Kikwete (Rais Mstaafu) ni Muungwana kuliko, mwenye huruma na utu uliopitiliza

Mkuu inaonekana ulikuwepo kwenye kuchuja mafaili wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna kaka yangu mmoja aliongoza kitengo Mwanza. Yule jamaa alipotea hata Social Media huwezi kumuona.
Why alipotea? Kwa kufa au ni wale hawatak kuonekana wala kujulikana walipo
 
Ndio maana mwamba aliitwa Jiwe, Chuma,
Sipati picha unamkuta kakaa kile kiti cha boss wa BoT na lafudhi yake ya kisukuma, We rugee hela utatoa hutoi?
 
Na alivyo kataliwa akakata naye miguu 😄
Ila ule mgao nadhani ulipita kwa wale wote walio fanikisha kwa namna moja au nyingine kutoka
 
Hiyo ya mshua ilikuwa kabla kabisa ya ule mgao, hiyo ilikuwa kipindi cha Mwinyi early 1990s.
Nasema huu mzigo wa escrow ulivyotoka
Wale wote waliopewa pesa walichangia kwa namna moja au nyingine mzigo kutoka
 
Na ni kiongozi pekee aliyefanikiwa kuigeuza Kigoma kuwa Dubai ya Afrika ndani ya miaka mitano(5), hongera zimfikie kijana wa Msoga.
 
Hakika mkuu
 
Mkuu hii simulizi inatufunza kitu. Ipo siku ataingia Yohana mwingine pale ofisi kuu atawatapisha watu pesa ya DP World.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…