KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,320
Shida ya bitcoin withdraw yake ni kwamba lazima uuze sio ufanye kama unavyotoa pesa zingine
Kingine bitcoin ni kama sandakarawe kuweza kupata faida, maana unakaa nayo hujui ni kwa mda gani itapanda ikupe faida
Naweza sema waanzilishi wa bitcoin wao ndio wanapata faida
Ukiata kuniamini mimi kuwa hii kitu ni sandakarawe kwanini withdraw yake unatakiwa kuuza?
Ukikosa mteja wa kununua hiyo bitcoin inabakia kuwa yakwako mwenyewe tu unakuwa unaingalia katika wallet yako
sishauri kwa walala hoi kujiunga na hiii issue bora ukabet tu kuliko huku bitcoin
Siwakandii waleta mada ila bitcoin haipo katika kitu unachoweza kusema biasha ya kukusaidia kiuchumi ama biashara ya kuifanya
ni bora pesa yako ukainunulia Hisa risk ni ndogo kuliko bitcoin
Kwa ufupi bitcoin ni kama maandazi
mimi muuzaji nawaambia haya maandazi ukinunua unakuja kupata faida kubwa mbeleni
nawauzia andazi moja kwa tsh.200 baada ya mwezi unawaambia imepanda thamani kwa Tsh.500
Hapo wanakuwa na faida ya Tsh.300 kisha wanaanza kuuziana tena wao kwa wao ili wapate faida
Kuuza wanunuaji ni wale wanataka nawao faida wananunua kwa tsh.450 mwenye maandazi unafaida ya 150
bado ushuru bado aliyenunua nayeye baada ya mda inashuka thamani inakuwa tsh.150
basi ndio mzunguko unaendela hivyo hivyo
Bitcoin nikweli ila ni mfumo wa wababe kuchukua pesa za wanyonge na wenye tamaa ya pesa haraka
maana ingekuwa pesa halali isingekuwa inauzwa ungekuwa unawithdraw tu
nina blackcard nilipewa na rafiki yangu mmoja ilikuwa na kama euro 450 hivi
atm yoyote niliweza zinazosaport master card na visa niliweza kutoa hela kwa tsh bila shida
sasa kwanini bitcoin uuze wakati wa kutoa?
MKuuu hizo mambo mwenzako kitamboNi kweli risk ya bitcoin ni kubwa kuliko ya ununuaji hisa au kuweka pesa katika fixed accounts za mabenk.
Na ni kweli wanao endesha mifumo ya bitcoin ndiyo wanao ingiza faida sababu wao wanadeal na faida za miamara kama ilivyo kwa faida zinazo tengenezwa na mitandao ya kifedha ya simu wao wanaaidika na miamara.
Kuhusu kubet na bitcoin hiyo nakukatalia kubeti ni hasara ambayo ikitokea haiwezi kurudi bitcioin huwezi kosa mteja kuna haiwezekani ila sema inawezekana kuuza kwa faida ndogo napo kama uliwa na haraka napesa yako.
Na katika watu walio wahi kubet na kuingiza pesa nyingi kwa mkupuo duniani hua wanaacha mchezo wa kubet na kukimbilia katika bitcoin fatilia hili kwa wale watu ambao walikua wanabeti na kubahatika kupata pesa nyingi wengi wao waliwekeza pia katika bitcoin.
Ni lweli bitcoin sio biashara ya kutokea kimaisha kama ilivyo biashara ya kununua hisa si ya kutokea kimaisha kwa mtu mwenye mtaji mdogo.
Wawekezaji wa bitcoin wanao elewa nini maana ya bitcoin ni wale wanao wekeza kwa mitaji ya juu.
Hata matajiri wengi unao wajua dunian wanauwekezaji mkubwa katika bitcoin trade na bitcoin mining.
Sikia ndugu bitcoin haina specific fees katika utoajiFedha yoyote iliyokatika mfumonwa kielectronics kuitoa ni lazima uinunue boss kama una milioni kwenye mobile money katoe sa hizi watakukata 8000 na ushee.
Bitcoin inauzwa sababu siyo pesa iliyo katika mfumo wa cash
Hata tsh shiling ikiwa katika cash huwezi inunua ila ukiigeuza ikiwa katika mfumo wa thamani ya kielecteonics mfano mitandao ya simu kuibadili tena iwe cash utailipia.
Inawezekana ikawa kweli bitcoin ikawa ni mchezo wa mabeberu kunyang'anya pesa za walala hoi lakini vipi pia hizi mbobile maney transaction na mifumo yao ya kukata pesa wakati wa kutoa hata buku siyo ndo mifumo ile ile?
Leo hii mwanauchumi yeyote anaweza kukupa mechanism namna ambavyo tsh inaweza kupanda thamani na kushika
sasa waulize wanauchumi wa bitcoin inavyopanda thamani na kushuka inakuwaje
wakijibu kama sipo naomba mnitag
Nipe maelezo hapa nikiwa na bitcoin nataka niipate in casha na withdraw vipi?Labda inaweza ikawa swali gumu kwao au jepesi ila nadhani itabidi wafahamu tu vile inavyofanya kazi si kwa wachumi wa bitcoin tu bali wachumi wote sababu ilianza kama pesa ya kimya kimya sasa hivi naona imesha anza kutumika katika malipo mengi hata kampuni za kubeti nyingi sasa hivi zimeiweka na zinaipokea kwa kuilupia na kiiwithdrwal.
Mkuu inawezekana kweli unajua issue hii miaka mingi ila si bitcoin tu ambayo unahisi kwamba inawezekana ikawa haizarishi faida inategemeana na mambo mengi sana anyway hii ni sawa na kusema kubet hakujawahi kizalisha tajiri ni michezo ya dhuruma lakini imekuwa halali sababu ina vibariMKuuu hizo mambo mwenzako kitambo
nakuambia tena kwa ukweli toka moyoni huwezi kumkuta mtu yeyote ambaye anaelewa vyema bitcoin ukamkuta ameganda huko hamna kabisa mkuu
bitcoin mnajiunga nyie mmeijua hamna hata miaka miwili
ndio mnaweza kuiona inafaida may be kwa ushauri wa bure ukiona umeweza kuuza na kupata faida achana nayo kafanye mambo mengine
jiulize kwanza pesa ambayo mtu anasema ndio itakuwa pesa ya ulimwengu huwezi kuitoa haid uuze inakuja kweli?
Ukijiuliza why you sell for withdrawing ni ishar tosha kuwa hapo mmeajiliwa kiwanda cha mzungu kufanya kazi kwa mitaji yenu na kumpelekea faida
nakufungua macho kidogo kasome Uchumi katika mifumo ya captalism kisha vianzo vyake vya mapato fananisha na bitcoin ksiha jumrisha na kutoa hela hadi uuze huwezi kuitoa ontime utapata majibu
Hiii kitu kama wewe unapata faida usishawishi mwingine ajiunge ili unufaike na refarial utakuja kuonekana mbaya na tapeli wakati sio
this is fire weka mbali na watoto
Hata ukiwa na dollar kwenye mfumo wa kielectronics bado huwezi itoa in term of cash ikiwa kama dollar itakubidi uibadili thamani ije katika pesa ya nchi husika ndo uweze kuwa na cash.Nipe maelezo hapa nikiwa na bitcoin nataka niipate in casha na withdraw vipi?
naomba uandike hatua ya kwanza hadi ya mwisho inavyokuwa hapa
Hebu tupia picha za screen unavyo anza hadi unapo ishia kwa kawaida hulipi kwa namba ya mtu binafsi unapewa namba ya wakala.Asante mkuu! ila nilipokuwa najaribu kununua kilichonikwamisha ni kwamba namba za simu pamoja na account namba za wahusika zimefichwa!!
Hata ukiwa na dollar kwenye mfumo wa kielectronics bado huwezi itoa in term of cash ikiwa kama dollar itakubidi uibadili thamani ije katika pesa ya nchi husika ndo uweze kuwa na cash.
Hata ukiwa na dollar kwenye mfumo wa kielectronics bado huwezi itoa in term of cash ikiwa kama dollar itakubidi uibadili thamani ije katika pesa ya nchi husika ndo uweze kuwa na cash.
Na kwanini bitcoin inaonekana haina msimamo wa kibei katika ununuaji ndani ya soko ni sababu watu ndiyo wanao nunua na siyo taasisi chini ya sheria flani.
Ni sawa na kusema biashara ya kubeti haina faida kwa mtu wa hali ya chini na kila kila siku makampuni mapya yanafunguliwa.
Sawa kaka umeshinda!Dollar unaweza kuitoa cash ukiamua kupata cash itategemeana na mfumo unaotumia kama unasupport kupata cash as pesa ilivyokuwa katika mfumo wa kielectronic
Pia hata usipoweza kupata dollar as dollar unaweza ukfanya withdraw moja kwa moja kwa pesa nyingine bila makato
mfano watu wa forex wengi wanweza kutoa dollar kutoka online kuja tsh bila makato ya aina yoyote ile, kwahiyo bado nadharia yenu inabeki pale pale kuwa ni manufaa ya wenye akili wakitumia pesa zenu
Ukiwa na dollar unaweza kuitoa kwa pesa nyingine eneo lolote na sehemu yoyote itategemeana tu ipo katika account ya mfumo upi
watu wanatumiwa dollar daily na wanatumia kwa manunuzi hata hapa hapa kwetu
kwahiyo butcoin haiwezi kufanyakika kirahisi kwa malipo wala kuitoa ndio maana nasema bitcoin ni kama maandazi ni lazima uuze andazi upate hela ila hauwezi kubadili andazi kwa mkate
Kama haipo katika taasisi inayotambuliwa na bank ya dunia ama chini ya sheria ya serikali fulani
Ni ishara tosha kuwa hii ni project ya watu kupata pesa kutoka kwa wanyonge wachache tu ni sawa na sandakarawe unarudi pale pale tuu
Wakifunga bitcoin yao basi unakuwa umekula hasara ila tz wakisema hawapokei dollar hata kenya unaweza ukaenda kuitolea ukapata ksh na ukaja kutumia kwa tsh
Sasa kubeti ni bahati nasibu huwezi ukaanza kuwashauri watu wajiunge katika kubeti wakati hauna uhakika wa faida
hapo umehitimisha sasa kuweka bitcoin ni sawa na betting kama nilivyokueleza mwanzo na hapa umekuja kwa ajili ya kupata watu
nawe upate faida wakijiunga kwako
thisi is not fear
Welcome AgainSawa kaka umeshinda!
Mfano mzuri angalia hapa
hawa wanauza bitcoin kila mtu kaweka bei yake
kwanini bei ziwe tofauti tofauti?
Wakati ingekuwa ni tsh itaeleweka thamini duniani kote kwamba leo iko hivi
why not bitcoin?
usishauri watu kijunga mkuu utaonekana tapeli bure we fanya wewe kama wewe kwa nafasi yako
this is more than betting
View attachment 1120674
Sio vibaya ila nakuonyesha kwamba huuu ndio mfumo wakutoa helaKumbe ni vibaya kuwa na bei tofauti kwa bidhaa moja...okey
Hata wanauza dollar huuza kwa exchange rate moja kila duka si ndiyo?!
[emoji16][emoji23][emoji23]...haya babaSio vibaya ila nakuonyesha kwamba huuu ndio mfumo wakutoa hela
ndio maana nikasema bitcoin ni sawa na maandazi huwezi kupata hela hadii uuze
na usipouza unabakia na maandazi yako
Sio vibaya ila nakuonyesha kwamba huuu ndio mfumo wakutoa hela
ndio maana nikasema bitcoin ni sawa na maandazi huwezi kupata hela hadii uuze
na usipouza unabakia na maandazi yako
Nani guarantor wa hiyo currency? Kila pesa lazima iwe backed up na real asset, mfano dhahabu nk.