Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Hakuna jambazi kama huyo mtu.yap ni kweli mzee Kikwete ana utu.
kwa kuongezea mke wa Gerald ni mtoto wa mzee Mohamed,huyu mzee Mohamed alikua ni mstaafu wale jamaa wa K-nyama.
Tunaombea sana, nchi ikiwa haina mtu imara inakoswa kuheshimika ndani na nje ya mipakaMkuu hii simulizi inatufunza kitu. Ipo siku ataingia Yohana mwingine pale ofisi kuu atawatapisha watu pesa ya DP World.
Yule Muhaya alizidisha sifa sasa.Unamjua mtu anaitwa Rugemalira?
Akitembea anatembea na rozari ile ya Roman Catholic huku anasali kashikilia rozari.
Aligawa pesa kama Mansa Musa. Mpaka wenzake wakamuambia punguza kaka, utashusha chini thamani ya pesa na kuharibu viwango rasmi ya hongo vinavyoeleweka.
Unasema kweli tupu.Tunaombea sana, nchi ikiwa haina mtu imara inakoswa kuheshimika ndani na nje ya mipaka
uko vizuri.Hakuna jambazi kama huyo mtu.
Hana uzalendo.
Mzee wa makundi.
Mfuja pesa za umma bila huruma
Huyu ndio mwanasiasa org namkubali JK.View attachment 2876963Mzee Kikwete akipata mlo pamoja na waombolezaji wenzake kwenye moja misiba aliyohudhuria
Kikwete!!!kweli tunamjua!Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Al8kuwa anatoa sadaka.Yule Muhaya alizidisha sifa sasa.
Anahonga hadi maaskofu?
Sadaka hutolewa madhabahuniAl8kuwa anatoa sadaka.
Hapana, hiyo unalazimisha wewe.Sadaka hutolewa madhabahuni
Sawa, we endelea kubisha tuAcha ubishi
Kikwete ni msanii tu, hana lolote. Hakuna rais mnafiki kama yeyeJamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Nakazia! Mnafki kuliko wote, I wish Magu angemuwahi Kabla ya kuwahiwa…Kikwete ni msanii tu, hana lolote. Hakuna rais mnafiki kama yeye
Kama umetumwa kamwambie aliyekutuma atuondolee hii kero ya foleni ya Kibaha Vigwaza. Uwezo huo anao.Jamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
hahahaa mh! napita tu, me napenda movie za mauaji na ujasusiJamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.
Mswahili ameishi maisha ya changanyikeniJamani habari wanajf, ukweli Rais Mstaafu Dkt. Kikwete ni kiongozi wa kipekee Sana tangu nianze kuwafahamu viongozi wengine. Ni kiongozi anayeguswa na matatizo ya watu moja kwa moja hasa misiba, na matukio ya kijamii. Mhe. Kikwete hajawahi kusikia Msiba kwa watu ambao unafikika akashindwa kufika. Ni Kiongozi aliyejishusha kuliko. Nani kiongozi Kama Dkt. Kikwete. Ubarikiwe Sana Mhe. Tumuombe Sana huyu kiongozi wetu Mstaafu. Leo nimemuona kwenye Msiba wa mke wa mtangazaji Gerald Hando. Viva Dkt. Kikwete.