Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Lazima una kilo 100 na zaidinaweza kaa bila kula zaidi ya siku 3, ila nikija kula naweza kula Mlo wa familia 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima una kilo 100 na zaidinaweza kaa bila kula zaidi ya siku 3, ila nikija kula naweza kula Mlo wa familia 3
Daah mix ya nyeto na chabo ni hatari sana. Mkuu uko sawa?Ni kweli kabisa unachosema
Mfano mimi watu wanaoniona hapa mtaani na limwili langu kubwa kama kijumba na wengi wananipa shkamoo maana naanza kuonekana mdingi mdingi ila huwa nawaza siku wakija kusikia mimi napigaga Nyeto na chabo sidhani kama watakaa waamini!
Hata 90 sifiki😂🤣Lazima una kilo 100 na zaidi
Hizo 80 ni nyingi twende gymHata 90 sifiki😂🤣
Kwa mtu mrefu na mwembamba ni sawa, gym hapana maisha yangu ni gym tosha.Hizo 80 ni nyingi twende gym
Haina ubishi hiyoChakula bora kuwahi tokea duniani ni nguruwe na ndizi rost 🐖🐖🐖
Daah Edo hata kama inabidi tuaminiane, kwa hili unatuchukuliaje kwani?Hamuezi amini kama sijawahi kuwa na demu😂
Hapo ujue tayari "Man down, call the amberlamps" 😂😂nime jikuta nacheka kwa nguvu, ila ni sawa.
Ndo hapo sasa hamuwezi kuamini daah🥲Daah Edo hata kama inabidi tuaminiane, kwa hili unatuchukuliaje kwani?
😂😂😂 Huyo mbuzi na aliweKuna siku mbuzi alinisemesha
Hapo ujue tayari "Man down, call the amberlamps" 😂😂
Malizia mkuu.. Then ikawajeTuliwahi kuona Mimi na jamaa zangu3 fisi kavaa gauni na ana simu shingoni anatembea Kwa miguu2.
Hili tukio lilitokea kipindi tunamfuata dada alienda kufuata mbegu za viazi (marando) Kijiji jirani.
Tulimsubiri Hadi saa3 usiku mzee akatuambia mfuteni Mimi nilikuwa mtu mdogo kuliko wengine na nilikuwa mbele na tochi zile za zamani baada ya kuona nikajua nimeona mwenyewe tu sikusema hapohapo .
Tulipo enda kama dk2 aliyekuwa nyuma yetu akaniuliza Ina maana wewe hujaona hiyo kitu?
Nikamwambia twendeni kwanza tutaongea nyumbani. Muda kama dk20 dada tukampata anakokota baiskeli imeharibika.
Baada ya kufika nyumbani tukaanza kueleza Kila mtu na ni kweli Kila mtu aliona Ile fisi ya maajabu maana nilimulika kichwani sikuamini nilichoona ghafla nik
amlika chini badae akili ikaniambi nimlike zile nyayo ni kweli zilikuwa za fisi.
Tuliwaambia watu hakuna Aliye amini ila baada ya siku kadhaa kupita bibi Fulani akatuita tukiwa tunatoka shule na kutuuliza fln eti mliona Nini njiani siku Ile?
Nikasema hatukuona kitu jamaa mkubwa wetu akasema tulikuona wewe!!
Safi kabisasija wahi vuta sigara, kunywa pombe au kilevi chochote toka nizaliwe
Nashangaa wakati mwingine unaandika nyuzi ya kawaida tu, ila watu wanareply haiwezekani, chai, uongo 😵. Mngejua, kuna mambo ya kustaajabisha watu wameyabeba moyoni, hawawezi tu kusema na hata wakisema hamtawaamini.
Anyway, hivyo vibao viwaburudishe (mimi baadhi ya yale ya moyoni ambayo siwezi kuyasema yametajwa kidogo kwenye hizi nyimbo)
View: https://youtu.be/yM_0BhO4UAk?si=4RtKKNwAe54I4hLE
View: https://youtu.be/0wfWPRXHodY?si=UdiX9gVt73qvhHAg