respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,842
Hii mechi ikiisha unahitaji kupima vidonda cha tumbo... khaaaaa....!!
Wachezaji wamelegea utadhani mlenda, wanauogopa mpira utafikiri zirail mtoa roho.. daaah
Wachezaji wamelegea utadhani mlenda, wanauogopa mpira utafikiri zirail mtoa roho.. daaah