Kaanza hadithi za sungura na fisi....HAJAFUNDISHWA ku-summarize mambo, halafu yeye kwake maisha ni nje tu!!! kaitaja India kule alikoleta IT specialist! kaitaja China kuwa itatusaidia kujenga hospitali kaitaja na marekani kuwa wataleta madaktari toka huko!! hajataja watanzania wangapi watakua specialist