Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Hakuna lolote
 
Vita hii ni ya Bwana!! Kwenye ulimwengu wa Giza kuna hasira Kali. Kuna kitu Rais Magufuli alikiamua na watu hawakizungumzii moja kwa moja lakini ndiyo chimbuko LA hasira japo baadhi ya waliokasirika sana hata hawajui kwa nini wana hasira kubwa hivyo. Kitu chenyewe ni kutokufungwa kwa nyumba za ibada!! Hapa Tanzania tumemheshimu sana Mungu na tumemtanguliza Mungu mbele kuliko mikakati mingine yote!! Watu wanakejeli!! Watu wanabeza!! Lakini nikwambie hao wote wanaobeza kuna siku watatafuta mahali pa kuficha nyuso zao!! Mungu atailinda Tanzania kwa dhahiri kama alivyiheshimika kwa dhahiri!!
Mchimba kaburi huingia mwenyewe.

You are trying to prove the proverb wrong, we are watching you.
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.

Amen
Mungu afanyi kama ww unavyosema mkuu, kwani kuweka wazi ili watu wajue wanaombea nn ni kosa ? mbona mnafanya mambo ya Mungu kama michezo ya kubahatisha ? ili lolote baya likitokea basii ubebe bango ooooh tulisema watu waombe, sasa tunaombea nn mtumishi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukitokea tetemeko utakuwa umepatia, kukitokea njaa utakuwa umepatia, kiongozi akitutoka utakuwa umepatia, machafuko yakitokea utakuwa umepatia. Janga lolote lile utakuwa umepatia kwa sababu utabiri wako ni utabiri wa lolote kutokea.
 
Unapomuomba Mungu ni lazima kuhakikisha kuwa uko msafi kiroho mbele zake ndipo anapokea maombi yako. Kulitaja tu jina la Yes hadharani ili kuonekana Mtakatifu ni sinema tu. Tunaambiwa kuwa hata Shetani huwa analitaja jina la Yesu tena kwa kutetemeka. Tafakari
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.

Amen

Haujaacha upuuzi? Kila baya utakalo nchi hii haliwi, kila unalotabiri haikiwi!!!

Una roho mbaya sana na umeandika hapa kwa baya lolote na hauwezi kusema specific

Mchawi
 
Usijizibe MACHO na MASIKIO kwa vidole,

La MIPAKA lilisemwa , UKABISHA KWA KEJELI,

MIPAKA HAIJAFUNGWA?
 
Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.

Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.

Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.

Amen

Unapiga sana ramli! Siku hizi tumekuzoea na habari zako za uwongo!
 
Back
Top Bottom