honeyHot
Senior Member
- Nov 30, 2014
- 176
- 51
jaribu hili ni flash game lifungue na mozila au chrome au ie then cheza
asante sana imekubali naicheza sasa,nimeshika nafasi ya tatu,mpaka niwe no.moja Leo....asante sana sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jaribu hili ni flash game lifungue na mozila au chrome au ie then cheza
Kwa hii pc uliyo izungumzia hapa inaweza kucheza gta v.?hii hapa ila kama una bundle ya mawazo achana nalo subiria watu wakidownload wakupe
http://kickass.to/grand-theft-auto-...3-multi11-fitgirl-ultra-repack-t10534457.html
hili ni around gb 30, ni repack. original around gb50. pia pc inayocheza hili game nayo inahitaji iwe ya ukweli
NFS most wanted nadownload wapi Bulldog ?Zaidi ya Need for Speed Most wanted sijawahi penda game yeyote kwenye PC. Au ile ya the tomb of montenezuma
hapana haiwezi ila core 2 quad inaweza zipo za q8400 kwa chini ya laki 2 au around 270,000 na monitor yake lakini utahitaji graphics card hivyo andaa laki 1 au 2 tena kwa ajili ya hi gpu.Kwa hii pc uliyo izungumzia hapa inaweza kucheza gta v.?
Kwa hiyo mkuu ilimladi napenda kucheza game kwenye PC yangu sharti ni download hizo zote softwares kwenye PC yangu?Nimeandika uzi huu kuwasaidia watu ambao wanataka kucheza games kwenye pc na wanashindwa au hawana pc na wanatamani kuwa na pc waweze kucheza games hizi.
Mahala pa kununulia pc za kuchezea games kwa bei rahisi
Ni ngumu kwa tanzania kupata desktop/laptop ambayo ina cpu yenye nguvu kuhandle games. nilitafuta solution hii mpaka mwisho nikaamua kutumia hizi hizi core 2 duo. nilitafuta best core 2 duo ambazo perfomance yake inasameheka na kwa tz nikaipata E8400, zipo maduka mengi.
Processor hii inahandle dolphin emulator kwa 60fps hivyo inauwezo wa kuhandle almost game yoyote ile kwa low setting hadi medium.
![]()
Kama unavyoona kwenye picha unapata full 60fps huku cpu ikiwa imetumika 69% tu.
Hivyo kama unataka gaming desktop kwa bei rahisi nashauri kuchukua machine hii ya core 2 duo e8400, specs zake nyengine ni kama 2gb ram na 160gb hdd. bei zake ni around 150,000 hadi 170,000 shilings.
Machine hii haina graphics card hivyo itabidi utafute low level card ili kuiboost gaming perfomance. sijui hata zinapatikana wapi hapa tz.
Mahala pa kudownload games
Njia rahisi kabisa ya kudownload games ni kutumia website ya oceangames ambayo wanatoa direct links
Ocean of Games
Solution kwa games zisizofanya kazi
Kama wewe unapenda games kabla hujaeka game lolote make sure una vitu hivi
-direct x zote
Download hapa ni web installer - https://www.microsoft.com/en-us/download/details.aspx?id=35
-.net framework 4.5 na 3.5
Download 4.5 hapa-Download Microsoft .NET Framework 4.5 from Official Microsoft Download Center
Download 3.5 hapa - Download Microsoft .NET Framework 3.5 from Official Microsoft Download Center
-redistributal c++
zipo nyingi hizi download zote au zinazohitajika na gamwe lako
https://support.microsoft.com/en-us/kb/2977003
Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
mkuu hizo ni dependence za game kama game halifunguki linaleta error kama mcv100.dll is missing ujue utakuwa unamiss moja ya hizo software.Kwa hiyo mkuu ilimladi napenda kucheza game kwenye PC yangu sharti ni download hizo zote softwares kwenye PC yangu?
Nnayo 50GB full setupgtv 5 inapatikana wapi man,
Mkuu upo wapi unisaidie niki na shida nayoNnayo 50GB full setup
DsmMkuu upo wapi unisaidie niki na shida nayo
Dar, sehemu gani mie pia nipo dar. Maeneo yangu ni dit na kigamboni ndio maskani
Mimi home mikochen kazin airport.Dar, sehemu gani mie pia nipo dar. Maeneo yangu ni dit na kigamboni ndio maskani
Mkuu tufanye mpango tuonane unipasie hii kitu..Mimi home mikochen kazin airport.
Wewe tuuMkuu tufanye mpango tuonane unipasie hii kitu..
0659445718 tuwasiliane mkuuWewe tuu
ghz hazina maana kama unafananisha architechture tofauti. mfano skylake processor ya 2ghz ina speed kubwa kushinda hata 4ghz ya core 2 duo.Hiv km pc yako haina vigezo ambavyo game fulan inayoo naweza kuicheza pia mfanoo
Game inataka processor 2. 6 afu yangu n 2. Inakuaje hapoo