Kila mke wangu akifanya madudu, namkumbuka Ex wangu alikua na akili nikamuacha maana hakua mzuri

Huyo lazima wazazi wake n8 wanaccm
 
Huyo anaewaza ngono muda wote si ndio mzuri mkuu?..ebu nipasie mimi hapa nimfaidi.
 
Uzuri wa mkakasi ....
 
Wazee tilipo sema uzuri wa mwanamke ni tabia, hauku tusikiliza..teh🤣
 
Mbona wazuri na wenye akili wapo kibao. Wewe tu mchagua nazi pambana na koroma lako
Huyo alienae mtoa mada ndo mzuri...maana ukitaka kunyandua (na ndio lengo kuu la ndoa) unashika tu kama kuku...
Tofauti na wenye brains maana utabidi ujieleze sana ndo upate tunda
 
This creation makes all kinds of unique idiots, if you understand your one kind of idiot and others set kind of idiots, you will understand. no one size fits all
 
Ni kweli.. baadhi ya Wanawake si wa kuoa ni wa kupiga na kutembea..

Mie pia nina complete package yangu ingaw ina changamoto ya attitude flan flan.. uzur kakutanq na KISIKI cha MPINGO naenda nae JINO kwa JINO.
 
Yeah tumpe muda huyo

Mwanamke anayeleta challenges sana hakawii kuwa mshindani wako kwenye ndoa Amani ya moyo utaitafuta nje
Siku zote mwanzo wake unakuwa unafurahia lakini kadri muda unavyokwenda unakuja kugundua kuwa umepata mshindani badala ya mke....hata yale mambo mepesi yanayotaka utekelezaji yatazaa mjadala kama bunge la bajeti........
 
mwaswali ndio nini,wewe na yeye mpo akili sawa
 
Nimejifunza kitu hapa, inaonekana hakuna perfection ya mke coz unachokiona wewe kuwa ndo sifa yenye uzito zaidi ya mke ni tofauti na mwenzako, yote ni kulingana na kila mmoja mke wake amekosa nini.

Mi nadhani tabu inaanzia na kuwa na mahusiano mengine kabla ya ndoa. Ukiwa ulikutana na jambo moja ulilolifurahia kule na ikatokea huku unalikosa tataizo linaanzia hapo bila kujali yule wa mwanzo alikuwa na mapungufu gani.

Mfano mleta mda aliachana na X wake na akamuoa huyu wa sasa, wakati ule kilichokuwa na uzito kwake ni kile alichokosa yule wa mwanzo na huyu wa sasa anacho, ila sasa tatizo limekuwa vice versa.

Just tutambue kuwa watu hawapo sawa, jua nini ni kipaumbele chako kabla ya kuanza mahusiano, Oa mwanamke mwenye hizo sifa na ikitokea ana mapungufu makubwa (madhaifu yasiyokuwa makosa) basi Oa mke mwengine kwa kile unachokitamani bila ya kumuacha yule wa mwanzo. Ukitimiza wanne hakutakuwa na unachotamani zaidi, otherwise wewe ndo tatizo. Ikiwa dini yako hairuhusu mke zaidi ya mmoja then atleast limit experience yako kwa yule ulionae tu, no previous experience and no additional experience baada yake, hii itakupunguzia msongo wa mawazo coz if u don't know what u r missing then u r not missing anything.
 
mkuu hayo madudu ni part ya familia yako mbona wewe una madhaifu yeye ana vumilia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…