Kikwete (Rais Mstaafu) ni Muungwana kuliko, mwenye huruma na utu uliopitiliza

Kikwete (Rais Mstaafu) ni Muungwana kuliko, mwenye huruma na utu uliopitiliza

Unamjua mtu anaitwa Rugemalira?

Akitembea anatembea na rozari ile ya Roman Catholic huku anasali kashikilia rozari.

Aligawa pesa kama Mansa Musa. Mpaka wenzake wakamuambia punguza kaka, utashusha chini thamani ya pesa na kuharibu viwango rasmi ya hongo vinavyoeleweka.
Ule mzigo wa ESCROW ulishusha sana thamani ya pesa ya Tanzania dhidi ya dola, nilikuwa PCCB mwaka 2014 na kigogo mmoja akanipa tafiti zilizofanywa. Sasa bwana, wana habari walivyomfuata Bishop Kilaini kuuliza kwanini alipokea pesa za Rugemalira, akasema mbona hizi ni kidogo, kwamba Rugemalira hutoa mamilioni ya fedha kama sadaka. Don ambaye ni Stingy hapa TZ ni Andrea wa Bariadi.​
 
Ule mzigo wa ESCROW ulishusha sana thamani ya pesa ya Tanzania dhidi ya dola, nilikuwa PCCB mwaka 2014 na kigogo mmoja akanipa tafiti zilizofanywa. Sasa bwana, wana habari walivyomfuata Bishop Kilaini kuuliza kwanini alipokea pesa za Rugemalira, akasema mbona hizi ni kidogo, kwamba Rugemalira hutoa mamilioni ya fedha kama sadaka. Don ambaye ni Stingy hapa TZ ni Andrea wa Bariadi.​
Huyu mzee alikuwa anakuja nyumbani kuongea na mshua wangu. Zamani sana kabla ya haya mambo ya Escrow. Miaka ya mwanzo ya 1990s.

Sasa, ikafika wakati nikawa simuoni.

Nikamuuliza mshua. Mbona yule rafiki yako Mzee Rugemalira simuoni kuja nyumbani siku hizi?

Mshua akaniambia, mwanangu, unajua dunia hii kuna marafiki wengine wanakuwa marafiki kwa kutaka kitu fulani kwako, wakikikosa, na urafiki wao unaisha.

Basi kwa miaka mingi jibu lile lilikuwa kitendawili kwangu, nilikuwa sijalielewa vizuri.

Baadaye sasa kwenye hii issue ya Rugemalira kugawa pesa kama hana akili nzuri, ndiyo nikajumlisha moja na moja kupata mbili, kwamba huyu mzee alitaka kumhonga mshua wangu apate favors fulani, mshua akamkatalia.
 
Huyu mzee alikuwa anakuja nyumbani kuongea na mshua wangu. Zamani sana kabla ya haya mambo ya Escrow. Miaka ya mwanzo ya 1990s.

Sasa, ikafika wakati nikawa simuoni.

Nikamuuliza mshua. Mbona yule rafiki yako Mzee Rugemalira simuoni kuja nyumbani siku hizi?

Mshua akaniambia, mwanangu, unajua dunia hii kuna marafiki wengine wanakuwa marafiki kwa kutaka kitu fulani kwako, wakikikosa, na urafiki wao unaisha.

Basi kwa miaka mingi jibu lile lilikuwa kitendawili kwangu, nilikuwa sijalielewa vizuri.

Baadaye sasa kwenye hii issue ya Rugemalira kugawa pesa kama hana akili nzuri, ndiyo nikajumlisha moja na moja kupata mbili, kwamba huyu mzee alitaka kumhonga mshua wangu apate favors fulani, mshua akamkatalia.
Daah, literally Rugemalira bought an entire government. Wewe ushawahi kuona wapi mahamakama inaendeshwa saa nane usiku ? Basi ndivyo ilivyofanyika High Court Commercial Division ambapo bwana Rugemalira alifanya Voluntary Winding Up ya kampuni lake bila hata Creditors kutoka nje kushirikishwa. Marehemu Jaji Utamwa akamaliza kazi, asubuhi watu wanaamka vitabu vya kampuni vimefungwa na akaunti ya ESCROW imeshatangazwa kuwa ni mali ya mtu siyo serikali. Wahuni wakagawana pesa kama mikate na samaki za Yesu, it was a frenzy.

Bwana Yohana alivyoingia madarakani and His gospel of envy, aah walizitapika. Ulikuwa unaitwa kule juu BoT unamkuta anakusubiri. Sasa akikwambia toa pesa ukakataaa inakula kwako. Kiufupi Rugemalira ameua career za watu wengi mno na mapesa yake. Kuna majaji walilazimishwa kujiuzulu kisa Ruge aliwapa milionI 400, eti mchango wa harusi. Mzee wako aliona mbali, angelambishwa tu mlungula ingekula kwake hadi kwenu.​
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.


Historia, urafiki na usaliti wake kwa Lowasa unakataa unachosema.
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Kikwete huyu huyu? Usidanganyike na ile smile, jamaa ni mnafiki mno
 
Daah, literally Rugemalira bought an entire government. Wewe ushawahi kuona wapi mahamakama inaendeshwa saa nane usiku ? Basi ndivyo ilivyofanyika High Court Commercial Division ambapo bwana Rugemalira alifanya Voluntary Winding Up ya kampuni lake bila hata Creditors kutoka nje kushirikishwa. Marehemu Jaji Utamwa akamaliza kazi, asubuhi watu wanaamka vitabu vya kampuni vimefungwa na akaunti ya ESCROW imeshatangazwa kuwa ni mali ya mtu siyo serikali. Wahuni wakagawana pesa kama mikate na samaki za Yesu, it was a frenzy.

Bwana Yohana alivyoingia madarakani and His gospel of envy, aah walizitapika. Ulikuwa unaitwa kule juu BoT unamkuta anakusubiri. Sasa akikwambia toa pesa ukakataaa inakula kwako. Kiufupi Rugemalira ameua career za watu wengi mno na mapesa yake. Kuna majaji walilazimishwa kujiuzulu kisa Ruge aliwapa miliono 400, eti mchango wa harusi. Mzee wako aliona mbali, angelambishwa tu mlungula ingekula kwake hadi kwenu.​
Mkuu inaonekana ulikuwepo kwenye kuchuja mafaili wewe 🤣🤣🤣

Kuna kaka yangu mmoja aliongoza kitengo Mwanza. Yule jamaa alipotea hata Social Media huwezi kumuona.
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Tuondolee upuuzi wako hapa, Kikwete yupi huyo....Jakaya huyu huyu msanii? Jichunge dogo, usimuamini Jakaya hata kidogo.
 
Unamjua mtu anaitwa Rugemalira?

Akitembea anatembea na rozari ile ya Roman Catholic huku anasali kashikilia rozari.

Aligawa pesa kama Mansa Musa. Mpaka wenzake wakamuambia punguza kaka, utashusha chini thamani ya pesa na kuharibu viwango rasmi ya hongo vinavyoeleweka.
Huyu mwamba alisimamia harus ya binti moja hv ndugu yake ukumbini zilikuja kupaki semi mbili za bia moja local moja imported honeymoon kawapeleka dubai mwezi mzima kilichotuuma bwana harusi alikua mshamba mshamba tu wa mtaani
 
Huyu mwamba alisimamia harus ya binti moja hv ndugu yake ukumbini zilikuja kupaki semi mbili za bia moja local moja imported honeymoon kawapeleka dubai mwezi mzima kilichotuuma bwana harusi alikua mshamba mshamba tu wa mtaani
Rugemalira kafanya biashara ya kuingiza bia tangu enzi za Mwinyi.

Kwa hivyo harusi zake bia mnaweza kuoga.
 
Daah, literally Rugemalira bought an entire government. Wewe ushawahi kuona wapi mahamakama inaendeshwa saa nane usiku ? Basi ndivyo ilivyofanyika High Court Commercial Division ambapo bwana Rugemalira alifanya Voluntary Winding Up ya kampuni lake bila hata Creditors kutoka nje kushirikishwa. Marehemu Jaji Utamwa akamaliza kazi, asubuhi watu wanaamka vitabu vya kampuni vimefungwa na akaunti ya ESCROW imeshatangazwa kuwa ni mali ya mtu siyo serikali. Wahuni wakagawana pesa kama mikate na samaki za Yesu, it was a frenzy.

Bwana Yohana alivyoingia madarakani and His gospel of envy, aah walizitapika. Ulikuwa unaitwa kule juu BoT unamkuta anakusubiri. Sasa akikwambia toa pesa ukakataaa inakula kwako. Kiufupi Rugemalira ameua career za watu wengi mno na mapesa yake. Kuna majaji walilazimishwa kujiuzulu kisa Ruge aliwapa miliono 400, eti mchango wa harusi. Mzee wako aliona mbali, angelambishwa tu mlungula ingekula kwake hadi kwenu.​
Hizo ndo dili za mjini sasa!
 
Ma Don wa Mafia wale Mafioso Capo di Tutti Capi lazima wawe hivyo.

Wako active sana kanisani, wanasaidia sana jamii.

Lakini kwenye u Mafia sada...
umenikumbusha habari za Christopher Michael Coke aka Dudus.

jamaa alikuwa ni msaada mkubwa sana kwa jamii yake ya Tivoli Gardens kiasi cha kufunga mitaa ili askari wasiweze kwenda kumkamata.
 
Jakaya Mrisho Kikwete,Namkubali sana huyu mzee,Mzee yuko smart sana kichwani aisee,Strategies anazotumia ili kuendelea kusurvive zinanifanya nimkubali mpaka kesho.

Ndani ya C.C.M kwa sasa sioni mtu yeyote anayeweza kupambana na huyu mzee strategically,labda wasubiri aishiwe nguvu kabisa kama MUGABE😁
A MAN WILL DIE NATURALLY.
 
Back
Top Bottom