Kikwete na Kinana wamtaka Kubenea na MwanaHalisi Kuomba Radhi kwa madai ya kuwalipa wanaopinga Mkataba wa Bandari

Kikwete na Kinana wamtaka Kubenea na MwanaHalisi Kuomba Radhi kwa madai ya kuwalipa wanaopinga Mkataba wa Bandari

Hapana, tuachane na sifa hiyo ya "unyonge".

Hii ni nchi yetu, hatuwezi kuwa tunachezewa na watu wapuuzi wa namna hii eti sisi ni wanyonge.

Hawa ni watu wa kuwatia adabu.
Kweli kabisa shikamoo mdau
 
Yeye ndo aamue either kuomba radhi au kuthibitisha madai yake
Kwa viongozi wakubwa kwenye jamii kama hao huwezi kukimbilia haraka kuombwa radhi sababu sababu inaweza kutafsiriwa kama umemtisha aliyeandika hivyo ili kuweka uwazi na kuaminika unamtaka aliyekutuhumu athibitishe au akishindwa aombe radhi,sasa hapo hata akiomba radhi watu watajua kweli uliandika uongo,ila hapa hata akiomba radhi itaonekana kama kashinikizwa.
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya 4 Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana wamemwandikia Barua Saed Kubenea na Gazeti lake la Mwana Halisi wakimtaka kutimiza madai yao mawili ambayo ni 1. Kufuta Kashfa Dhidi yao na Kuomba Radhi 2. Kuahidi Kuacha Kuwakashifu kutokana na chapisho la kuwahusisha na kupinga Uwekezaji wa Dubai katika Bandari za Tanzania.

Kwa mujibu wa Barua ya Ofisi ya Mawakili ya Eric S. Ng'maryo Advocates, Kubenea na Kampuni yake hiyo wanadaiwa kuchapisha taarifa katika Gazeti Namba 413 Alhamisi ya Julai 20, 2023 mpaka 26 Julai likiwa kashfa zilizoelezwa kuwafedhehesha, kutweza na kuwashushia hadhi viongozi hao.

Aidha, barua hiyo imesema Gazeti la Mwana Halisi limechapisha taarifa kuwa Kikwete na Kinana wamekuwa wakiwalipa watu fedha ili waendelee kupinga uwekezaji wa Bandari.
View attachment 2712977

View attachment 2713071View attachment 2713072View attachment 2713073View attachment 2713074View attachment 2713075View attachment 2713076View attachment 2713077View attachment 2713078
Huyu Kubebea Huwa hajifunzi tuu? Hiki kigazeti si kilifungiwa had mwaka Bado?
 
Hawa wastaafu tulikuwa tunawasubiri Sana waingie kwenye 18. Acha tukutane mahakamani watakutana na akina Lissu, Kibatala, Mwabukusi na wengineo
Lissu ni TIMU kikwete chama cha chadema ni cha kikwete so hakuna kitu hapo huyo ni mnafiki magufuli akajua ndio akafanya kile kitendo
 
KIKWETE NA KINANA KUMSHTAKI SAED KUBENEA NA GAZETI LA MWANAHALISI KAMA WASIPO OMBA RADHI.

Hii ni baada ya Gazeti linalohahaririwa na kubenea kuwatuhumu Kikwete na Kinana Kuwa ndio wanaokwamisha Mkataba wa Bandari kati ya DUBAI na TANZANIA.

Regards.
 

Attachments

Ebu ngoja kwanza nimalize kunywa uji alafu nije nikomenti...
 
Ebu ngoja kwanza nimalize kunywa uji alafu nije nikomenti...
Mfyuuu
20230810_074412.jpg
 
Huyu Kubenea aliponea chupuchupu macho yake kupofuka kabisa kwa kumwagiwa tindikal katika awamu ya nne.

Sasa kwa uchokozi huu mwingine kwa watu wale wale, Kubenea anaweza kupumzishwa kabisa.
Kuwadi yupo kazini achawafu wazikane wao kwa wao!
Kubenea ni 'musiba' wa awabu ya 6!
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya 4 Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana wamemwandikia Barua Saed Kubenea na Gazeti lake la Mwana Halisi wakimtaka kutimiza madai yao mawili ambayo ni 1. Kufuta Kashfa Dhidi yao na Kuomba Radhi 2. Kuahidi Kuacha Kuwakashifu kutokana na chapisho la kuwahusisha na kupinga Uwekezaji wa Dubai katika Bandari za Tanzania.

Kwa mujibu wa Barua ya Ofisi ya Mawakili ya Eric S. Ng'maryo Advocates, Kubenea na Kampuni yake hiyo wanadaiwa kuchapisha taarifa katika Gazeti Namba 413 Alhamisi ya Julai 20, 2023 mpaka 26 Julai likiwa kashfa zilizoelezwa kuwafedhehesha, kutweza na kuwashushia hadhi viongozi hao.

Aidha, barua hiyo imesema Gazeti la Mwana Halisi limechapisha taarifa kuwa Kikwete na Kinana wamekuwa wakiwalipa watu fedha ili waendelee kupinga uwekezaji wa Bandari.
View attachment 2712977

View attachment 2713071View attachment 2713072View attachment 2713073View attachment 2713074View attachment 2713075View attachment 2713076View attachment 2713077View attachment 2713078
Sakata limefika patamu sana,

Niliwahi Sema, ukiweka chakula kingi kwenye sahani moja, usitegemee mapaka Yale chakula bila kuparuana.

Hatimaye HAKI itaibuka mshindi.

Tusubiri!!!
 
Na ndio maana wamemwambia awaombe radhi kwa kusema uongo. Kama hatafanya hivyo, maana yake ana ushahidi na akipelekwa mahakamani atautoa. Ni kama alivyofanya Balozi Membe kwa Mzee wa Majita!
Unaamini hao wazee wanaweza kwenda court?

Umesahau ya maembe?
 
Hiki kigazeti Cha huyu mpuuzi sijui Kwa nini kinaandikaga habari za kuchafua watu.

Kwani analipwa na nani? Mambo ya Bandari Muandikeni Samia ila.kwa stori za kweli sio kubumba.

Huyu ashikishwe adabu kama yule vuvuzela wa Mwendazake na kigazeti kifutwe kabisa

Wanaochafuliwa Wana MAVAZI MEUPE au KANIKI?
 
Hawa wazee wanajisafisha kwa umma kupitia gazeti la kibaraka wao Said kubenea

Ni mjinga na mpumbavu tu atakayeamini Rais samia anaweza kufanya mambo haya bila baraka za kikwete na kinana samia hawezi kufanya kitu chochote nchi hii

Samia anaweza kuteua mkuu wa wilaya bila kumuuliza kikwete lkn sio hili la mkataba unaoelekea kuuza nchi kwa waarabu

Tunajua bila kikwete,samia asingekuwa makamo wa Rais
Hawa wazee wanajisafisha ili baadae wawe wamejiwekea kinga ya kutokuhisishwa.

TANGANYIKA inaangamizwa
Director Hasa wa movie ya wa DP World ni nani???!!!
 
Wale mnaojificha nyuma ya ID feki kutukana, msifikiri mkitakikana mtashindwa kupatikana.

Msiseme hamkuambiwa.
 
Back
Top Bottom