Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Vita hii ni ya Bwana!! Kwenye ulimwengu wa Giza kuna hasira Kali. Kuna kitu Rais Magufuli alikiamua na watu hawakizungumzii moja kwa moja lakini ndiyo chimbuko LA hasira japo baadhi ya waliokasirika sana hata hawajui kwa nini wana hasira kubwa hivyo. Kitu chenyewe ni kutokufungwa kwa nyumba za ibada!! Hapa Tanzania tumemheshimu sana Mungu na tumemtanguliza Mungu mbele kuliko mikakati mingine yote!! Watu wanakejeli!! Watu wanabeza!! Lakini nikwambie hao wote wanaobeza kuna siku watatafuta mahali pa kuficha nyuso zao!! Mungu atailinda Tanzania kwa dhahiri kama alivyiheshimika kwa dhahiri!!
Kweli wewe Mbinguni kwetu kwa hiyo Mungu anaguswa na Nyumba za Ibada kutokufungwa.Aisee mnapata wapi hayo maandiko hebu tafuteni kumwabudu Mungu katika Roho na kweli halafu nenda kasome Mambo ya Walawi sura ya 13 na 14 mpaka 15 jinsi ya kudili na magonjwa ya mlipuko badala ya kuja na Mihemko
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Tusali kwa lipi?
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
tupe mwanga kidogo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita hii ni ya Bwana!! Kwenye ulimwengu wa Giza kuna hasira Kali. Kuna kitu Rais Magufuli alikiamua na watu hawakizungumzii moja kwa moja lakini ndiyo chimbuko LA hasira japo baadhi ya waliokasirika sana hata hawajui kwa nini wana hasira kubwa hivyo. Kitu chenyewe ni kutokufungwa kwa nyumba za ibada!! Hapa Tanzania tumemheshimu sana Mungu na tumemtanguliza Mungu mbele kuliko mikakati mingine yote!! Watu wanakejeli!! Watu wanabeza!! Lakini nikwambie hao wote wanaobeza kuna siku watatafuta mahali pa kuficha nyuso zao!! Mungu atailinda Tanzania kwa dhahiri kama alivyiheshimika kwa dhahiri!!

Mungu ana Kanuni(principles) za kusikia na kujibu MAOMBI ya watu wake.
Kama wewe ni mkristo kweli fuatilia Habari ya Nabii Yona alipotumwa na Mungu kwenda Jiji la Ninawi baada ya maasi. Mungu alikuwa amedhamiria kuiangamiza Ninawi lakini aligaili baada ya Mfalme, Watu kuvaa magunia na Wanyama kutubu dhambi na makosa yao!!
Je, Magufuli na Watz na Wanyama wamefanya hivo?
Bila TOBA ya kweli Mungu hawezi kusikia maombi ya Mnafiki!
 
Mungu ana Kanuni(principles) za kusikia na kujibu MAOMBI ya watu wake.
Kama wewe ni mkristo kweli fuatilia Habari ya Nabii Yona alipotumwa na Mungu kwenda Jiji la Ninawi baada ya maasi. Mungu alikuwa amedhamiria kuiangamiza Ninawi lakini aligaili baada ya Mfalme, Watu kuvaa magunia na Wanyama kutubu dhambi na makosa yao!!
Je, Magufuli na Watz na Wanyama wamefanya hivo?
Bila TOBA ya kweli Mungu hawezi kusikia maombi ya Mnafiki!
Ubarikiwe Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Haya sio maharage ya mbeya tu, ni Mbeya Mwakareli!!
 
Usidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu

Nchi ipo shwari

Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
Unashema?
IMG_20200511_162755.jpg
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Kama sio korona basi na namwomba Mungu mapenzi yake yatimie na iwe hivyohivyo kama ulivyotabiri!
 
Ungefunguka kidogo, prophet
Kama kweli yanayo fanyika siyo sahihi sidhani Mungu atavumilia mambo ya kijinga hivyo lazima tuchapwe. Kama kweli tunasimamia mema ghadhabu ya Mungu itatuepuka na tutabaki salama.

Watu wengi hawashiriki katika vita kwa kuwa pengine wananyonyesha, wamebaki nyumbani kuhudumia familia au ni wadhoofu kiafya.
 
Back
Top Bottom