Sidhani kama Kubenea amekurupuka !Kwanini ombi la kwanza isiwe kumtaka Kubenea athibitishe madai yake,halafu kama hana ushahidi ndio aombe radhi?kwanini wakimbilie kuombwa radhi tu?
Kinachohojiwa ni mkataba una mambo gani na siyo kwa ''nini mkataba''! Ili Kubenea awe anasema ukweli basi anatakiwa aonyeshe kuwa mkataba ni mzuri ili unapingwa bila sababu.Kwani uongo?
Ni kweli kuwa Kinana anachuma fedha nyingi kwenye bandari kwani ana sehemu yake ya kuweka mzigo ambayo bandari wanaitumia na kumlipa. Sijui ni kisasi gani lakini ni fedha nyingi na inayoingia kiulaini kabisa. Lakini kitu cha kutafakari ni hiki: Watu hawakatai mwekezaji kwenye bandari bali wanakataa vifungu vya mkataba.Hawa ndiyo wenye nchi. Kitendo cha Kubenea kuwagusa hawa maswahiba ni kulipata la kulitafuta.
Kwenye ukoo wake kutokuwa na mtu mwenye sifa kama hizo ndiyo kunawafanya wawe watu wazuri? Wabongo hoja zetu huwa ni za kijinga kweli kweli! Ndiyo maana unakuta profesa mzima akienda kwenye mahakama za nje anakuwa kama mzee wa kijijini kihoja.Tutajie mmoja kwny ukoo wenu mwenye robo ya CV za hawa watu
Hawa wazee wanajisafisha kwa umma kupitia gazeti la kibaraka wao Said kubenea
Ni mjinga na mpumbavu tu atakayeamini Rais samia anaweza kufanya mambo haya bila baraka za kikwete na kinana samia hawezi kufanya kitu chochote nchi hii
Samia anaweza kuteua mkuu wa wilaya bila kumuuliza kikwete lkn sio hili la mkataba unaoelekea kuuza nchi kwa waarabu
Tunajua bila kikwete,samia asingekuwa makamo wa Rais
Hawa wazee wanajisafisha ili baadae wawe wamejiwekea kinga ya kutokuhisishwa.
TANGANYIKA inaangamizwa
HII HUIJUITutajie mmoja kwny ukoo wenu mwenye robo ya CV za hawa watu
Acha kujifariji, Wale kina Kinana na Jakaya sio level zako wala z ukoo wakoHII HUIJUI
Baki hapo hapo endelea kuwa chawa wa binadamu mwenzio
Nishasema hawana lolote hao
Kwanza sijui kwa nini najibizana na mtu kama wewe mwenye low IQAcha kujifariji, Wale kina Kinana na Jakaya sio level zako wala z ukoo wako
unajifanya eti kuwashauri sijui watumie busara sijui hekima โฆhawahitaji ushauri wa kapuku wameajiri watu rasmi professional wa kuwashauri kwny kila eneo
hawahitaji Volunteer wa kuwashauri
Chuki za kujinga huwa hazina mwisho mzuri, wanaweza kukuumiza ukalazwa muhimbili mwezi mzima ukiugulia maumivu.Hawa wastaafu tulikuwa tunawasubiri Sana waingie kwenye 18. Acha tukutane mahakamani watakutana na akina Lissu, Kibatala, Mwabukusi na wengineo
Hiyo Tanganyika haimtambui Kikwete kuwa ni mmoja wa marais wastaafu?.Hawa wazee wanajisafisha kwa umma kupitia gazeti la kibaraka wao Said kubenea
Ni mjinga na mpumbavu tu atakayeamini Rais samia anaweza kufanya mambo haya bila baraka za kikwete na kinana samia hawezi kufanya kitu chochote nchi hii
Samia anaweza kuteua mkuu wa wilaya bila kumuuliza kikwete lkn sio hili la mkataba unaoelekea kuuza nchi kwa waarabu
Tunajua bila kikwete,samia asingekuwa makamo wa Rais
Hawa wazee wanajisafisha ili baadae wawe wamejiwekea kinga ya kutokuhisishwa.
TANGANYIKA inaangamizwa