Kila CHADEMA wanalojaribu linabuma: La Lissu na Lema pia limebuma. Watanzania tunaendelea na maisha

Kila CHADEMA wanalojaribu linabuma: La Lissu na Lema pia limebuma. Watanzania tunaendelea na maisha

CHADEMA kama ilivyo kawaida yao ya kutunga na kutengeneza matukio ya uongo. Wamejaribu kutengeneza ya Lissu, Lema na Nyarandu lakini yote yamebuma.

Watanzania na wajanja duniani wamekwishawagundua kuwa ni walaghai. Wamebaki na kujipa moyo kwenye keyboards zao na vyombo vya habari uchwara vya Kenya ambavyo vina ajenda zao.

Baadhi ya WANACHADEMA na viongozi wao uchwara wanajaribu kutengeneza matukio ya uongo ili kuvuta attention ya wananchi lakini wapi, kila jaribio linabuma. Wengine humu wanashinda kutwa nzima kwenye JF, facebook, Twitter na hata Badoo lakini habari zao zinapuuzwa tu. Watanzania wana akili na Jumuiya ya kimataifa pia zinaakili na zinatambua utoto wenu.

Nawashauri fanyeni kazi. Uchaguzi umeisha.
Watarudi tu. East or West, home is the best
 
Lipi la CCM lilishawahi fanikiwa na kuwa faida kwa nchi??? Kulwa ujinga, umaskini na wizi ndio faida. Ninaposema CCM tuna akili uharo ndio hizi. Mtu kavimbiwa kande za mboga anakuja tu kuhara humu. Unaijua CCM wewe. Mjinga wa hedi.
Wewe mwenyewe ni ushahidi wa kufanikiwa kwa CCM. Uzima wako ni kwa sababu ya mifumo ya afya iliyowekwa na CCM, wewe ni shahidi umeshatibiwa mara ngapi. Elimu uliyo nayo, access ya maji, makazi, Internet, na yote yanayofanya existence yako ni kwa sababu ya CCM.
 
CHADEMA kama ilivyo kawaida yao ya kutunga na kutengeneza matukio ya uongo. Wamejaribu kutengeneza ya Lissu, Lema na Nyarandu lakini yote yamebuma.

Watanzania na wajanja duniani wamekwishawagundua kuwa ni walaghai. Wamebaki na kujipa moyo kwenye keyboards zao na vyombo vya habari uchwara vya Kenya ambavyo vina ajenda zao.

Baadhi ya WANACHADEMA na viongozi wao uchwara wanajaribu kutengeneza matukio ya uongo ili kuvuta attention ya wananchi lakini wapi, kila jaribio linabuma. Wengine humu wanashinda kutwa nzima kwenye JF, facebook, Twitter na hata Badoo lakini habari zao zinapuuzwa tu. Watanzania wana akili na Jumuiya ya kimataifa pia zinaakili na zinatambua utoto wenu.

Nawashauri fanyeni kazi. Uchaguzi umeisha.

wajinga wajinga wengi usalama wako binafsi hauhitaji kiki! wewe shangilia chama na nchi kuwa ya kidekteta lakini usiiingize wapinzani binafsi wanaojali maisha yao na familia zao.
 
CHADEMA kama ilivyo kawaida yao ya kutunga na kutengeneza matukio ya uongo. Wamejaribu kutengeneza ya Lissu, Lema na Nyarandu lakini yote yamebuma.

Watanzania na wajanja duniani wamekwishawagundua kuwa ni walaghai. Wamebaki na kujipa moyo kwenye keyboards zao na vyombo vya habari uchwara vya Kenya ambavyo vina ajenda zao.

Baadhi ya WANACHADEMA na viongozi wao uchwara wanajaribu kutengeneza matukio ya uongo ili kuvuta attention ya wananchi lakini wapi, kila jaribio linabuma. Wengine humu wanashinda kutwa nzima kwenye JF, facebook, Twitter na hata Badoo lakini habari zao zinapuuzwa tu. Watanzania wana akili na Jumuiya ya kimataifa pia zinaakili na zinatambua utoto wenu.

Nawashauri fanyeni kazi. Uchaguzi umeisha.
Yupi mtunga matukia na mtengeneza matukio hodari zaidi hao au nyie?
 
Tanzania ipo mikononi mwa Mungu, kwa hiyo sitegemei kuna Mpumbavu yeyote ataweza kuharibu Amani iliyopo.
Wayanzania tunajua aina za Kampeni alizokuwa akizifanya MBELGIJI kwamba 75% zilijaa matusi, kejeli na kila aina ya upumbavu dhidi ya serikali.
Pamoja na hayo yote, hakuweza kutishiwa mpaka kipindi chote cha Kampeni kilipoisha. Leo uchaguzi umepita na MBELGIJI kashindwa vibaya mno, katika hali kama hiyo ni nani atamtishia muda huu? Atamtishia?
Watanzania siyo hicho. Tunajua hiyo ni mbinu ya kukwepa aibu ya kushindwa vibaya katika uchaguzi.
NB:- HAYO NI MAIGIZO TU, HAKUNA LOLOTE LA MAANA HAPO.
 
Kwa ustawi wa nchi yetu tunatakiwa kushughulika na wahalifu mmojammoja sio chama, dini wala kabila.

Yanayoongelewa na yaliyotokea kwa chadema yametokea kwa CCM na vyama vingine pia ila kikubwa ni kutoa ushirikiano kwa vyombo husika kumaliza matatizo hayo

Tumeona wana CCM wengi wakiuwawa na atujasikia ccm wakikituhumu chama cha chadema bali tumeona viongozi wakisema waliofanya hayo matukio watashughulikiwa.

Ukomavu wa kisiasa ni pamoja na kubeba mambo hatari kama haya kwa style ambayo tutajenga amani yetu zaidi ya kuibomoa

www.mwananchi.co.tz

Kada wa CCM auawa kwa kupigwa risasi Kibiti

Kibiti. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Bungu wilayani hapa, Alife Mtulia ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake.
www.mwananchi.co.tz
www.mwananchi.co.tz
mtanzania.co.tz

KADA MWINGINE WA CCM AUAWA RUFIJI | Mtanzania


mtanzania.co.tz
mtanzania.co.tz

Kada wa CCM adaiwa kuuawa kwenye vurugu

MTU mmoja amefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa ambao wanadaiwa kuwa ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kutokea vurugu za kisiasa katika mji wa Tunduma mkoani Songwe.
www.ippmedia.com
www.ippmedia.com
theworldnews.net

Mauaji Kada wa CCM Njombe, JPM Aagiza…

Mauaji Kada wa CCM Njombe, JPM Aagiza… September 28, 2020 by Global Publishers RAIS wa Tanzania na mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),&nb
theworldnews.net
theworldnews.net

Tukianza kunyoosheana vidole kwa vyama tutagundua kila chama kina maumivu ya kupoteza mtu wao na haitasaidia wala haitajenga utaifa wetu



Bado ya kunusurika kwa Mwakyembe, Magufuli, kifo cha Prof Mwaikusa, Dr Sengondo Mvungi na wengine

Tufike mahala tupunguze kuchocheana chuki tukifikiria itasaidia kufanikisha tunachokita. Tunaweza kujiona kwa sasa tunajenga kumbe tunazidi kubomoa.
Wewe mama D kile cheo nilichokupa unakitendea kazi una toa hoja zenye nguvu mpaka Raha
 
Lema katawala Arusha miaka kumi akiwa salama kabisa sasa iweje leo kapoteza jimbo ndo aanze sakwa kutishiwa anatishwa na nani wakati hana lolote Arusha?
Kwani aliyemolea nape bastola yupo wapi
 
Jamani ee, miaka mi5 sio mingi. nina imani mtakuja hapa baada ya miaka mi3 kuja kulia lia hapa kuwa maisha ni magumu. nyie shabikieni tu upinzani kuuliwa kwa hila ila malipo mtayapata hapa hapa Tanzania!
Kwahiyo MKANDAHARI ukishabikia UPINZANI ndio unapata uzima wa milele au ndio unakuwa na maisha mazuri?
 
Nakubaliana na wewe na baadhi ya mambo uliyoandika hapo.
Ila kama kuna viongozi wanaofanya uchaguzi uonekane wa kijinga, basi kulikua na taratibu za kufuata kama hukubaliani na matokeo. Sio kutangaza maandamano yasiyo na kikomo, kutuchafulia hali ya hewa kisha kurudi ubelgiji.
Kwani hujui sababu zakwanini maandamano hayakufanyika?'Na ni njia zipi hizo unazozijua wewe zingefuatwa na kuleta ufanisi?.usijitie upofu ndugu.Muda utatupa majibu.
 
Kwani katiba hiyohiyo iliyotugwa na ccm hairuhusu maandamano ya Amani?
Sijui kwanini sisi ngozi nyeusi tunawazaga ujinga tu.Ndo utashangaa katiba na sheria za nchi zinatambua maandamano ya amani ila inapotokea kutekelezwa hilo tunakimbilia kuwaza kua maandamano ni uvunjifu wa amani na fujo.Yaani hatuwezi kabisa kufanya mambo yetu kistaarabu bila kuwaza kugombana nakutunishiana misuli.Yaani ujinga wetu ni mwingi mno aise.
 
Hata kama katiba ya CCM inaruhusu, kwa mtazamo wako hayo maandamano yangekua ni ya amani kwa jazba ile ??
Hiyo jazba uliipimaje wewe.au kwako mtu anapoonyesha kutokukubaliana nakile kilichofanyika na hasa inapoonyesha dhahiri kuna mabavu yametumika kwako wewe unaona ni jazba.Siku watu watakapojaa jazba usifikiri ni mdomo utakao ongea.
 
Sielewi kwa nini na sijawahi kuona mshindi kashinda alafu bado analalamika, ananung'unika manung'uniko yasio kuwa na mwisho, bado anaendelea kumsakama mpinzani wake ilihali amemshinda kwa halali. Sielewi kwa nini mshindi hajiamini na ushindi aliopata. JF ya sasa ipo level ya chini sana ya ubora wake. THINK BIG
 
Kwani hujui sababu zakwanini maandamano hayakufanyika?'Na ni njia zipi hizo unazozijua wewe zingefuatwa na kuleta ufanisi?.usijitie upofu ndugu.Muda utatupa majibu.
Aliyejitoa ufahamu ni yule mwanasheria anayejua katiba ya nchi na taratibu za kufuatwa pale unapopinga matokeo ya uchaguzi, lkn bado alitaka kuleta vurugu na kutuchafulia hali ya hewa.
Ni kweli kabisaa, muda utakupa majibu.
 
Hiyo jazba uliipimaje wewe.au kwako mtu anapoonyesha kutokukubaliana nakile kilichofanyika na hasa inapoonyesha dhahiri kuna mabavu yametumika kwako wewe unaona ni jazba.Siku watu watakapojaa jazba usifikiri ni mdomo utakao ongea.
Hayo unayoyasema yangekua ni maandamano ya amani, na wewe ulitumia kipimo gani kujua kuwa yatakua ni maandamano ya amani?
 
Sielewi kwa nini na sijawahi kuona mshindi kashinda alafu bado analalamika, ananung'unika manung'uniko yasio kuwa na mwisho, bado anaendelea kumsakama mpinzani wake ilihali amemshinda kwa halali. Sielewi kwa nini mshindi hajiamini na ushindi aliopata. JF ya sasa ipo level ya chini sana ya ubora wake. THINK BIG
Hujajiuliza kwa nini aliyeshindwa adai ni threat baada ya kushindwa kwake na hakuwa threat wakati anagombea.!!! Huu ndiyo mchezo mbaya tunaoupinga. Lissu na Lema hawawezi kuwa threat na kuhatarishiwa usalama baada ya kushindwa vibaya kwenye sanduku la kura. Hatutaki usanii wao
 
Yani chama chenye watu asilimia 80% hakuna shule ni mishen town na chama chenye asilimia 80% wamependa shule, matapeli, wezi, mandume ya kuwili, misifa, wana jeshi na silaa wapi na wapi mtachapwa sana mpaka muelimike. Miaka yote mbowe anaongoza hamjishtukii bado tu badilikeni kwanza nyie chadema wazee wa kudema.
Hujajiuliza kwa nini aliyeshindwa adai ni threat baada ya kushindwa kwake na hakuwa threat wakati anagombea.!!! Huu ndiyo mchezo mbaya tunaoupinga. Lissu na Lema hawawezi kuwa threat na kuhatarishiwa usalama baada ya kushindwa vibaya kwenye sanduku la kura. Hatutaki usanii wao
 
Back
Top Bottom