Kila anaepewa nafasi anatulazimisha tumuunge mkono Rais Samia

Kila anaepewa nafasi anatulazimisha tumuunge mkono Rais Samia

Kwani kuna nini huko?

Hii ni 2022 haijafika hata 2024, kinacho nishangaza ni kila anaesimama anatulazimisha tumuunge mkono rais Samia. Nabaki najiuliza, kuna nini kwani?

Kuna kitu hakiko sawa huko?

Halafu mtu anatulazimisha tumuunge mkono halafu akiachia mic anakuja kulalamika kama sisi tu huku kisa maji hakuna, pesa ngumu kupatikana, umeme hakuna. Hakuna matumaini lambda toka kwa Mungu.

Mwananchi wa kawaida hapewi hata nafasi ya kuelezea changamoto zao ni mapambio mwanzo mwisho.

Nazani mnamutengenezea mazingira magumu Samia 2025.

Mnamficha ukweli.
Kwanini usimuunge mkono Rais Samia Suluhu maana anafanya kazi kubwa sana kuleta maendeleo nchini lazima tuendelee kushiikiana nae na 2025 Rais Samia Suluhu atashinda kwa kishindo
 
Mkuu kwani umevulugwa na nini?

Muwe mnatupatia na sisi wananchi tumweleze mama. sio mda wote mnampamba tu mama huku tunaumia.
Umeumia na nini Mzee Rais Samia Suluhu amefanikisha mambo mengi sana kama kijana hauna ajira serikali inagawa mashamba kwa vijana inagawa mikopo ya mashart nafuu unataka nini tena
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwanini usimuunge mkono Rais Samia Suluhu maana anafanya kazi kubwa sana kuleta maendeleo nchini lazima tuendelee kushiikiana nae na 2025 Rais Samia Suluhu atashinda kwa kishindo
Hahah.. kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom