Kila anachosema mwanamke mbele ya mwanaume ni kinyume chake, akisema hampendi Juma jua ni kinyume chake

Kila anachosema mwanamke mbele ya mwanaume ni kinyume chake, akisema hampendi Juma jua ni kinyume chake

Mimi nilisha waambia ukitaka kudumu na mwanamke basi nenda kinyume na yale maandiko matakatifu yanavyosema tuishi nao,

Kule tumeamriwa kuwapenda na kuishi nao kwa akili kama chombo kisicho na nguvu na kiumbe dhaifu sasa wewe geuza iwe kinyume chake. Popote pale wewe geuza tuu utakuja kunishukuru baadae maana hiyo ndiyo akili pekee ya kumuwin mwanamke.

Ukimpenda mwanamke jua umempoteza , wewe ukiona unampenda cheza cheza nae tuu mwishowe mnajikuta yeye ndo kakupenda kakuvulia , kakuzalia na yupo ndani kama mke alafu toa matumizi na asijue unakiasi gani cha hayo matumizi tofauti na hapo utaumia

Nb: mwanamke ni adui mkubwa pekee duniani wa mwanaume. Mshinde adui kabla hajakushinda in mabakabaka voice tunasema wape rahaaa yani wape raha kinyume chake kwa wasio elewa ni wapelekee moto ni mabomu tu.
 
Back
Top Bottom