Kila aliye tayari aeleze jinsi Corona ilivyomuathiri Kiuchumi na Kijamii

Na hamna maisha mabaya kama ya kutegemea mshahara hasa mshahara wa serikali.
 
Nimelimiss toto langu la kihaya, mechi za UEFA ndio ilikuwa gia ya kuzugia kwa wife kuwa naenda kuangalia mechi kumbe naenda kuonana na muhaya wangu geto kwake yaani nikubanduana hadi saa Saba usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Kuna nyumba naiuza na mteja niliempata Yuko USA alishakubali kuinunua kupitia ndugu zake walioko tz Sasa USA Kuna lockdown hawezi kwenda bank sababu ya corona pia nahofia anaweza kubadili mawazo au ndugu zake walioko tz wakapata nyumba nzuri zaidi na ya bei nafuu.
 
Nilikuwa nafanya madili ya kuuza milango ya mbao toka mkoa A kwenda mikoa B na C .Maliasili wamechachamaa ,Wateja wanalia mambo magumu.

Faida yote nilikua ni kula bata ,kumwagilia moyo na kuweka mnyeke.Sina hata mia nikisikia mambo ya lock down natamani nijinyee.Biashara naifanya bila vibali.
 
sie wengine hali zilikuwa mbaya teyar hii corona imekuwa kisingizio tu ila mambo yalishabumaaa muda tu.
 
Nina nyumba za wapangaji na watu wa kupokea wageni wanaishi hapo (tours) wanne ivi ila wiki ya pili wote wako nyumbani 24/7 sina lakufanya sababu aliekaa mda mchache hapo ni miezi tisa siwezi kuwaondoa ila najua kodi yangu itachelewa na sijui mpaka lini pia nilikuwa na cruser za porini mbili wiki ya nne hamna mtu aliekuja kodisha nilikuwa nataka anzisha product za saa ya ukutani ila material toka china zinachelewa still not sure kama zitasogea ....hasara ni nyingi ila lets keep pushing tusikate tamaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui nisemeje,?! INSHORT hali ni tete tumuombe sana Mungu atunusuru na hili Janga
 
Ratiba imevurugika mipaka imefungwa. Mbaya zaidi hatujui lini (if)mambo ya tarudi normal.
 
Kwa upande wangu corona imeongeza market volatility kwenye forex hivyo pesa zinamwagika tu sasa hivi. Price zinakimbia hatati. Hakuna pair isiyomwaga pesa.
 
The same same.
Nilitarajia kumaliza deni mwezi wa 5 nimesogeza muda mpaka mwezi August.
Unless otherwise tutakula nyasi. Hili balaa lisipoisha ni hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…