Kikwete wa Kenya na Kikwete wa Tanzania ni watu wawili tofauti

Kikwete wa Kenya na Kikwete wa Tanzania ni watu wawili tofauti

Rais mstaafu JK naona anasifia tume huru ya Kenya, wagombea binafsi na uwazi wa uchaguzi na anasema Africa ijifunze Kenya.

Binafsi maswali ni mengi kuliko majibu, alipokuwa Rais alifanya nini kuhakikisha hayo yanatokea? Si, ni yeye aliyeusambaratisha rasimu ya Warioba kwa hotuba yake pale bungeni iliyopangwa mwisho kinyume na utaratibu?

Kikwete ni mnafiki sana. Kabla ya katiba alikuna US na kuongea na diaspora halafu bunge la katiba lilipo anza tukaambiwa na yeye ndiye anakwamisha yale ambayo aliyaongea na diaspora. Yaani sio mtu wa wazi ni mnafiki sana. Anachopenda yeye ni sifa kwake tu
 
Rais mstaafu JK naona anasifia tume huru ya Kenya, wagombea binafsi na uwazi wa uchaguzi na anasema Africa ijifunze Kenya.

Binafsi maswali ni mengi kuliko majibu, alipokuwa Rais alifanya nini kuhakikisha hayo yanatokea? Si, ni yeye aliyeusambaratisha rasimu ya Warioba kwa hotuba yake pale bungeni iliyopangwa mwisho kinyume na utaratibu?
Na ukiwakutanisha hawa wawili watapigana bunduki, kikwete wa Tanzania vs kikwete wa kenya
 
Rais mstaafu JK naona anasifia tume huru ya Kenya, wagombea binafsi na uwazi wa uchaguzi na anasema Africa ijifunze Kenya.

Binafsi maswali ni mengi kuliko majibu, alipokuwa Rais alifanya nini kuhakikisha hayo yanatokea? Si, ni yeye aliyeusambaratisha rasimu ya Warioba kwa hotuba yake pale bungeni iliyopangwa mwisho kinyume na utaratibu?
Unafique
 
Back
Top Bottom