KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kila mtu kuna madhabahu yake anayotoa sadaka, wengine madhabahu zao ni bar, wengine kwenye vinena vya malaya, wengine kwa waganga, wengine ni kwenye perfumes za bei mbaya, wengine kwenye simu, wengine kwenye magari ya kifari.
Kule pesa yako nyingi iendako, ndiko kwenye madhabahu yako.
Kule pesa yako nyingi iendako, ndiko kwenye madhabahu yako.