Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mtego huoNa mtego wenyewe nikwamba ana mwomba yeye/mwili wake sio hera
hasipokujua atakuheshimu na kukuogopa wewe mwanaume?Asikujue 100%
kivipi mkuu?Hii thread inaenda kusababisha mademu kuteseka sasa
tunaacha kuwapa attentionkivipi mkuu?
Wewe hakikisha hakujui 100% sasa hutaki kuelewa akujue 100% umekwisha, asipokujua km leo una hela au huna ataishi na wewe kwa nidhamu Ila akiwa anajua leo unazo na kesho huna hapo utajua mbinguni kwanini wanasema kuna makao Mazuri sanahasipokujua atakuheshimu na kukuogopa wewe mwanaume?
wanawake wakikosa attention huwa wanadata mkuu. Au sio? plus_ixtunaacha kuwapa attention
😆😆😆Wewe hakikisha hakujui 100% sasa hutaki kuelewa akujue 100% umekwisha, asipokujua km leo una hela au huna ataishi na wewe kwa nidhamu Ila akiwa anajua leo unazo na kesho huna hapo utajua mbingu kwanini wanasema kuna makao Mazuri sana
Nimeanza tena 😂Umeanza Eeeh 🤣
Mpaka wakaweka mstari kwenye Bible walishaona '....ishi nae kwa akili....' sio za kuvukia barabara lakiniKwa hiyo bado hawaeleweki
Unajuwa..Nimeanza tena 😂
Malizia sentenceUnajuwa..
Wenzio wamenuna uzi wanaupita km hawauoni sababu umemwaga Siri za Mkole