Kanikela sana juu ya ajira anatayarisha watanzania kuwa wamachinga na wafunua vizibo. Tutaleeeeeeeeeeewa hadi ...........!!!!!!!!!:y
Jamani hivi ninyi mlitaka aulizwe maswali gani?
anadesa huyoooooooooooooooo
How come maswali na majibu ya asubuhi na sasa yanafanana????????????
1. Yeye ni kiongozi mkuu wa serikali, moja ya mihimili ya utawala. Anapopita kuwatangaza watuhumiwa walioko mahakamani kama wachapa kazi haoni kuwa itaiwea vigumu mhimili mwingine wa dola, yaani mahakama, kuwahukumu ipasavyo watuhumiwa hao?Jamani hivi ninyi mlitaka aulizwe maswali gani?
duh, sina rais.
HAYA MASWALI AMEANDALIWA, CAUSE ANASOMA, yaaaaaaaaaaa ANADESA, rais mwenye IQ ndogo, anachekacheka ovyooooooooo
Kwani wananchi wengine hawapo?? Mbona ni hawa waandishi tu walioandaliwa? Mods tunaomba ruksa tuonyeshe jazba zetu hapa??