FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Sasa jibu hoja na acha mipasho ya kisa*g*ji, haisaidii sana. Nani guarantor wa hiyo currency?We jamaa nakuonaga lishamba halafu lijinga kishenz. Umri umeenda halafu unakua lishamba namna hiyo
Dawa ni kufanya kazi tu[emoji16][emoji23][emoji23]...haya baba
Hii ni BITCOIN VS FOREX anyway lets see the video
Mume wa Dada yako.Sasa jibu hoja na acha mipasho ya kisa*g*ji, haisaidii sana. Nani guarantor wa hiyo currency?
TVTTBC ni nini?
Angalia attachement hizi ndo utajua kile nacho sema mwezi wa 10 mwaka jana ilikua inauzwa milioni 8 kwa bitcoin 1 na mwaka huu mwezi wa sita inauzwa 17 hadi 22 milion kwa bitcoin moja.
Hivyo kuna kipindi cha kuwekeza na kipindi cha kuuza.
Na fahamu thamani yake ni ya kupanda na kushuka ni ya dunia nzima kama ilivyo kwa dollar hivyo ikishuka haijalishi unatumia wallet gani itashuka na ikipanda haijalishi unatumia wallet gani itashuka.View attachment 1120553View attachment 1120555
Hata ukiwa na dollar kwenye mfumo wa kielectronics bado huwezi itoa in term of cash ikiwa kama dollar itakubidi uibadili thamani ije katika pesa ya nchi husika ndo uweze kuwa na cash.
Bitcoin hivyo hivyo ukiwa nayo nilazima uibadili ije katika pesa ya nchi husika kwa thamani yake ndiyo uitoe.
Tofauti hapa kati ya bitcoin na pesa nyingine ni hii.
Unaweza ukaibadili dollar katika tsh na ukaamua uitoe kwenye bank ukaenda bank bank wakakupa tsh
Bitcoin ili upate tsh ni lazima uiuze kwa mtu anaye ihitaji mwenye tsh sababu mabenk yote duniani bado hayajaitambua hivyo ndoomaana makampuni mengi ya wallet za bitcoin yana wauuzaji na wanunuaji.
Na kwanini bitcoin inaonekana haina msimamo wa kibei katika ununuaji ndani ya soko ni sababu watu ndiyo wanao nunua na siyo taasisi chini ya sheria flani.
Ni kweli kama unavyosema inawezekana ikawa haina faida lakini sijui kama unaifuatilia vile inavyo anza kuwa na nguvu za kufanya miamala mbalimbali ya kuuza na kununua kwa sasa katika mitandao.
Ni sawa na kusema biashara ya kubeti haina faida kwa mtu wa hali ya chini na kila kila siku makampuni mapya yanafunguliwa.
[/QUOTE
Zaidi ya bit coin kuna kampuni nyingine of the same nature. Na kama zipo, je ipo iliyo na fixed exchange rate kama ilivyo ktk makampuni ya simu unapotaka kutoa pesa?
Ili niwe authorized kuwa bit coin wallet. Vigezo gn hutumika
Hahaha.....kijana hakuna mablocker hukuOntario remix
Umeambiwa haijatambulika na taasisi za kifedha ndo maana ukitaka kuiwithdraw lazma uibadili kwenda katika fedha inayotambulika kama tsh,dollars, euro, pound etc.Unamuuzia nani ?
Na kama Bitcoin ni pesa, kwanini inunuliwe na kuuzwa tena kwa pesa ya kawaida ?
Huna hoja.Mume wa Dada yako.
Kwa waliopo nje ya Tanzania unaweza kununua crypto kupitia skrill, crypto is the future money is just numbers
welcomeNyingne tena...
welcome
wapo huyu mwenyewe anayekukushauri ukijiunga na huu utapeli yeye anapata chochote kitu kazi inabaki kwako kupiga kele uwiii yakushatoHahaha.....kijana hakuna mablocker huku
Mkuu anchana nao hao ni ontario group wamekuja kivingine baada ya kuja na ID mpya ili watutwange upyaHuna hoja.
Unajiunga mwenyw.....hauunganishwi na mtuwapo huyu mwenyewe anayekukushauri ukijiunga na huu utapeli yeye anapata chochote kitu kazi inabaki kwako kupiga kele uwiii yakushato
Basi sawa kila lakheriUnajiunga mwenyw.....hauunganishwi na mtu
Shida ya bitcoin withdraw yake ni kwamba lazima uuze sio ufanye kama unavyotoa pesa zingine
Kingine bitcoin ni kama sandakarawe kuweza kupata faida, maana unakaa nayo hujui ni kwa mda gani itapanda ikupe faida
Naweza sema waanzilishi wa bitcoin wao ndio wanapata faida
Ukiata kuniamini mimi kuwa hii kitu ni sandakarawe kwanini withdraw yake unatakiwa kuuza?
Ukikosa mteja wa kununua hiyo bitcoin inabakia kuwa yakwako mwenyewe tu unakuwa unaingalia katika wallet yako
sishauri kwa walala hoi kujiunga na hiii issue bora ukabet tu kuliko huku bitcoin
Siwakandii waleta mada ila bitcoin haipo katika kitu unachoweza kusema biasha ya kukusaidia kiuchumi ama biashara ya kuifanya
ni bora pesa yako ukainunulia Hisa risk ni ndogo kuliko bitcoin