Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Kwanza maumbo ya simba wa teranga ni kama wanacheza na under 10 (U10)pili kisoka senegal wametuzidi sana tusitafute mchawi almuhimu ni kujifunza zaidi na kurekebisha mapungufu yetu. Mpira si kutamani tu kushinda bali ni uwekezaji sahihi wa muda mrefu na subra ikiwa na mipango endelevu na madhubuti