Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshafika
Nashangaa wakati mwingine unaandika nyuzi ya kawaida tu, ila watu wanareply haiwezekani, chai, uongo 😵. Mngejua, kuna mambo ya kustaajabisha watu wameyabeba moyoni, hawawezi tu kusema na hata wakisema hamtawaamini.
Anyway, hivyo vibao viwaburudishe (mimi yangu ya moyoni ambayo siwezi kuyasema yametajwa kidogo kwenye hizi nyimbo)
View: https://youtu.be/yM_0BhO4UAk?si=4RtKKNwAe54I4hLE
View: https://youtu.be/0wfWPRXHodY?si=UdiX9gVt73qvhHAg
Dogo enzi hizo video kuiona mara3 tu Kwa mwaka au usibahatike kabisa kuiona huko kijijn mwaka mzima!Uoga wenu yote ilikuwa wenge la woga wa kitoto,bila shaka mchana wa siku hiyo mlitoka juangalia movie la kichina la mafisi
same hapa mkuusija wahi vuta sigara, kunywa pombe au kilevi chochote toka nizaliwe
Nashangaa wakati mwingine unaandika nyuzi ya kawaida tu, ila watu wanareply haiwezekani, chai, uongo 😵. Mngejua, kuna mambo ya kustaajabisha watu wameyabeba moyoni, hawawezi tu kusema na hata wakisema hamtawaamini.
Anyway, hivyo vibao viwaburudishe (mimi yangu ya moyoni ambayo siwezi kuyasema yametajwa kidogo kwenye hizi nyimbo)
View: https://youtu.be/yM_0BhO4UAk?si=4RtKKNwAe54I4hLE
View: https://youtu.be/0wfWPRXHodY?si=UdiX9gVt73qvhHAg
🤣Nikiwaambia mimi tajiri hamuamini, sijui ni wivu au Nini!
Theresa49 huyu ndo mzee wangu kataa ndoa maarufu Sana🤣😂Nasema nini......
Ndoa ni uhaini...😜
Kwamba ume endesha gari na lewis Hamilton ehh😂😂Mimi mengi sana. Saaana.
Daaah mkuu, pole sana, sanaaaa.Mm jambo ninalolisemaga na watu hawaamini ,ni pale nikiwaambia mama mtt wangu alinibakaa na cku aliponibaka akapata mimbaa iliyoleta mtt ambaye ss ana miaka 9....
Wanakataaga kbs wanasema mwanaume awezi kubakwa ,ila ndio ukweli nilibakwa Kwa kuwekewa kilevi na mdada wa miaka 33 mm Nilikuwa na miaka 23