Kila dalili zinaonesha Bwawa la Nyerere kuhujumiwa na wapigaji ili kupata kile wangekosa chini ya Hayati Magufuli

Kila dalili zinaonesha Bwawa la Nyerere kuhujumiwa na wapigaji ili kupata kile wangekosa chini ya Hayati Magufuli

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Kuchelewa kufunguliwa mradi wa bwawa la Nyerere kwa hali yoyote ni njama ya wale ambao mradi kama huo ungewaingizia binafsi mabilioni kwa upigaji au wataathirika upigaji wao kwa mradi mkubwa wa hydro kuzalisha umeme megawati 2000 na zaidi. Kuna maajenti wa mabeberu wa kigeni wako tayari kwa utumishi kwa faida yao na mabwana zao.

Nchi kama tanzania ni marufuku kujitosheleza umeme na ni marufuku kua na umeme wa bei za chini kama kwenye nchi zilizoendelea. Sababu ni kuwepo mirija kila kona. Mirija midogomidogo ya wapigaji wenyeji hatimae inaunganika kua mabomba kwenda ng'ambo ulaya na marekani. Umeme wa gharama ya chini inajulikana ni kivutio kikubwa kwa uwekezaji kwenye viwanda. Maadui hawalitaki hilo. Hawataki tuendelee.

Baada ya magufuli kufa tumeona kila dalili kuonesha bwawa la nyerere litachelewa na kwamba kuna kosa hili na lile kwa hivyo litachelewa. Yaani wapigaji baada ya kujipanga wanasanifu waleje maana mradi uliyokua hautakiwi tayari upo.

Tungemshauri mama aache kuwaamini watu aliyowatosa magufuli vinginevyo watatuliza kama taifa kutokana na miradi mikubwa aliyoianzisha magufuli.

Watalihujumu taifa maana hawakubali miradi kama hiyo ipite kwa gharama halali bila wao kulamba. Pia wanafuata maelekezo ya mabebeberu wa nje ni miradi gani tu nchi inaruhusiwa kufanya.

Miradi ile tu ina maslahi na uchumi za nchi za kibeberu na ni unyonyaji wala haileti maendeleo na uhuru kwa nchi.
 
Hivi kipi ambacho serikali ya CCM inakiweza? Kwanini Kila mkifeli lawama ni kwa mabeberu au "washauri wa Rais" yaani hakunaga failure yoyote mnakubali ni udhaifu wenu.

Mbona TTCL imekufa ni mabeberu? Mbona ATCL ni hasara Kila siku ni mabeberu? Mbona mwendokasi imefeli kuwa na ufanisi nao ni mabeberu? Why uzembe mfanye wenyewe alafu msingizie mabeberu?

Nachosema hapa kama wazungu au huyo January angetaka kuhujumu umeme basi mabomba ya gesi yangelipuliwa maana umeme wa Gesi ndio unazalisha 70% ya umeme wa Tanzania. Sasa why mtu ahujumu umeme wa Maji ilihali wa gesi ambao ndio tunategemea usiguswe?

Tuache propaganda na CCM mjifunze kuwajibika kwa failures zenu.
 
Tena tushukuru "yule msanii mpigaji" ameondolewa pale, yeye kupiga pesa bila kujali anaumiza nchi nzima hajali.
 
Hivi kipi ambacho serikali ya CCM inakiweza? Kwanini Kila mkifeli lawama ni kwa mabeberu au "washauri wa Rais" yaani hakunaga failure yoyote mnakubali ni udhaifu wenu.

Mbona TTCL imekufa ni mabeberu? Mbona ATCL ni hasara Kila siku ni mabeberu? Mbona mwendokasi imefeli kuwa na ufanisi nao ni mabeberu? Why uzembe mfanye wenyewe alafu msingizie mabeberu?

Nachosema hapa kama wazungu au huyo January angetaka kuhujumu umeme basi mabomba ya gesi yangelipuliwa maana umeme wa Gesi ndio unazalisha 70% ya umeme wa Tanzania. Sasa why mtu ahujumu umeme wa Maji ilihali wa gesi ambao ndio tunategemea usiguswe?

Tuache propaganda na CCM mjifunze kuwajibika kwa failures zenu.
Wee mtetee tu kipara ila wenye fikra kama zake ndio uchochoro wa mabeberu kututesa. Tunahitaji viongozi wenye msimamo sahihi.
 
Kuchelewa kufunguliwa mradi wa bwawa la Nyerere kwa hali yoyote ni njama ya wale ambao mradi kama huo ungewaingizia binafsi mabilioni kwa upigaji au wataathirika upigaji wao kwa mradi mkubwa wa hydro kuzalisha umeme megawati 2000 na zaidi. Kuna maajenti wa mabeberu wa kigeni wako tayari kwa utumishi kwa faida yao na mabwana zao.

Nchi kama tanzania ni marufuku kujitosheleza umeme na ni marufuku kua na umeme wa bei za chini kama kwenye nchi zilizoendelea. Sababu ni kuwepo mirija kila kona. Mirija midogomidogo ya wapigaji wenyeji hatimae inaunganika kua mabomba kwenda ng'ambo ulaya na marekani. Umeme wa gharama ya chini inajulikana ni kivutio kikubwa kwa uwekezaji kwenye viwanda. Maadui hawalitaki hilo. Hawataki tuendelee.

Baada ya magufuli kufa tumeona kila dalili kuonesha bwawa la nyerere litachelewa na kwamba kuna kosa hili na lile kwa hivyo litachelewa. Yaani wapigaji baada ya kujipanga wanasanifu waleje maana mradi uliyokua hautakiwi tayari upo.

Tungemshauri mama aache kuwaamini watu aliyowatosa magufuli vinginevyo watatuliza kama taifa kutokana na miradi mikubwa aliyoianzisha magufuli.

Watalihujumu taifa maana hawakubali miradi kama hiyo ipite kwa gharama halali bila wao kulamba. Pia wanafuata maelekezo ya mabebeberu wa nje ni miradi gani tu nchi inaruhusiwa kufanya.

Miradi ile tu ina maslahi na uchumi za nchi za kibeberu na ni unyonyaji wala haileti maendeleo na uhuru kwa nchi.
Tatizo ni hapo juu huyu mama hana uwezo wa kiuongozi.

Kazi ya kiongozi ni kuchambua ushauri unaopewa, kuweka viongozi, wasaidizi sahihi, kufuatilia utekelezaji wa ilani, mipango ya serikali.

Unamuondoa Kalemani, Lukuvi, Kabudi, Polepole, Bashiru. Unakuwa na wasaidizi wa hovyo, wasioweza kufanya chochote kwa Watanzania.
 
Tatizo ni hapo juu huyu mama hana uwezo wa kiuongozi.

Kazi ya kiongozi ni kuchambua ushauri unaopewa, kuweka viongozi, wasaidizi sahihi, kufuatilia utekelezaji wa ilani, mipango ya serikali.

Unamuondoa Kalemani, Lukuvi, Kabudi, Polepole, Bashiru. Unakuwa na wasaidizi wa hovyo, wasioweza kufanya chochote kwa Watanzania.

..kabudi si ndio alimdanganya magufuli sasa tunashtakiwa na kulipishwa mabilioni ya fedha? wewe unaona huyo ni mtu wa maana?
 
Mkuu ukiwa mkweli wa nafsi yako Kabudi, Lukuvi, Kalemani walifanya vizuri zaidi waliopo leo.

..kabudi amemponza magufuli.

..kuna kesi 11 zimefunguliwa ICSD dhidi ya Tanzania na hasara yake inakadiriwa kuwa matrilioni ya shilingi.

..tayari tumeshindwa kesi 4 na matumaini ya kutoshindwa zilizosalia ni madogo.

..makesi hayo yametokana na ushauri mbaya wa Prof.Kabudi na Prof.Kilangi ambao walikuwa waziri wa sheria na mwanasheria mkuu.
 
..kabudi amemponza magufuli.

..kuna kesi 11 zimefunguliwa ICSD na hasara yake inakadiriwa kuwa matrilioni ya shilingi.

..tayari tumeshindwa kesi 4 na matumaini ya kutoshindwa zilizosalia ni madogo.

..makesi hayo yametokana na ushauri mbaya wa Prof.Kabudi na Prof.Kilangi ambao walikuwa waziri wa sheria na mwanasheria mkuu.
Hakuna alichomponza. Mikataba illiingiwa na Kikwete,mikataba ya hovyo sana. Ni bora kuikata kuliko kuendelea nayo.

Tungeendelea nayo tungelipa zaidi ya hizo pesa.

Wewe ungekuwa kiongozi wa serikali, mzalendo ungeendelea na hii mikataba, Nikupe mfano gesi kusini, bandari, misitu, mikataba 30 unajua vigezo vyake?

Ukiingia serikalini kwanini usivunje mikataba mibovu?
 
Hakuna alichomponza. Mikataba illiingiwa na Kikwete,mikataba ya hovyo sana. Ni bora kuikata kuliko kuendelea nayo.

Tungeendelea nayo tungelipa zaidi ya hizo pesa.

Wewe ungekuwa kiongozi wa serikali, mzalendo ungeendelea na hii mikataba, Nikupe mfano gesi kusini, bandari, misitu, mikataba 30?
Ni kweli Mikataba ya kijambazi ni Mkapa na huyo Kikwete.
Ikitokea akaja raisi mwingine unategemea nini kwenye mkataba wa Bandari? Nani alaumiwe?
 
Ni kweli Mikataba ya kijambazi ni Mkapa na huyo Kikwete.
Ikitokea akaja raisi mwingine unategemea nini kwenye mkataba wa Bandari? Nani alaumiwe?

Mzalendo yoyote ataitupilia mbali. Of course tutashitakiwa, so what?

Ni bora kuachana na mikataba, vitu vya hovyo. Consequences? we will deal with it.
 
Mradi mkubwa kama ule uliendeshwa kichato chato... ngoja muda utaongea!
 
Hakuna alichomponza. Mikataba illiingiwa na Kikwete,mikataba ya hovyo sana. Ni bora kuikata kuliko kuendelea nayo.

Tungeendelea nayo tungelipa zaidi ya hizo pesa.

Wewe ungekuwa kiongozi wa serikali, mzalendo ungeendelea na hii mikataba, Nikupe mfano gesi kusini, bandari, misitu, mikataba 30 unajua vigezo vyake?

Ukiingia serikalini kwanini usivunje mikataba mibovu?

..tumeingia hasara zaidi kwa kuvunja mikataba kibabe.

..gesi tulikuwa bado kwenye majadiliano, sina taarifa za magufuli kuvunja mkataba wa gesi.

NB:

..mikataba ya samia na dubai ni mibaya. Inasikitisha hakujifunza kwa mkapa na kikwete.
 
Mzalendo yoyote ataitupilia mbali. Of course tutashitakiwa, so what?

Ni bora kuachana na mikataba, vitu vya hovyo. Consequences? we will deal with it.

..mzalendo-mpumbavu ndiye anayevunja mikataba bila kujali taifa litaingia hasara zaidi.
 
..mzalendo-mpumbavu ndiye anayevunja mikataba bila kujali taifa litaingia hasara zaidi.
Wewe ungekuwa Rais ungefanya nini? Ungetupa umeme, maji, mafuta, mikataba mizuri, elimu bure kwa watoto, nidhamu serikalini, kupunguza rushwa, inflation, tozo.

Uzalendo ni nini? Mnapenda matusi sana.
 
Mirador mingi awamu ya tano sio kipaumbele cha awamu ya six
 
Hivi kipi ambacho serikali ya CCM inakiweza? Kwanini Kila mkifeli lawama ni kwa mabeberu au "washauri wa Rais" yaani hakunaga failure yoyote mnakubali ni udhaifu wenu.

Mbona TTCL imekufa ni mabeberu? Mbona ATCL ni hasara Kila siku ni mabeberu? Mbona mwendokasi imefeli kuwa na ufanisi nao ni mabeberu? Why uzembe mfanye wenyewe alafu msingizie mabeberu?

Nachosema hapa kama wazungu au huyo January angetaka kuhujumu umeme basi mabomba ya gesi yangelipuliwa maana umeme wa Gesi ndio unazalisha 70% ya umeme wa Tanzania. Sasa why mtu ahujumu umeme wa Maji ilihali wa gesi ambao ndio tunategemea usiguswe?

Tuache propaganda na CCM mjifunze kuwajibika kwa failures zenu.
Tupe ushahidi kama ni kweli gas inazalisha 70% ya umeme unaotumika nchini? Nini sasa sababu ya mgao?
 
Back
Top Bottom