Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #41
Kama kachawi

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kachawi

Naam jembe langu, KATAA NDOA uishi vyemaNdio wazingatie ushauri wangu..😊
Yeah npo sawa sana mkuu ,yalishapitaaa ila jamii hawezi kukubali wanajuaga wanawake ndio wabakwaji tu na c wanaumee🤔Daaah mkuu, pole sana, sanaaaa.
Hili siyo jambo dogo na lina athari kubwa sana kisaikolojia. I hope uko sawa!
🤣 Unataka na wewe kikombe shekhe?Chai ya usiku hii 😃😀😄
Nipe chupa yote 🤣🤣🤣🤣 Unataka na wewe kikombe shekhe?
Unapenda vya kupewa, eenhe ?Nipe chupa yote 🤣🤣🤣
Mimi naamini Raisi wa majobless pro maxNaweza kaa mwezi mzima bila kulala.
آمين. نسأل الله أن يحمينا جميعًا ويهدينا إلى الصراط المستقيم.أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
بِسْمِ اللهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيْمِ
Pole sana maiNilimwambia nampenda kweli hakuamini.....
nime jikuta nacheka kwa nguvu, ila ni sawa.أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
بِسْمِ اللهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيْمِ
Hili ni tatizo kubwa sana kwenye jamii zetu. Wavulana na wanaume pia wanaweza kubakwa, elimu zaidi inahitajika!Yeah npo sawa sana mkuu ,yalishapitaaa ila jamii hawezi kukubali wanajuaga wanawake ndio wabakwaji tu na c wanaumee🤔
Usiniambie, next time unichukue na mimi basi twende wote kwenye sayari yenu.Mimi ni Alien huwezi amini