Kila anachosema mwanamke mbele ya mwanaume ni kinyume chake, akisema hampendi Juma jua ni kinyume chake

Kila anachosema mwanamke mbele ya mwanaume ni kinyume chake, akisema hampendi Juma jua ni kinyume chake

Ukimpenda Sana unakuwa kauzibe kwake/kausumbufu so utamchosha sababu ya hurka yake ya kupenda kujiachia

Ukimchukia/kumdharau atajiuliza ana kasoro gani mpaka wewe umdharau? Kwaninwewe ninani? Umeona wangapi? Una nini hasa ambacho walio mchukua/au kumfukuzia hawana?

So ata jipitisha kwako na Kila style ya mavazi,Kila style ya mwendo Kila style ya mwonekano na kadri utakavyo zidi kumpuuza ndivyo atakavyo vutiwa nawewe zaidi mkuu
Kabisa mkuu, ukiamua kumpotezea na kumchukulia kawaida atajitahidi usimchukulie hivyo(uone uzuri wake). Hasa kwa hizi pisi kali akili kijiko.
 
Yani kuna mambo meng hapa nayaona juu yako sipati jibu. Najaribu kufikir umri wako ni miaka mingap? Maana kwa akili hizo za kukremisha ulizonazo ni halali mwanamke akushinde...
.
Pili ulioa malaya unakuja kusema kuwa wanawake wote wapo hivyo...
.
Niishie kukupa pole tu, hakuna namna ingia "kataa ndoa" maana ndoa ishakuburuza na kukuchakaza....
 
Kuna mwanamke nilidate nae kisha balehe ilipokolea akaanzisha mizengwe si anatongozwa na kila mtu, nikampotezea, akaendelea kunitafuta mara kwa mara nikapotezea akakaa miaka 06 akarudi kunitafuta nikazinguq tena, eti akanichana [emoji23] ooh mtu mwenyewe wa kazi gani nilokuwa nakujaribu tu, nina mtu wangu tuko vizuri kimahusiano na kiuchumi.


Nikawazaaa, nikaona huyu atakuja kunitafuta tena itakuwa ananiona dhaifu kwa vile anaenda anarudi ananitext au kunipigia napokea.

Nikasema leo namtolea uvivu, nikamchana, chana kweli kweli, nikamwambia huelew kwanza unachotaka Duniani, upo upo leo huku kesho kule, na ukweli kwa hali yako inaonekana hata huko ulipo hapana ani ila unaigiza furaha kenge weye.

Akakata simu kwa kufoka na hasira,
Baada ya mwezi akanitafuta akasema mm ndio mwanaume wa pekee ninaesema ukweli, na akaenda mbali kwamba mm ndio ninaemjua vizuri hao wengine anahisi kama hawamuelewi nae hawaelewi,

Kwa hiyo kasema lengo nimshauri afanyeje kuishi na watu vizuri, kudumu na mtu wake n.k

Tukaongea muda wa kutosha, nampenda koz alisema anataka kubadilika we are best friends sio couple.

So wanawake hawahitaji maigizo, ukinyooka katika lifestyle yako ndio watakumiss.


Vijana wa sasa full kujibebisha kama mazoba au toto la mwisho kwa mama yake
 
kwaunavyoona kwasababu gani ukishampotezea mwanamke huwa anasumbuka? Peril22
Nadhani Kuna ile hali ya kujiamini kulingana na uzuri wake anakuwa nayo na anategemea/kutamani Kila Mwanaume amuone vile wengi wanavyomuona na kumfukuzia kwa nguvu na gharama kubwa.

Inapotokea wewe unamchukulia poapoa anashindwa kuelewa ni kwann unashindwa kumvalue Kama wengine kinachofuata ni kuumiza kichwa kujaribu Kutafuta sababu za wewe kumuona wa kawaida wakati huko nje watu wenye pesa, hadhi nk wanamtaka kwa udi na uvumba.

Hii njia inanisaidiaga Sana kuepuka kuumizwa kipuuzi. Kuna mmoja aliamua kabisa kunifungukia kwamba, "hivi unanichukukiaje kwa mfano?, Unajua nawakataa wangapi Ila wewe unaamua kuniona Kama mfanyakazi wako wa ndani" nilimwambia kwangu wew ni msela wa kawaida Sana kwa kukusaidia ungewakubalia hao wanaoona kitu kwako.

Yule dada alinichukia Kama miezi miwili hivi na Mimi nikawa busy na issue zangu Ila mwisho wa siku akaja kuniomba kikao kuniuliza nimsaidie kumweleza kasoro zake zisizoonekana.
 
Mimi nilisha waambia ukitaka kudumu na mwanamke basi nenda kinyume na yale maandiko matakatifu yanavyosema tuishi nao,

Kule tumeamriwa kuwapenda na kuishi nao kwa akili kama chombo kisicho na nguvu na kiumbe dhaifu sasa wewe geuza iwe kinyume chake. Popote pale wewe geuza tuu utakuja kunishukuru baadae maana hiyo ndiyo akili pekee ya kumuwin mwanamke.

Ukimpenda mwanamke jua umempoteza , wewe ukiona unampenda cheza cheza nae tuu mwishowe mnajikuta yeye ndo kakupenda kakuvulia , kakuzalia na yupo ndani kama mke alafu toa matumizi na asijue unakiasi gani cha hayo matumizi tofauti na hapo utaumia

Nb: mwanamke ni adui mkubwa pekee duniani wa mwanaume. Mshinde adui kabla hajakushinda in mabakabaka voice tunasema wape rahaaa yani wape raha kinyume chake kwa wasio elewa ni wapelekee moto ni mabomu tu.
Wewe hakikisha hakujui 100% sasa hutaki kuelewa akujue 100% umekwisha, asipokujua km leo una hela au huna ataishi na wewe kwa nidhamu Ila akiwa anajua leo unazo na kesho huna hapo utajua mbinguni kwanini wanasema kuna makao Mazuri sana
😂😂
 
Nadhani Kuna ile hali ya kujiamini kulingana na uzuri wake anakuwa nayo na anategemea/kutamani Kila Mwanaume amuone vile wengi wanavyomuona na kumfukuzia kwa nguvu na gharama kubwa.

Inapotokea wewe unamchukulia poapoa anashindwa kuelewa ni kwann unashindwa kumvalue Kama wengine kinachofuata ni kuumiza kichwa kujaribu Kutafuta sababu za wewe kumuona wa kawaida wakati huko nje watu wenye pesa, hadhi nk wanamtaka kwa udi na uvumba.

Hii njia inanisaidiaga Sana kuepuka kuumizwa kipuuzi. Kuna mmoja aliamua kabisa kunifungukia kwamba, "hivi unanichukukiaje kwa mfano?, Unajua nawakataa wangapi Ila wewe unaamua kuniona Kama mfanyakazi wako wa ndani" nilimwambia kwangu wew ni msela wa kawaida Sana kwa kukusaidia ungewakubalia hao wanaoona kitu kwako.

Yule dada alinichukia Kama miezi miwili hivi na Mimi nikawa busy na issue zangu Ila mwisho wa siku akaja kuniomba kikao kuniuliza nimsaidie kumweleza kasoro zake zisizoonekana.
Hakili mingi
 
Back
Top Bottom