Kila mauaji hushuhudiwa na macho matano

Kila mauaji hushuhudiwa na macho matano

Wata weza kweli kumpata muuwaji wa Huyo mkuu washule kweli mbona kama ni ana PhD ya uuwaji
Uzuri ni kwamba, kwa maelezo ya mtoa mada, kuna macho mengi sana ambayo husaidia kufanikisha kukamatwa kwa muaji/wauaji, rpc muroto ametuambia jana kwamba eti marehemu alifariki baada ya moyo kushindwa kufanya kazi, anasahau kwamba mtu akikabwa koo moyo utakosa hewa na utasimama, kwa hiyo moyo kushindwa kufanya kazi haimaanishi kwamba mtu huyo amekufa mwenyewe kama ambavyo rpc alijaribu kutudanganya, kuna possibility kubwa kwamba aliuawa na wasiojulikana ambao sasa tumeanza kuwajua, maswali ya mtoa mada hapa juu ni ya muhimu sana kujibiwa
 
Hata kama nitaombwa kufanya hivyo hutojua

Jr[emoji769]
Mkuu wengine sio unajisumbua kuwajibu, watu wamezoea mada za kina diamond na alikiba, wakikuta mada za namna hii, yaani za kufikirisha wanaanza kuleta utani na mizaha, sio lazima kila mada u comment, sometime unapita unaenda zako vijiweni
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji109][emoji123][emoji109][emoji116]
Mkuu wengine sio unajisumbua kuwajibu, watu wamezoea mada za kina diamond na alikiba, wakikuta mada za namna hii, yaani za kufikirisha wanaanza kuleta utani na mizaha, sio lazima kila mada u comment, sometime unapita unaenda zako vijiweni

Jr[emoji769]
 
Mkuu kuna inshu ya evidence
Admissible na non admissible kwani hao wataalam wanaweza fanya uchunguz lakini evidence ikawa non admissible
Mfano dying declaration au ali bi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani iwe ndugu zangu wa Jamii Forum.

Nimeisikiliza kwa Makini taarifa ya RPC wa Dodoma Ndugu Muroto juu ya Kifo cha Ndugu yetu Mpendwa Marehemu Sheikh Rashid Bura ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa The Dalai Islamic Centre.

Awali ya yote napenda Jamii ifahamu kuwa;

a/ Sheikh Rashid Bura alikuwa ni Rafiki yake na Kamanda Muroto.

b/ Sheikh Rashid Bura alikuwa ni Mmiliki wa ZAMZAM PRE & PRIMARY SCHOOL.

c/ Sheikh Rashid Bura alikuwa akijishughulisha na shughuli nyingine pia (Naiweka kapuni kwa Sasa) licha ya kuwa ni Mmiliki wa Shule.

Kamanda Muroto ameficha mengi juu ya Kifo cha Sheikh Rashid Bura. Hapa naomba nielezee utata uliopo juu ya Kifo chake.

UTATA.

1. SAFARI,
a/ Marehemu Sheikh Rashid Bura alisafiri kutoka Dodoma kwenda Dar es salaam siku ya Ijumaa Tarehe 20/12/2019 na siyo Tarehe 21/12/2019 kama alivyosema Kamanda Muroto. Tarehe 21/12/2019 ilikuwa ndiyo siku ya Kongamano / Mkutano huo wa Kidini. Katika Safari hiyo waliondoka watu wawili katika chombo kimoja cha usafiri.

b/ Tarehe 22 Marehemu alirudi Dodoma lakini akiwa amemuacha aliyeenda naye Safari huko Dar es salaam. Alipofika Dodoma alienda Kuswali katika MSIKITI wa NUNGE na baadae kuelekea Ofisini kwake.

NB: KWENYE TAREHE YA SAFARI KUNA JAMBO HALIPO SAWA.

2. MAWASILIANO,
Marehemu Sheikh Bura, aliwasiliana na Ndugu zake kwa njia ya Maongezi kwa mara ya Mwisho Jumamosi Usiku akiwa Dar es salaam. Baada ya hapo Simu za Ndugu zake hazikupokelewa tena na Meseji hazikujibiwa pia. Siku ya Jumapili Mawasiliano yaliyopatikana Pekee ni UJUMBE wa WHATSAPP ambao uliwapa taarifa Ndugu kuwa Amewasili Dodoma. Baada ya hapo hakukuwa na Mawasiliano tena.

NB: SHEIKH BURA HAKUWAHI KUTOPOKEA SIMU AU KUKOSEKANA HEWANI SIKU ZOTE AMBAZO AMEKUWA AKISAFIRI. KUTOPOKEA SIMU NA KUKOSEKANA KWAKE HEWANI KUMELETA MKANGANYIKO MKUBWA.

3. MAZINGIRA YA KUPATIKANA KWAKE,
Mazingira ya kupatikana kwa Sheikh Bura yana utata mwingi Sana,

a/ Sheikh Bura alipatikana Ofisini kwake siku ya tatu baada ya Mauti yake tena Mwili ukiwa umeanza kuharibika. Maswali ya kujiuliza,

i/ Je Ofisi yake haina Msaidizi wa Kazi ambaye angeweza kugundua kifo chake?

ii/ Je Ofisi za Jirani hawakuweza kusikia hata harufu ya kitu kinachotoa harufu kutoka Ofisini kwake?

b/ Polisi na Ndugu walipofika Ofisini kwake walikuta Mlango umefungwa na walipo uvunja na kuingia ndani walikuta mwili wa Marehemu LAKINI UFUNGUO HAUKUWEPO MLANGONI NA HATA NDANI PIA. Swali la kujiuliza, NI NANI ALIMFUNGIA SHEIKH BURA KWA NJE?

c/ Mwili wa Marehemu Sheikh Bura ulikutwa na Vazi lake la Kanzu lakini likiwa na Damu. Swali la kujiuliza, JE DAMU HII KWENYE KANZU YA MAREHEMU ILITOKA WAPI?

4. SIKU YA MAZISHI,
Siku ya Mazishi 26/12/2019 Mwili wa Marehemu Sheikh Bura ulitolewa Mochwari na kupelekwa Nyumbani kwake na Gari la Polisi na hata kutoka Nyumbani kwenda eneo la Mazishi (MAKABURI YA CHAMWINO / CHINANGALI) Mwili wake ulipelekwa na Gari la Polisi. Polisi pia walitoa basi lao kwa ajili ya kubeba wafiwa. Basi hili lilikwama Kwenye eneo karibu kabisa Ofisi ya Serikali ya Mtaa. Maswali ya Kujiuliza,

i/ Je ni utaratibu wa kawaida kwa Magari ya Jeshi la Polisi kubeba Mwili wa Marehemu mpaka Nyumbani na Eneo la Maziko?

ii/ Je ni utaratibu wa kawaida kwa Basi la Jeshi la Polisi kubeba wafiwa?

iii/ Uwepo wa Jeshi la Polisi kwenye eneo la tukio kulimaanisha nini?

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Amani iwe ndugu zangu wa Jamii Forum.

Nimeisikiliza kwa Makini taarifa ya RPC wa Dodoma Ndugu Muroto juu ya Kifo cha Ndugu yetu Mpendwa Marehemu Sheikh Rashid Bura ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa The Dalai Islamic Centre.

Awali ya yote napenda Jamii ifahamu kuwa;

a/ Sheikh Rashid Bura alikuwa ni Rafiki yake na Kamanda Muroto.

b/ Sheikh Rashid Bura alikuwa ni Mmiliki wa ZAMZAM PRE & PRIMARY SCHOOL.

c/ Sheikh Rashid Bura alikuwa akijishughulisha na shughuli nyingine pia (Naiweka kapuni kwa Sasa) licha ya kuwa ni Mmiliki wa Shule.

Kamanda Muroto ameficha mengi juu ya Kifo cha Sheikh Rashid Bura. Hapa naomba nielezee utata uliopo juu ya Kifo chake.

UTATA.

1. SAFARI,
a/ Marehemu Sheikh Rashid Bura alisafiri kutoka Dodoma kwenda Dar es salaam siku ya Ijumaa Tarehe 20/12/2019 na siyo Tarehe 21/12/2019 kama alivyosema Kamanda Muroto. Tarehe 21/12/2019 ilikuwa ndiyo siku ya Kongamano / Mkutano huo wa Kidini. Katika Safari hiyo waliondoka watu wawili katika chombo kimoja cha usafiri.

b/ Tarehe 22 Marehemu alirudi Dodoma lakini akiwa amemuacha aliyeenda naye Safari huko Dar es salaam. Alipofika Dodoma alienda Kuswali katika MSIKITI wa NUNGE na baadae kuelekea Ofisini kwake.

NB: KWENYE TAREHE YA SAFARI KUNA JAMBO HALIPO SAWA.

2. MAWASILIANO,
Marehemu Sheikh Bura, aliwasiliana na Ndugu zake kwa njia ya Maongezi kwa mara ya Mwisho Jumamosi Usiku akiwa Dar es salaam. Baada ya hapo Simu za Ndugu zake hazikupokelewa tena na Meseji hazikujibiwa pia. Siku ya Jumapili Mawasiliano yaliyopatikana Pekee ni UJUMBE wa WHATSAPP ambao uliwapa taarifa Ndugu kuwa Amewasili Dodoma. Baada ya hapo hakukuwa na Mawasiliano tena.

NB: SHEIKH BURA HAKUWAHI KUTOPOKEA SIMU AU KUKOSEKANA HEWANI SIKU ZOTE AMBAZO AMEKUWA AKISAFIRI. KUTOPOKEA SIMU NA KUKOSEKANA KWAKE HEWANI KUMELETA MKANGANYIKO MKUBWA.

3. MAZINGIRA YA KUPATIKANA KWAKE,
Mazingira ya kupatikana kwa Sheikh Bura yana utata mwingi Sana,

a/ Sheikh Bura alipatikana Ofisini kwake siku ya tatu baada ya Mauti yake tena Mwili ukiwa umeanza kuharibika. Maswali ya kujiuliza,

i/ Je Ofisi yake haina Msaidizi wa Kazi ambaye angeweza kugundua kifo chake?

ii/ Je Ofisi za Jirani hawakuweza kusikia hata harufu ya kitu kinachotoa harufu kutoka Ofisini kwake?

b/ Polisi na Ndugu walipofika Ofisini kwake walikuta Mlango umefungwa na walipo uvunja na kuingia ndani walikuta mwili wa Marehemu LAKINI UFUNGUO HAUKUWEPO MLANGONI NA HATA NDANI PIA. Swali la kujiuliza, NI NANI ALIMFUNGIA SHEIKH BURA KWA NJE?

c/ Mwili wa Marehemu Sheikh Bura ulikutwa na Vazi lake la Kanzu lakini likiwa na Damu. Swali la kujiuliza, JE DAMU HII KWENYE KANZU YA MAREHEMU ILITOKA WAPI?

4. SIKU YA MAZISHI,
Siku ya Mazishi 26/12/2019 Mwili wa Marehemu Sheikh Bura ulitolewa Mochwari na kupelekwa Nyumbani kwake na Gari la Polisi na hata kutoka Nyumbani kwenda eneo la Mazishi (MAKABURI YA CHAMWINO / CHINANGALI) Mwili wake ulipelekwa na Gari la Polisi. Polisi pia walitoa basi lao kwa ajili ya kubeba wafiwa. Basi hili lilikwama Kwenye eneo karibu kabisa Ofisi ya Serikali ya Mtaa. Maswali ya Kujiuliza,

i/ Je ni utaratibu wa kawaida kwa Magari ya Jeshi la Polisi kubeba Mwili wa Marehemu mpaka Nyumbani na Eneo la Maziko?

ii/ Je ni utaratibu wa kawaida kwa Basi la Jeshi la Polisi kubeba wafiwa?

iii/ Uwepo wa Jeshi la Polisi kwenye eneo la tukio kulimaanisha nini?

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
[emoji45][emoji45][emoji26][emoji26][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna indicators zinaanza kuwaka
1. Taarifa ya polisi nayo ni tata. Mtu aliyekosa msaada kifo chake kikoje!?
2. Kamanda anasema simu ya marehemu ilijizima kwa kukosa chaji, je iliyozimwa ikoje?!
3. Fedha zote ziko intact hazikuibea, afande atueleze je marehemu kama alikuwa na milioni zikachukuliwa laki nane zikabaki hizo intact anaushahidi gani Kiasi cha fedha alizokuwa nazo marehemu kabla ya mauti.
4. Afande kwanini anatofautiana na familia ambayo ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwasili pale ofisini?
5. Maiti ilikutwa imekaa chini, hivi ilikutwa imelala au imekaa?

Je umri wa maafande wetu wanael mewa hadi kushindwa kutafakari incidents Kama hizi, anatoa conclusion rahisi rahisi tu.
RIP

Jr[emoji769]
Wamechoka wanaona mtawasumbua tu wakati mishahara yenyewe haipandishwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiamua kufuata weledi na kutumia wataalam kwenye fani husika... All unsolved murders will be solved

Jr[emoji769]
Mshanna hatuna clues zilizokusanywa, of is now IPO sawa KWA matumiz, muda umepita, Assad hataki kusema, doctor amepindishs taarifa, familia imezubaishwa

Watagundua nn zaid ya kusema huwenda aliuawa kupitia ushahid wa masimuliz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wauaji hawajawahi fahamika hadi leo tokea zama za mawe[emoji16]

Struggle For Success!
 
Na mimi niliamka leo na wazo la kujiuliza je wakati wanavunja mlango ufunguo ulikutwa wapi ndani au la, ila hapa umetupa jibu ndugu mshana na inaonyesha wazi kabisa aliuwawa kama ni kweli haukukutwa ufunguo. Ila wataalamu watusaidie kwani hawawezi kuchunguza alama za mikono kwenye kitasa pengine wanaweza kupata chochote.
Hilo la gari za polisi kubeba mwili huku kwetu kijijini ni kawaida naona mara kwa mara wanafanya hivyo sijajuaga sababu ni nini hasa, especially kama kuna utata wa kifo mf.mtu aliyejiua au kujinyonga.

Mshana Jr
 
Nieleweshe kwenye udongo hapo tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Udongo unatumika kwenye tasnia ya upelelezi ili kung'amua muhusika.

Nikupe mfano huu.

Muuaji ametoka Los Angeles kuja Miami Beach kufanya mauaji,

Akaja na Gari hadi eneo la tukio ambapo ni fukwe, alipomaliza Kuua akaondoka eneo la tukio moja kwa moja hadi Los Angeles.

Hapo, police wakija wataona alama za Tyres zilizoachwa na Gari ya yule jamaa,

Watachota sample ya udongo kutoka kwenye Tyres za gari na kuupeleka maabara ya kiupelelezi, baadae itakulikana muuaji alitokea Los Angeles mpaka Miami kwasababu udongo unatabia ya kutofautiana eneo na eneo.

Kiasi utakuwa umenielewa, Ahsante!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr kibongo bongo hao wataalam tunao? na kama wapo huchunguza mauaji yote au mpka auliwe mtu mweny jina na nafasi
Kwa wenzetu waliotutangulia kuona mbali macho yote matano kila moja huwa na wataalam wake rasmi tena wabobezi.. Mchanga/udongo kidogo tu usioendana na na ule wa eneo husika huwa ni break through kubwa sana
Leso iliyosahaulika, nyayo za viatu, kichungi cha sigara, alama za vidole nknk.. Ni clues muhimu sana kwenye kupata ukweli

Jr[emoji769]
 
unafaaa kuwa Mpelelezi kaka mkuu
Tunamaliza mwaka 2019 na taharuki za kutisha na kutosha. Kwa akili za wastani ni rahisi sana kuwanyooshea vidole wengine lakini kiroho tafsiri ni kubwa kuliko hilo.

Mojawapo ya 'case sensitive ' kwa binadamu ni kifo cha mauaji. Kifo cha dhamira. Hivi huacha fadhaa na maswali mengi yasiyo na majibu kwa wengi. Kifo cha mauaji ya dhamira huwa ni jambo la siri kubwa. Hivyo usipokuwa mahiri kwenye uchunguzi utaishia kufeli.

Wenzetu waliotutangulia kufikiri waliamua kuachana na dhana za kifo ni kazi ya Mungu... Wakiamini kabisa kila kifo cha mauaji ya dhamira hupangwa na kuna macho matano huona... Ni katika hayo macho matano utata wa mauaji husika hutatuliwa..

Ukiachana na macho ya BINADAMU, vitu navyo vina macho lakini yasiyoonekana
Majengo yana macho
Muda una macho/ mawasiliano
Silaha zina macho
Vyombo na mitambo na machine vina macho
Barabara zina macho
Mapori, maji milima mabonde misitu nknk... Kila kitu kina macho...

Vifo vya mauaji ya dhamira ya kupangwa huwa na macho muhimu matano
1. Macho ya eneo mauaji yalipofanyika.
2.silaha zilizotumika
3. Muda /mawasiliano
4.Muuaji/wauaji
5. Muuliwa/ Mhanga
Mipango mingi ya mauaji hupangwa na binadamu asiye mkamilifu... Hivyo kwa asilimia 95 ni lazima ataacha kiashiria onwa ambacho kikitumika vizuri.. Kitafumbua fumbo la mauaji husika...

1. Eneo la mauaji yalipofanyika.. Tambua kwanini huzunguushiwa uzio maramoja... Hapa ni kwa ajili ya kulinda ushahidi.. Hapa hukusanywa kila kitu kidogo ambacho kiasili hakikupaswa kuwepo pale

2.silaha zilizotumika /iliyotumika ukiachana na vitu kama bunduki na sumu (ambavyo ni traceable) kuna visu kamba mikono nk. Wataalam huweza kukwambia kwa hakika hiyo ni silaha ya aina gani iliyotumika na mtumiaji ni mahiri ama la...

3.Muda husema mengi. Muda roho ilipoacha mwili. Mawasiliano ya mhanga na wauaji nknk

4. Muuaji/wauaji... Hawa hukamatika kufuatilia clued za japo juu na hii moja ya mwisho hapa chini

5.Muuliwa... Unajua kwanini wengi huuliwa kwa nyuma? Macho ya Muuliwa huhifadhi picha za matukio ya mwisho kabla ya kukata roho na ndio sababu wengi kutobolewa macho..

Kwa wenzetu waliotutangulia kufikiri wameongeza macho mengine kurahisisha ufanisi... Camera za siri na tracking devices zilizofichwa sehemu mbalimbali mpaka hata mwilini...

Mkurugenzi wa taasisi moja ya kidini na mmiliki wa shule amekutwa ofisini kwake akiwa kauliwa.. Kuna maswali muhimu ya kujiuliza

. Ofisini yuko peke yake? Ama wauaji walitegea akiwa pekeyake?
. Hana mawasiliano ya kawaida na watu wengine? Maana mwili uligunduliwa baada ya siku tano kupita...
. Hana marafiki wa kumtafuta walau kwa siku ambazo alikuwa haonekani?
. Hana familia? Kwamba baba leo jajarudi au kama imesafiri hakukuwa na mawasiliano kwa siku 5 mfululizo?
. Dhamira ya mauaji huwa ni jambo la muhimu pia.. Lakini pia wauaji mahiri hutumia historia na mazoea ya mtu kufanisha mauaji salama na kadiri muda unavyopita ndio baadhi ya yale macho matano hupoteza uwezo wake

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta Uzi mwingine
Tunamaliza mwaka 2019 na taharuki za kutisha na kutosha. Kwa akili za wastani ni rahisi sana kuwanyooshea vidole wengine lakini kiroho tafsiri ni kubwa kuliko hilo.

Mojawapo ya 'case sensitive ' kwa binadamu ni kifo cha mauaji. Kifo cha dhamira. Hivi huacha fadhaa na maswali mengi yasiyo na majibu kwa wengi. Kifo cha mauaji ya dhamira huwa ni jambo la siri kubwa. Hivyo usipokuwa mahiri kwenye uchunguzi utaishia kufeli.

Wenzetu waliotutangulia kufikiri waliamua kuachana na dhana za kifo ni kazi ya Mungu... Wakiamini kabisa kila kifo cha mauaji ya dhamira hupangwa na kuna macho matano huona... Ni katika hayo macho matano utata wa mauaji husika hutatuliwa..

Ukiachana na macho ya BINADAMU, vitu navyo vina macho lakini yasiyoonekana
Majengo yana macho
Muda una macho/ mawasiliano
Silaha zina macho
Vyombo na mitambo na machine vina macho
Barabara zina macho
Mapori, maji milima mabonde misitu nknk... Kila kitu kina macho...

Vifo vya mauaji ya dhamira ya kupangwa huwa na macho muhimu matano
1. Macho ya eneo mauaji yalipofanyika.
2.silaha zilizotumika
3. Muda /mawasiliano
4.Muuaji/wauaji
5. Muuliwa/ Mhanga
Mipango mingi ya mauaji hupangwa na binadamu asiye mkamilifu... Hivyo kwa asilimia 95 ni lazima ataacha kiashiria onwa ambacho kikitumika vizuri.. Kitafumbua fumbo la mauaji husika...

1. Eneo la mauaji yalipofanyika.. Tambua kwanini huzunguushiwa uzio maramoja... Hapa ni kwa ajili ya kulinda ushahidi.. Hapa hukusanywa kila kitu kidogo ambacho kiasili hakikupaswa kuwepo pale

2.silaha zilizotumika /iliyotumika ukiachana na vitu kama bunduki na sumu (ambavyo ni traceable) kuna visu kamba mikono nk. Wataalam huweza kukwambia kwa hakika hiyo ni silaha ya aina gani iliyotumika na mtumiaji ni mahiri ama la...

3.Muda husema mengi. Muda roho ilipoacha mwili. Mawasiliano ya mhanga na wauaji nknk

4. Muuaji/wauaji... Hawa hukamatika kufuatilia clued za japo juu na hii moja ya mwisho hapa chini

5.Muuliwa... Unajua kwanini wengi huuliwa kwa nyuma? Macho ya Muuliwa huhifadhi picha za matukio ya mwisho kabla ya kukata roho na ndio sababu wengi kutobolewa macho..

Kwa wenzetu waliotutangulia kufikiri wameongeza macho mengine kurahisisha ufanisi... Camera za siri na tracking devices zilizofichwa sehemu mbalimbali mpaka hata mwilini...

Mkurugenzi wa taasisi moja ya kidini na mmiliki wa shule amekutwa ofisini kwake akiwa kauliwa.. Kuna maswali muhimu ya kujiuliza

. Ofisini yuko peke yake? Ama wauaji walitegea akiwa pekeyake?
. Hana mawasiliano ya kawaida na watu wengine? Maana mwili uligunduliwa baada ya siku tano kupita...
. Hana marafiki wa kumtafuta walau kwa siku ambazo alikuwa haonekani?
. Hana familia? Kwamba baba leo jajarudi au kama imesafiri hakukuwa na mawasiliano kwa siku 5 mfululizo?
. Dhamira ya mauaji huwa ni jambo la muhimu pia.. Lakini pia wauaji mahiri hutumia historia na mazoea ya mtu kufanisha mauaji salama na kadiri muda unavyopita ndio baadhi ya yale macho matano hupoteza uwezo wake

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom