Kenney
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 295
- 174
Muombe tu na yeye asijekusema namuachia Mungu!Kubenea amewachafuaje hao wazee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muombe tu na yeye asijekusema namuachia Mungu!Kubenea amewachafuaje hao wazee?
Huyu Kubenea aliponea chupuchupu macho yake kupofuka kabisa kwa kumwagiwa tindikal katika awamu ya nne.
Sasa kwa uchokozi huu mwingine kwa watu wale wale, Kubenea anaweza kupumzishwa kabisa.
Hawa ndiyo wenye nchi. Kitendo cha Kubenea kuwagusa hawa maswahiba ni kulipata la kulitafuta.
Same mistake ya dodo, sijui kwanini hatujifunzi.Rais Mstaafu wa Awamu ya 4 Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana wamemwandikia Barua Saed Kubenea na Gazeti lake la Mwana Halisi wakimtaka kutimiza madai yao mawili ambayo ni 1. Kufuta Kashfa Dhidi yao na Kuomba Radhi 2. Kuahidi Kuacha Kuwakashifu kutokana na chapisho la kuwahusisha na kupinga Uwekezaji wa Dubai katika Bandari za Tanzania.
Kwa mujibu wa Barua ya Ofisi ya Mawakili ya Eric S. Ng'maryo Advocates, Kubenea na Kampuni yake hiyo wanadaiwa kuchapisha taarifa katika Gazeti Namba 413 Alhamisi ya Julai 20, 2023 mpaka 26 Julai likiwa kashfa zilizoelezwa kuwafedhehesha, kutweza na kuwashushia hadhi viongozi hao.
Aidha, barua hiyo imesema Gazeti la Mwana Halisi limechapisha taarifa kuwa Kikwete na Kinana wamekuwa wakiwalipa watu fedha ili waendelee kupinga uwekezaji wa Bandari.
View attachment 2712977
DuhIfike wakati tuzungumze ukweli ,hasa kwenye masuala kama haya ambayo yanagusa wananchi moja kwa moja ,bila kujali utofauti uliopo kati yetu iwe kidini ,kikabila na kiitikadi. Kwanza kabisa lazima kila mtu aelewe kwamba nnachotaka kuzungumza hapa kitu ambacho wengi hawakijui, kiasi kwamba mimi mwenyewe sijui nataka kuongea nini.
Asanteni sana.
Sukule la wanasiasa uchwara, umekuja kucheua pumba zako ulizomezeshwa na mabwana zako huko porini. Tatizo vijana wengi mnagombania kuwa watumwa wa fikira za wanasiasa uchwara ili mpate viji Like kutoka kwa misukule mingine ya wanasiasa uchwara hao.Hawa wazee wanajisafisha kwa umma kupitia gazeti la kibaraka wao Said kubenea
Ni mjinga na mpumbavu tu atakayeamini Rais samia anaweza kufanya mambo haya bila baraka za kikwete na kinana samia hawezi kufanya kitu chochote nchi hii
Samia anaweza kuteua mkuu wa wilaya bila kumuuliza kikwete lkn sio hili la mkataba unaoelekea kuuza nchi kwa waarabu
Tunajua bila kikwete,samia asingekuwa makamo wa Rais
Hawa wazee wanajisafisha ili baadae wawe wamejiwekea kinga ya kutokuhisishwa.
TANGANYIKA inaangamizwa
Kuna watu hawana albu, hawa wazee wametajwa sana kashfa nyingi lakini hawana aibu nadhani kiburi cha pesa wanazo miliki na vyeo. Yana mwisho ipo siku mungu atasikia manung'uniko ya wanyongeRais Mstaafu wa Awamu ya 4 Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana wamemwandikia Barua Saed Kubenea na Gazeti lake la Mwana Halisi wakimtaka kutimiza madai yao mawili ambayo ni 1. Kufuta Kashfa Dhidi yao na Kuomba Radhi 2. Kuahidi Kuacha Kuwakashifu kutokana na chapisho la kuwahusisha na kupinga Uwekezaji wa Dubai katika Bandari za Tanzania.
Kwa mujibu wa Barua ya Ofisi ya Mawakili ya Eric S. Ng'maryo Advocates, Kubenea na Kampuni yake hiyo wanadaiwa kuchapisha taarifa katika Gazeti Namba 413 Alhamisi ya Julai 20, 2023 mpaka 26 Julai likiwa kashfa zilizoelezwa kuwafedhehesha, kutweza na kuwashushia hadhi viongozi hao.
Aidha, barua hiyo imesema Gazeti la Mwana Halisi limechapisha taarifa kuwa Kikwete na Kinana wamekuwa wakiwalipa watu fedha ili waendelee kupinga uwekezaji wa Bandari.
View attachment 2712977
View attachment 2713071View attachment 2713072View attachment 2713073View attachment 2713074View attachment 2713075View attachment 2713076View attachment 2713077View attachment 2713078
Hapana, tuachane na sifa hiyo ya "unyonge".Kuna watu hawana albu, hawa wazee wametajwa sana kashfa nyingi lakini hawana aibu nadhani kiburi cha pesa wanazo miliki na vyeo. Yana mwisho ipo siku mungu atasikia manung'uniko ya wanyonge
Hii hapa imekaa sawa kweli, au ni mchanganyiko malum, kama kachumbali?Aidha, barua hiyo imesema Gazeti la Mwana Halisi limechapisha taarifa kuwa Kikwete na Kinana wamekuwa wakiwalipa watu fedha ili waendelee kupinga uwekezaji wa Bandari.
Sina hakika kama nawe unayawaza ninayoyawaza yanafanyika kwenye 'movie' hii!Hilo gazeti lilitumika sana kumshambulia Mh Lowasa enzi za awamu ya 4, hao wanafahamiana vyema, kuna mchezo tu hapa.