Kikwete: Mzee Manji kabla hajafa alinikabidhi mwanae Yusuf Manji nimlee!

Wenzetu wataalamu wa Uchumi Wana msemo wao maarufu wa "Mnyororo wa Thamani"

Hii Nchi ili kuendelea itachukua miaka 200 ijayo hadi Vizazi vya hawa ma-borntown vifutike kwenye Uso wa Dunia

Otherwise tutaendelea kuisoma namba πŸ™Œ
Sio rahisi kufutika, wanawaachia watoto wao,angalia list ya viongozi vijana utaona,
 
Wao hawakuwa wazuri? Mzee Manji na Mwanaye wamekufa..!!
 

M.A.P Yusuph Manji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…