Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hiki umeongea kinyume.....Mwanamke lazima.Pia nikagundua kwamba mwanamke hawezi kuolewa au kuwa na urafiki wa kudumu na mwanaume ambaye hawezi kumtawala. Labda niseme mwanamke hawezi kuolewa na mwanaume ambaye hawezi mwendesha/kumtawala
π―Na ukitaka kuachana na mwanamke wako , ( MWEZESHE )kiuchumi au kivyovyote vile mfano mwambie "hii biashara ni yako au hii nyumba ni yako na hati miliki ni hii" .
Utayapata matokeo baada ya muda mchache sana.
Utatoboka Wallet bure kama ulidhani Mwanamke atakupenda sababu ya Pesa.Weka account yako ya tigo pesa nikuwekee laki 1 chap, umeniokoa bado kidogo nipotee njia, mimi nilikua nafanya tofauti ndio maana siwapati
Kabisaa...hapa Kuna Siri imejificha na tushaibaini..Kwa hiyo unataka kusema hizi pisi zinazodai hazipend wanaume weupe ,kuna jambo nyuma ya pazia?[emoji14][emoji14][emoji14]
Andiko lako lina uhalisia wa 50% vingine apon uongo Mkuu
Usione watu Wana Kesha bar mda ambao walipaswa wawe nyumbani mkuuHiki umeongea kinyume.....Mwanamke lazima.
umtawale hata kama ni mzuri kiasi gani never let her on Rock Pedestal
Habari zenu wakuu,
Mimi ni miongoni mwa watu ambao wamekumbana na shughuri ya kiumbe anayeitwa mwanamke, tena ilikuwa ni shughuri nzito kweli kweli na kwasababu ilikuwa ni ndoa yangu ya kwanza
Basi nikaamini pengine ndiyo maana misikitini na makanisani mashehe na wachungaji wetu wanahubiri sana kuhusu uvumilivu kwa wanandoa na wachumba kuvumiliana na kuchukuliana.
Wakuu zangu nimeingia mpaka mahakamani na sio mahakamani tu bali mpaka mahabusu nimeingia, tena sio mara moja tu bali zaidi ya mara moja, kwahiyo yale mambo ya ndiyo bwana mkubwa, kukojoa ume chuchumaa mtoto wa kiume, nimekutana nayo sana kupitia mwanamke wangu.
Kiukweli skupenda kuachana na mke wangu hasa nikiangalia dunia ya sasa ilivyoharibika, sikutaka kuacha watoto wangu wakae mbali na mimi, hivyo hofu yangu juu ya watoto wangu ilinifanya nivumilie mengi na kupitia uvumilivu huo nilijikuta napitia misukosuko mingi kwa zaidi ya miaka nane na mke wangu.
Na kupitia mi sukosuko yangu na mke wangu na ile ya majirani, ndugu, na jamaa zangu wa karibu nikajikuta nimegundua mambo mengi kuhusu mwanamke.
Nilijikuta nimegundua kwamba, mwanamke kila kitu anachokizungumza mbele ya mwanaume ni kinyume chake. Kwamfano mwanamke akikuambia napenda hiki kinyume chake nikwamba hakipendi hicho anacho kizungumza.
Ninamaanisha mwanamke akisema anapenda sana kula samaki basi anamaanisha hapendi kabisa kula samaki.
Vivyo hivyo akikuambia anamchukia sana rafiki yako Juma na ukimuuliza kwanini atakuambia damu tu haziendani namchukia sana, basi jua tafsiri yake nikwamba anampenda sana rafiki yako juma isipo kuwa Juma hana time nae pamoja na yeye kujisogeza sogeza kwa Juma ndiyo maana anamchukia huyo Juma. Vivyo hivyo akisema anakupenda sana basi hakupendi sana.
Pia nimejifunza kwamba mwanamke nikama mtoto mdogo, mtu anayemkumbuka kwa vizuri vizuri basi huyo ndiye huwa her lover, haijarishi atampa vidogo au vikubwa.
Kwakifupi urafiki wa mwanamke au upendo wa mwanamke ni wa kimasilahi zaidi, nothing free, lazima utoe kitu ili umpate au uupate upendo wake kwako na kitakapoisha hicho kitu basi lazima atakuacha na kuenda kwa mwenye nacho.
Kwahiyo unapo kuwa nakitu cha kumvutia mwanamke akupende hakikisha unampa isipokuwa asijue unakitolea wapi, na kimebaki kiasi gani, don't try utajuta.
Pia nikagundua kwamba mwanamke hawezi kuolewa au kuwa na urafiki wa kudumu na mwanaume ambaye hawezi kumtawala. Labda niseme mwanamke hawezi kuolewa na mwanaume ambaye hawezi mwendesha/kumtawala.
Mwanamke akishindwa kukutawala basi mtaachana na atakuita majina yote mabaya. Utaskia siwezi kuishi/kuolewa na mwanaume mvuta bangi/kichaa kama yule. Ukiona anasema hivyo basi jua wewe ni mwanaume kweli kweli, in JPM voice.
Ukiona mwanamke anakuchukia sana huenda akawa ndiye mwanamke anayekupenda zaidi kuliko yule anaye kuchekea sana. Niligundua kwamba ukitaka mwanamke jeuri akuzalie mtoto usimwombe akuzalie mtoto, badala yake mwambie, nimekuowa ila usizae kwanza mpaka tutengeneze maisha kwanza ndipo tupate mtoto. Aiseeh atabeba mimba haraka sana tena bila wewe kujua.
Niligundua kwamba mwanamke anapenda umbea, anapenda kusikilizwa sana kwahiyo hata akiongea upuuzi/utoto toto wewe mpe support tu basi hapo hata ukichelewa kuludi nyumbani atakupigia.
Nakama kuna mjinga ana msumbua hapo mitaani kwako atakutonya. Niligundua kwamba mwanamke anapenda au ana hulka ya kupenda kuumiza au kutesa, hakunakitu mwanamke hujiskia vizuri kama kumuumiza adui yake.
Basi mwanamke hujiskia vizuri sana mtu anaye shindana nae akiumia, ukitaka kuamini basi chunguza ndoa zenye wake wawili Yani b mkubwa na mdogo utashuhudia kiumbe huyu alivyo na roho mbaya.
Ukitaka mwanamke akupende mchukie na ukitaka akuchukie mpende. Ukitaka mwanamke awe kicheche mwamini na ukitaka asiwe kicheche usimwamini. Ukitaka kumpoteza mjari na ukitaka usimpoteze usimjari Sana na hata ukimjari don't show her you care too much about her utadumu nae.
Mwisho mwanamke yeyote ni mshirikina na unaweza kuishi nae miaka usimjue japo wengi hawana nia mbaya zaidi ya kututawala ili walinde ndoa zetu zisimvunjike taifa la kesho lisipotee.
Haya ni machache niliyo yaona kwa wanawake. Pamoja nahayo nitumie nafasi hii kwa niaba ya wanaume wenzangu wote kwamba tunawapenda sana
Mama zetu
- Mauwa yetu
- Fraha yetu
- Msingi wa Maisha yetu
- Miungu wetu was dunia
Kwani bila wao Maisha haya hayana maana, tunawapeni asanteni kwa kuuchangamsha uwanja huu unao itwa dunia.
Kabra haja kukubalia kuwa mpenzi/mkeHiki umeongea kinyume.....Mwanamke lazima.
umtawale hata kama ni mzuri kiasi gani never let her on Rock Pedestal
Hakika wewe ni jiwe mkuuHakuna fomula
mkuu de Gunner saikolojia yao inatofautiana kivipi na yetu wanaume? tufafanulie mkuu japo tuelewe zaidi.Hakika mkuu women psychology ni tofauti sana na watu wanvyofikir, inahitaj kuwa against the norm kuwin hawa viumbe lasvyo ni maumiv tyu, labda Kama unapesa kidogo utaenjoy lasvyo....! hata maandiko yanasema tuish nao Kwa akili.
Wanawake ni kama subconsciously huwa wanarespond majibu wasiomaanisha yaan anaweza kukuambia amechoka hatak game kumbe kazidiwa kabs na anatak shoomkuu de Gunner saikolojia yao inatofautiana kivipi na yetu wanaume? tufafanulie mkuu japo tuelewe zaidi.
Peril22 hapa umetusaidia wengi sana.Nadhani Kuna ile hali ya kujiamini kulingana na uzuri wake anakuwa nayo na anategemea/kutamani Kila Mwanaume amuone vile wengi wanavyomuona na kumfukuzia kwa nguvu na gharama kubwa.
Inapotokea wewe unamchukulia poapoa anashindwa kuelewa ni kwann unashindwa kumvalue Kama wengine kinachofuata ni kuumiza kichwa kujaribu Kutafuta sababu za wewe kumuona wa kawaida wakati huko nje watu wenye pesa, hadhi nk wanamtaka kwa udi na uvumba.
Hii njia inanisaidiaga Sana kuepuka kuumizwa kipuuzi. Kuna mmoja aliamua kabisa kunifungukia kwamba, "hivi unanichukukiaje kwa mfano?, Unajua nawakataa wangapi Ila wewe unaamua kuniona Kama mfanyakazi wako wa ndani" nilimwambia kwangu wew ni msela wa kawaida Sana kwa kukusaidia ungewakubalia hao wanaoona kitu kwako.
Yule dada alinichukia Kama miezi miwili hivi na Mimi nikawa busy na issue zangu Ila mwisho wa siku akaja kuniomba kikao kuniuliza nimsaidie kumweleza kasoro zake zisizoonekana.
sahihi mkuu, maelezo yapo huwa ni vice versa.Wanawake ni kama subconsciously huwa wanarespond majibu wasiomaanisha yaan anaweza kukuambia amechoka hatak game kumbe kazidiwa kabs na anatak shoo
Kuna nini mkuu?Kabisaa...hapa Kuna Siri imejificha na tushaibaini..
Hawa watu ukionesha kuwapenda na kuwathamini kupita kiasi kuna tabia huwa zinaibuka from no where. Kikubwa hatakiwi kujua kiwango cha upendo ulichonacho kwake.Peril22 hapa umetusaidia wengi sana.
Mfano mdogo, kuna mahali nilikuwa nakwenda kupata huduma, kuna demu wa kawaida tu, nikawa kila nikifika kazini kwao anataka mimi ndio nianze salamu hata kama yeye ni mtoa huduma, yaani hana ile customer care kwa mteja na kujisikia sikia juu, nikaanza tabia kila ninapofika namsalimia mwenzake ila yeye simpi salamu, naona akagundua, baada ya hapo kila nikifika yeye ndio alikuwa anaanza kunipa salamu.
Siku zote mimi naona ukishazinguana na mwanamke mkafikia hatua ya kuchuniana, wewe mwanaume endeleza mikausho kwasababu ktk vita hii kawaida wanawake huwa wana-surrender.
Mkuu ulikuwa umemuoa BINGWA WA RIVASIHabari zenu wakuu,
Mimi ni miongoni mwa watu ambao wamekumbana na shughuri ya kiumbe anayeitwa mwanamke, tena ilikuwa ni shughuri nzito kweli kweli na kwasababu ilikuwa ni ndoa yangu ya kwanza
Basi nikaamini pengine ndiyo maana misikitini na makanisani mashehe na wachungaji wetu wanahubiri sana kuhusu uvumilivu kwa wanandoa na wachumba kuvumiliana na kuchukuliana.
Wakuu zangu nimeingia mpaka mahakamani na sio mahakamani tu bali mpaka mahabusu nimeingia, tena sio mara moja tu bali zaidi ya mara moja, kwahiyo yale mambo ya ndiyo bwana mkubwa, kukojoa ume chuchumaa mtoto wa kiume, nimekutana nayo sana kupitia mwanamke wangu.
Kiukweli skupenda kuachana na mke wangu hasa nikiangalia dunia ya sasa ilivyoharibika, sikutaka kuacha watoto wangu wakae mbali na mimi, hivyo hofu yangu juu ya watoto wangu ilinifanya nivumilie mengi na kupitia uvumilivu huo nilijikuta napitia misukosuko mingi kwa zaidi ya miaka nane na mke wangu.
Na kupitia mi sukosuko yangu na mke wangu na ile ya majirani, ndugu, na jamaa zangu wa karibu nikajikuta nimegundua mambo mengi kuhusu mwanamke.
Nilijikuta nimegundua kwamba, mwanamke kila kitu anachokizungumza mbele ya mwanaume ni kinyume chake. Kwamfano mwanamke akikuambia napenda hiki kinyume chake nikwamba hakipendi hicho anacho kizungumza.
Ninamaanisha mwanamke akisema anapenda sana kula samaki basi anamaanisha hapendi kabisa kula samaki.
Vivyo hivyo akikuambia anamchukia sana rafiki yako Juma na ukimuuliza kwanini atakuambia damu tu haziendani namchukia sana, basi jua tafsiri yake nikwamba anampenda sana rafiki yako juma isipo kuwa Juma hana time nae pamoja na yeye kujisogeza sogeza kwa Juma ndiyo maana anamchukia huyo Juma. Vivyo hivyo akisema anakupenda sana basi hakupendi sana.
Pia nimejifunza kwamba mwanamke nikama mtoto mdogo, mtu anayemkumbuka kwa vizuri vizuri basi huyo ndiye huwa her lover, haijarishi atampa vidogo au vikubwa.
Kwakifupi urafiki wa mwanamke au upendo wa mwanamke ni wa kimasilahi zaidi, nothing free, lazima utoe kitu ili umpate au uupate upendo wake kwako na kitakapoisha hicho kitu basi lazima atakuacha na kuenda kwa mwenye nacho.
Kwahiyo unapo kuwa nakitu cha kumvutia mwanamke akupende hakikisha unampa isipokuwa asijue unakitolea wapi, na kimebaki kiasi gani, don't try utajuta.
Pia nikagundua kwamba mwanamke hawezi kuolewa au kuwa na urafiki wa kudumu na mwanaume ambaye hawezi kumtawala. Labda niseme mwanamke hawezi kuolewa na mwanaume ambaye hawezi mwendesha/kumtawala.
Mwanamke akishindwa kukutawala basi mtaachana na atakuita majina yote mabaya. Utaskia siwezi kuishi/kuolewa na mwanaume mvuta bangi/kichaa kama yule. Ukiona anasema hivyo basi jua wewe ni mwanaume kweli kweli, in JPM voice.
Ukiona mwanamke anakuchukia sana huenda akawa ndiye mwanamke anayekupenda zaidi kuliko yule anaye kuchekea sana. Niligundua kwamba ukitaka mwanamke jeuri akuzalie mtoto usimwombe akuzalie mtoto, badala yake mwambie, nimekuowa ila usizae kwanza mpaka tutengeneze maisha kwanza ndipo tupate mtoto. Aiseeh atabeba mimba haraka sana tena bila wewe kujua.
Niligundua kwamba mwanamke anapenda umbea, anapenda kusikilizwa sana kwahiyo hata akiongea upuuzi/utoto toto wewe mpe support tu basi hapo hata ukichelewa kuludi nyumbani atakupigia.
Nakama kuna mjinga ana msumbua hapo mitaani kwako atakutonya. Niligundua kwamba mwanamke anapenda au ana hulka ya kupenda kuumiza au kutesa, hakunakitu mwanamke hujiskia vizuri kama kumuumiza adui yake.
Basi mwanamke hujiskia vizuri sana mtu anaye shindana nae akiumia, ukitaka kuamini basi chunguza ndoa zenye wake wawili Yani b mkubwa na mdogo utashuhudia kiumbe huyu alivyo na roho mbaya.
Ukitaka mwanamke akupende mchukie na ukitaka akuchukie mpende. Ukitaka mwanamke awe kicheche mwamini na ukitaka asiwe kicheche usimwamini. Ukitaka kumpoteza mjari na ukitaka usimpoteze usimjari Sana na hata ukimjari don't show her you care too much about her utadumu nae.
Mwisho mwanamke yeyote ni mshirikina na unaweza kuishi nae miaka usimjue japo wengi hawana nia mbaya zaidi ya kututawala ili walinde ndoa zetu zisimvunjike taifa la kesho lisipotee.
Haya ni machache niliyo yaona kwa wanawake. Pamoja nahayo nitumie nafasi hii kwa niaba ya wanaume wenzangu wote kwamba tunawapenda sana
Mama zetu
- Mauwa yetu
- Fraha yetu
- Msingi wa Maisha yetu
- Miungu wetu was dunia
Kwani bila wao Maisha haya hayana maana, tunawapeni asanteni kwa kuuchangamsha uwanja huu unao itwa dunia.
Peril22 kweli kabisa ni watu wanaoweza kubadilika hadi ukashangaa huyu mtu ndie yule yule au siye! Ukichanganya wanaongozwa na hisia badala ya akili alafu ukuete mashoga wake wanamshauri ujinga, usipokuwa na stable utajikuta unakuwa submissive kwake!Hawa watu ukionesha kuwapenda na kuwathamini kupita kiasi kuna tabia huwa zinaibuka from no where. Kikubwa hatakiwi kujua kiwango cha upendo ulichonacho kwake.
Ukweli unabaki nao mwenyewe kama unampenda au no. Hapa lazima akili iwe kubwa kuliko hisia.
ina ukweli hii? GirlandUKITAKA MWANAMKE AKUPENDE MCHUKIE NA UKITAKA MWANAMKE AKUCHUKIE MPENDE πππ@deeppond sema neno mkuu