu wote Wana akili ndogo za kudanganywa na vimaneno vya hovyo hivi watu wenye akili timamu wanawaangalia tu mnayoweweseka
 
Kwanza heshima maana yake nini?
 
Erythrocyte,

Wivu tu! Nanyinyi si muwatume kina mbowe wakamfanyie kampeni lissu. Salum Mwalimu nae aende sehemu yake, Mnyika aende kwake, tuone kama hata nzi atasogea. Kila sehemu inabidi Lissu aende mwenyewe na bado maeneo mengine hana ushawishi.
 
Wivu tu! Nanyinyi si muwatume kina mbowe wakamfanyie kampeni lissu. Salum mwalimu nae aende sehemu yake, mnyika aende kwake, tuone kama hata nzi atasogea. Kila sehemu inabidi Lissu aende mwenyewe na bado maeneo mengine hana ushawishi.
Tunawaonya hao wazee wasije wakamlilia mtu
 
Wanajidhalilisha bure. Jitu limejimilisha chama kimekuwa Cha kihutu, wao ndio walimtuma asiongeze mishahara, asipandishe madaraja, aongeze makato bodi ya mikopo true wanajicholesha tu.
 
Umepaniki
 
Unaanzaje kumuogopa mtu ambaye hata kukutana ulingoni ili mzipige uso kwa uso anaogopa anataka mwenzake aenguliwe ili apate ushindi wa mezani wa viti maalumu???
Akirudi tena nistue
 
....ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge! Maajabu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna kitu huyu former First Lady anakosa nyumbani kwao hivyo anatafuta njia ya kutokuwepo nyumbani kwa kisingizio cha Bunge!!! She does not have the competence to be a useful member of parliament!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…