Kila mtu ana jambo lake ambalo anajua akilisema watu hawatamuamini

Kila mtu ana jambo lake ambalo anajua akilisema watu hawatamuamini

Wamatumbi mnaamini kuna watu Wanapaa na ungo, mnaamini miujiza, mnaamini kuna misukule, mnaamini ushirikina upo na unafanya kazi. Tayari mnaamini ujinga mwingi you might as well amini kila kitu without any sort of reasoning whatsoever.
 
Wakati nasoma a-level nilikua mkali wa mchezo wa draft shule nzima. Siku moja nikacheza na mshkaji mmoja hivi wa kawaida tu, nikamchukulia poa si akanipiga super bhana. Akatoka kwa shangwe kwenda kutangaza kanipiga super bahati mbaya kwake hakuna aliemuamini na wakati tunacheza tulikua wawili tu kwaiyo hata shahidi hakuna na mimi nikakataa hajanifunga.

Baada ya kelele zake kuzidi tukapiga game ya wazi mbele ya watu game 5 nikampiga zote. Mpaka tunaondoka shuleni hakuna aliyewahi kumuamini kama alinipiga super
Ndo shida ya kuwa underground 🤣🤣 unajipinda unafanya research ya kitu unampa jamaa asome anapita nayo ! Anaandika yeye anapresent yeye unaliwa kichwa na ukienda kushtaki unaambiwa huyu jamaa anazo research zaidi ya 50 we huna hata moja.

Kinachowatokea wasanii pia !
 
Naa

Napenda kuona watu wakiwa na amani ya kawaida japo life has a lot of surprise, but we need kuwa stable kiakili ili uweze kuhandle all of your activities!

Kama mkristo sali, omba , funga achana na maneno humu ya watu kuhusu Imani,

Wengine familia zao hazina makandokando mambo yao Yana flow as they wish,

Wengine familia zetu ndo kila kukicha ni kulipa karma za wengine bila kusimama hasa ni ngumu mzee wangu!

Ikawe khery mwanangu
Asantee sana sana brother
 
Back
Top Bottom