Jaman mnayaona hayo mengine yanapasha! Leo yatatuua
Mkuu watu wanaongea tu hapa hawawajui vizuri hawa jamaa kwa kulinganisha na wachezaji wetu,
Hadi hapa wamejitahidi kwa kweli.
dk 64HT
sisi 1-0 Bashite
Tuombe tule goli ndogo zisifike hamsa tuTusubiri second half☺