Kikwete (Rais Mstaafu) ni Muungwana kuliko, mwenye huruma na utu uliopitiliza

Kikwete (Rais Mstaafu) ni Muungwana kuliko, mwenye huruma na utu uliopitiliza

Mkuu hii simulizi inatufunza kitu. Ipo siku ataingia Yohana mwingine pale ofisi kuu atawatapisha watu pesa ya DP World.
Tunaombea sana, nchi ikiwa haina mtu imara inakoswa kuheshimika ndani na nje ya mipaka
 
Unamjua mtu anaitwa Rugemalira?

Akitembea anatembea na rozari ile ya Roman Catholic huku anasali kashikilia rozari.

Aligawa pesa kama Mansa Musa. Mpaka wenzake wakamuambia punguza kaka, utashusha chini thamani ya pesa na kuharibu viwango rasmi ya hongo vinavyoeleweka.
Yule Muhaya alizidisha sifa sasa.
Anahonga hadi maaskofu?
 
Nchi hii inahitaji uongozi imara na thabiti na si uongozi wa kuuma na kupuliza kama wa JK. Yule mzee hakuwa na hayuko kwa maslahi ya nchi yaani yeye ni maslahi yake binafsi na watu wake. Kaiibia nchi na kuitia hasara sana.
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Kikwete!!!kweli tunamjua!

Aliiba na wenzake hata masikini wa chini alijitahidi wizi ukawafikia!

Matajiri waliowengi was Sasa na wenye unafuu was maisha ni matokeo ya utawala wake!

Maisha Bora kwa kila mtanzania!!

Namuombea walau auone umri wa mwinyi senior!!
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Kikwete ni msanii tu, hana lolote. Hakuna rais mnafiki kama yeye
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Kama umetumwa kamwambie aliyekutuma atuondolee hii kero ya foleni ya Kibaha Vigwaza. Uwezo huo anao.
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
hahahaa mh! napita tu, me napenda movie za mauaji na ujasusi
 
Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Mswahili ameishi maisha ya changanyikeni
 
Back
Top Bottom