Kila mtu ana jambo lake ambalo anajua akilisema watu hawatamuamini

Kila mtu ana jambo lake ambalo anajua akilisema watu hawatamuamini

You think I can't play for makutupora do I look like a hooligan Theresa49
Nimecheka sana, eti a hooligan 🤣
giphy.gif
 
Mtaani kwangu wananiita Mbunge. Matatizo yote ya mtaa nasolve

Nimewajengea shule, zahanati na kuwachimbia visima bure kabisa

Mabinti wa secondary nimewajengea sehemu ya kusomea karibu na kwangu kwaajili ya ulinzi na kuwaepusha kutembea umbali mrefu kwenda kujisomea
kuna jamaa mtaani anaitwa mbunge
hii inafuatia tabia yake ya kupenda kutuma watu huku yeye amekaa tu kama mbunge hana afanyalo
 
Duuh kiongozi hili jambo zito, pole sana una watu huwa unaongea nao kuhusu hili?
Usiombe Mungu akuue, bado tunakuhitaji.
makutupora pole sana bruh!! Usichukue maamuzi mabaya wala kujiombea mabaya

zaidi shukuru kwa hali hiyo kila unapomwomba Mungu!! Shukuru kwa kila jambo japo ni ngumu na inaumiza jipe moyo, amini unaenda kukutana na amani iliyo Bora kuliko mpenzi uliyetegemea awe amani kwako!!

Ndugu yangu fanya maamuzi sahihi, tumia muda mwingi kutafakari maisha yako kwenye positive view! Penda kusikiliza nyimbo km ni mpenzi wa nyimbo lkn ziwe za furaha zaidi, changamana na watu kiasi, ongea mwenyw kutoa kilicho ndani yako!


Nakutakia khery asubuhii ya Leo unaenda kuwa sawa,
 
makutupora pole sana bruh!! Usichukue maamuzi mabaya wala kujiombea mabaya

zaidi shukuru kwa hali hiyo kila unapomwomba Mungu!! Shukuru kwa kila jambo japo ni ngumu na inaumiza jipe moyo, amini unaenda kukutana na amani iliyo Bora kuliko mpenzi uliyetegemea awe amani kwako!!

Ndugu yangu fanya maamuzi sahihi, tumia muda mwingi kutafakari maisha yako kwenye positive view! Penda kusikiliza nyimbo km ni mpenzi wa nyimbo lkn ziwe za furaha zaidi, changamana na watu kiasi, ongea mwenyw kutoa kilicho ndani yako!


Nakutakia khery asubuhii ya Leo unaenda kuwa sawa,
Asante sana Mkuu! Ubarikiwe sana sana Sanaa!

I appreciate 🙏
 
A
Asante sana Mkuu! Ubarikiwe sana sana Sanaa!

I appreciate 🙏
meñ.....

Fanya hivyo mkuu!

Difficulties ni nyingi sana lkn sintojiua kisa mapenzi, ugumu wa maisha ninaopitia au circumstances yoyote!

Bora nife kivingne na sipo tyr kujiombea mabaya hata mara moja!

Nakusihi tafuta watu unaowaamini ukihisi upweke, hofu au huzuni zungumza nao upate relief, imba toa sauti, zungumza mwenyw as if una convo na mtu! Sipendi kuwaza sana sometimes naona sitaki kuchanganyikiwa nikawa mzigo kwa watu!

Nikutakie khery Tena, ukawe sawa kiakili, kimwili ukavuke kwenye mitihani unayopitia! Amen
 
A

meñ.....

Fanya hivyo mkuu!

Difficulties ni nyingi sana lkn sintojiua kisa mapenzi, ugumu wa maisha ninaopitia au circumstances yoyote!

Bora nife kivingne na sipo tyr kujiombea mabaya hata mara moja!

Nakusihi tafuta watu unaowaamini ukihisi upweke, hofu au huzuni zungumza nao upate relief, imba toa sauti, zungumza mwenyw as if una convo na mtu! Sipendi kuwaza sana sometimes naona sitaki kuchanganyikiwa nikawa mzigo kwa watu!

Nikutakie khery Tena, ukawe sawa kiakili, kimwili ukavuke kwenye mitihani unayopitia! Amen
Nimefarijika sana Mkuu!

Maneno yako yamejaa nguvu na Upendo. Umeyasema kutoka moyoniiii!

Nashukuru sana sana ... Na iwe kwangu na Zaidi kama ulivyosema!

Hapa lazima nivuke! Na lazima nije nitoe ushuhuda
 
Naa
Nimefarijika sana Mkuu!

Maneno yako yamejaa nguvu na Upendo. Umeyasema kutoka moyoniiii!

Nashukuru sana sana ... Na iwe kwangu na Zaidi kama ulivyosema!

Hapa lazima nivuke! Na lazima nije nitoe ushuhuda
Napenda kuona watu wakiwa na amani ya kawaida japo life has a lot of surprise, but we need kuwa stable kiakili ili uweze kuhandle all of your activities!

Kama mkristo sali, omba , funga achana na maneno humu ya watu kuhusu Imani,

Wengine familia zao hazina makandokando mambo yao Yana flow as they wish,

Wengine familia zetu ndo kila kukicha ni kulipa karma za wengine bila kusimama hasa ni ngumu mzee wangu!

Ikawe khery mwanangu
 
Nashangaa wakati mwingine unaandika nyuzi ya kawaida tu, ila watu wanareply haiwezekani, chai, uongo 😵. Mngejua, kuna mambo ya kustaajabisha watu wameyabeba moyoni, hawawezi tu kusema na hata wakisema hamtawaamini.

Anyway, hivyo vibao viwaburudishe (mimi baadhi ya yale ya moyoni ambayo siwezi kuyasema yametajwa kidogo kwenye hizi nyimbo)


View: https://youtu.be/yM_0BhO4UAk?si=4RtKKNwAe54I4hLE



View: https://youtu.be/0wfWPRXHodY?si=UdiX9gVt73qvhHAg

Umenena mkuu, kuna mtu ana mawazo ya kumpindua Rais madarakani, lakini akieleza hizo hisia zake utasikia "unaota wewe"
 
Mwaka 2013 alikujaga mzee mmoja nyumbani wakawa wanaongea na mshua ila mimi sikuwazingatia nikaendelea na mishe zangu. Sasa baada ya muda mshua akaniita, nikaenda pale walipokuwa wanaongea na yule mzee. Mshua akaniambia yule mzee anataka anipe kazi, nikauliza kazi gani, akasema kazi ya kuweka sukari kwenye matunda. Nilishangaa sana maana mimi nilikuwa najua utamuu wa matunda ni natural, akasema hapana, ile ni sukari huwa inawekwa ila ni siri kubwa sana.

Kwa hiyo yule mzee alinichukua, akanifundisha na mpaka sasa ndo kazi yangu. Matunda yote mnayokula sukari huwa naweka mimi ila najua hamtaniamini...
 
Back
Top Bottom