Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hapa umesema vyemaHapata Mimi siamini kama watu million 60 wanashindwa kuendesha Bandari labda uwezo wa Hawa viongozi mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umesema vyemaHapata Mimi siamini kama watu million 60 wanashindwa kuendesha Bandari labda uwezo wa Hawa viongozi mdogo
Ni Hisia zanguHapa umesema vyema
Mimi Sijamtaja Rais kabisa. Rais haguswi Sina mwanasheria
Wanapora haki ya watanzania kujua mikataba wanayoingia. Hawachelewi kuchukua haki yangu ya kuishi.Usiogope, ni haki yako kuhoji Kodi, pesa, majukumu uliompa anavyoyatumia.
Kama anayatumia vibaya uliza?
Ni Emirate, part of UAE, tupe tafsiri sahihi. Ili sio muhimu kivile kuhusu huu mkataba.Dubai siyo Nchi
Eti kampuni ya serikali inaendesha Bandari badala kwenda kujifunza wamefanikiwaje. Tunaenda kuwauzia Bandari. Ukiuliza unakodisha hapana hatukodishi. Mnauza hapana atuuzi. Ni ushiriano wa kimataifa. Ushirikiano upi unampa Ardhi, na management? Hebu tukusanye form four tu wenye division one waliomaliza mwaka Jana wauchambue huu mkataba uone.Emiraate
Eti kampuni ya serikali inaendesha Bandari badala kwenda kujifunza wamefanikiwaje. Tunaenda kuwauzia Bandari. Ukiuliza unakodisha hapana hatukodishi. Mnauza hapana atuuzi. Ni ushiriano wa kimataifa. Ushirikiano upi unampa Ardhi, na management? Hebu tukusanye form four tu wenye division one waliomaliza mwaka Jana wauchambue huu mkataba uone.Kwakweli tumeamua kuwakabidhi nchi wanyang'anyi.... So painful..... Tulio amini kutetewa nao ndio wamekuwa vinara wa kutunyonga hadharani mchana kweupe. Hivi hao wawakilishi wetu mjengoni hawajaliona hili...?
Elimu mtu wangu ElimuNi Emirate, part of UAE, tupe tafsiri sahihi. Ili sio muhimu kivile kuhusu huu mkataba.
Shida ni kubwa sana. Hapa nashangaa sana kwamba hata hao wawakilishi wetu zaidi ya 360 hakuna hata mmoja aliyeshindwa kung'amua mtego huu. Au kuna kitu wamelishwa na kimepoteza ufahamu wao. Wakiongea wanaongea kwa woga na tahadhari kubwa sana. Unyonge wa hivi ni hatari kubwa sana. Kwakweli tumuombe Mwenyezi Mungu aingilie kati.Eti kampuni ya serikali inaendesha Bandari badala kwenda kujifunza wamefanikiwaje. Tunaenda kuwauzia Bandari. Ukiuliza unakodisha hapana hatukodishi. Mnauza hapana atuuzi. Ni ushiriano wa kimataifa. Ushirikiano upi unampa Ardhi, na management? Hebu tukusanye form four tu wenye division one waliomaliza mwaka Jana wauchambue huu mkataba uone.
Wabunge wenye division one walikwepa kuchagia. Wakakimbia wote. Inaonekana walipigwa mkwara.Shida ni kubwa sana. Hapa nashangaa sana kwamba hata hao wawakilishi wetu zaidi ya 360 hakuna hata mmoja aliyeshindwa kung'amua mtego huu. Au kuna kitu wamelishwa na kimepoteza ufahamu wao. Wakiongea wanaongea kwa woga na tahadhari kubwa sana. Unyonge wa hivi ni hatari kubwa sana. Kwakweli tumuombe Mwenyezi Mungu aingilie kati.
Shida ni kubwa sana. Hapa nashangaa sana kwamba hata hao wawakilishi wetu zaidi ya 360 hakuna hata mmoja aliyeshindwa kung'amua mtego huu. Au kuna kitu wamelishwa na kimepoteza ufahamu wao. Wakiongea wanaongea kwa woga na tahadhari kubwa sana. Unyonge wa hivi ni hatari kubwa sana. Kwakweli tumuombe Mwenyezi Mungu aingilie
Shida ni kubwa sana. Hapa nashangaa sana kwamba hata hao wawakilishi wetu zaidi ya 360 hakuna hata mmoja aliyeshindwa kung'amua mtego huu. Au kuna kitu wamelishwa na kimepoteza ufahamu wao. Wakiongea wanaongea kwa woga na tahadhari kubwa sana. Unyonge wa hivi ni hatari kubwa sana. Kwakweli tumuombe Mwenyezi Mungu aingilie kati
Hakuna bunge pale, spika ndo kabisaa, alinishangaza sana akiona wapinzani waliohoji aliwabana sana, wabunge wengine km Nape badala ya kuchangia content akawa anamshambulia mbowe sijui alitajwa ndani ya mkataba? Mwingine wa Tarime ndo hovyo kabisa yaani debe tupuShida ni kubwa sana. Hapa nashangaa sana kwamba hata hao wawakilishi wetu zaidi ya 360 hakuna hata mmoja aliyeshindwa kung'amua mtego huu. Au kuna kitu wamelishwa na kimepoteza ufahamu wao. Wakiongea wanaongea kwa woga na tahadhari kubwa sana. Unyonge wa hivi ni hatari kubwa sana. Kwakweli tumuombe Mwenyezi Mungu aingilie kati.
Inawezekana siyo kipimo lakini kama Mtu ameshindwa kuchambua mapenzi kwenye kitabu aKapata A ataweza kuchambua mkataba kwa manufaa ya nchi kweli?one ya kukariri mechanism of hearing, kukichambua kitabu cha mama Ntilie, na importance of soil ndo kipimo cha akili ?
Wabunge wenye division one walikimbia mjadala wote. Wala hawautete hadharani.Hakuna bunge pale, spika ndo kabisaa, alinishangaza sana akiona wapinzani waliohoji aliwabana sana, wabunge wengine km Nape badala ya kuchangia content akawa anamshambulia mbowe sijui alitajwa ndani ya mkataba? Mwingine wa Tarime ndo hovyo kabisa yaani debe tupu
Hiyo njemba inajua mipasho tu.... Hamna kitu humo.... Hovyo kabisa..... Kati ya watu ambao huwa natamani ghalika ikitokea ianze nae tu....Hakuna bunge pale, spika ndo kabisaa, alinishangaza sana akiona wapinzani waliohoji aliwabana sana, wabunge wengine km Nape badala ya kuchangia content akawa anamshambulia mbowe sijui alitajwa ndani ya mkataba? Mwingine wa Tarime ndo hovyo kabisa yaani debe tupu
Nasikia wote Hawana division one waleHiyo njemba inajua mipasho tu.... Hamna kitu humo.... Hovyo kabisa..... Kati ya watu ambao huwa natamani ghalika ikitokea ianze nae tu....
Balaa hilo.... Mbunge wa Ubungo aliongea kitu flani kwa tahadhari kubwa sana. Hasa aliposema hata sisi wa Tanganyika turuhusiwe kugombea na kushika uongozi Zanzibar....Wabunge wenye division one walikimbia mjadala wote. Wala hawautete hadharani.
Yule mbunge alilazimishwa kutoka kufundisha kwahiyo yupo kitaadhariBalaa hilo.... Mbunge wa Ubungo aliongea kitu flani kwa tahadhari kubwa sana. Hasa aliposema hata sisi wa Tanganyika turuhusiwe kugombea na kushika uongozi Zanzibar....