Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mimi nimegundua star tv hawasomi habari mpaka itv waisome kwanza
Ili waangalizie kichwa cha habari
Pili nimegundua baskeli iliyotolewa break inakimbia sana kuliko yenye breack
Na wewe umegundua nini
leta factWrong.
Labda kesho watatuwekea tena.Afadhali kwa usiku huu vingeendelea mmh
Waweke tu kwanza tutakuwa tumelala baada ya mkeshaLabda kesho watatuwekea tena.
Unaweza kujaribu vodka na Maziwa.. maarufu kama White Russian!Kajaribu. .
RIP in advance 😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiwa ndani peke yako ukajamba, ni lazima mtu unayemheshimu atokee ghafla akute harufu ya ushuzi wako
Awamu ya 6 na awamu ya pili ni nduguMimi nimegundua star tv hawasomi habari mpaka itv waisome kwanza
Ili waangalizie kichwa cha habari
Pili nimegundua baskeli iliyotolewa break inakimbia sana kuliko yenye breack
Na wewe umegundua nini
Ninywe mara ngapi? Hii ndiyo ilikuwa tabia yangu miaka fulani. Hata ninywe namna gani sitalala bila kupata glass ya maziwa.Kunywa pombe unywe na maziwa mlevi sugu.
RIP in advance
Nimegundua kwamba mleta mada ni naniliuMimi nimegundua star tv hawasomi habari mpaka itv waisome kwanza
Ili waangalizie kichwa cha habari
Pili nimegundua baskeli iliyotolewa break inakimbia sana kuliko yenye breack
Na wewe umegundua nini
Uongooo,kama hivyo wamasai walevi wote wangekufaga kitamboo,ukweli ni kinyume wazee wa kimasai pombe ikimzidia hunywa maziwa fresh kukata ulevi fasta sanaTrue. Pombe na maziwa hatari. Usije jaribu. .
Uzushi uliotukuka. Ningekufa siku nyingi sana from Konyagi na Maziwa fresh a.k.a Amarula ya mchongo.Kunywa pombe unywe na maziwa mlevi sugu.
RIP in advance
Na attentionNimegundua unatafuta Replies na Reactions...