Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Mdahalo wa leo wa JK mi nimeona kama hotuba vile kwani hata jinsi ulivyoendeshwa ni tofauti kabisa na ule wa rosemary. Haujanoga wala nini, ni viongozi tupu na watu wenye kipato kipato ndo wamehudhuria.
 
Jamani naombeni maombi yenu nisije kupata majinamizi usiku huu kutokana na haya mazungumzo yake
 
naona bodgurd amechukua MADESA YA JK ALIOKUA AKITUMIA
 
rai kwa watanzania:
nchi ina heshima na sifa ya kufanya chaguzi kwa amani.
unguja pemba mambo shwaari kabisa.
Hesima idumiswe.
baada ya matokeo kutoka watu waheshimu matokeo. Fursa ya kuiba ni ndogo ila mpaka uwe na maarifa makubwa sana.

watu wajitokeze mchague nani awe diwani.
Iije ikawa kama mambo ya mrisho mpoto. watu hamjapiga kura kisha mnapiga mayowe.

Hali ya mambo ya kidini huko siko. Nchi itagawanyika
 
Kumbe haukuwa mkutano wa kampeni bana... amepewa nafasi ya kuomba kura mwishoni lakini ameamua kutoa rai kwa taifa badaka ya kuomba kura. Na mesisitiza wananchi wamchague yule wanayeona anafaa na hakusema wamchague yeye... sijui yeye hafai!
 
Kinana haamini macho yake... he is dumbstruck...anatamani ardhi ipasuke.. anatamani hata amnyang'anye mic....
Hata mie nilitamani kufanya hivyo ndo maana ni-change channel kwenda supersport, jamaa hajatundea haki kabisa watz
 
maskini jeykey kweli leo nimeamini udikta wa kupewa ni matatizo tupu
 
hivi kikwete ana kigugumiz?na je,ni kweli mafisadi wote wapo mahakamani?
Mi nazani apewe shavu na akina masanja nae awe anapiga shoo za komedy
 
Wanaume huwa live kwenye tv na maswali kutoka kwa wananchi kwa njia ya simu, hujui atakuuliza nini na wakati gani, lakini wanaume wanajibu kwa kujiamini. Aah aaaah ndio maana walikimbia midahalo oooh .....
 
Amenifurahisha jambo moja: tarehe 31 October 2010 kamchague unayemtaka!
 
Vumilia aibu ni ya taifa. manake huyo ndo anakaa Magogoni, na hii coverage kubwa alopewa inaonekana hata nje ya nchi; sijui wanatutizama vipi? Watu wakifikiria aina ya maswali yaliyoulizwa na majibu yanayotolewa; aibu ni kubwa mno.

Kweli hili ni janga la Kitaifa!!!
E mola tuepushe na janga hili.....
 
Back
Top Bottom