Kila mtu kuna madhabahu yake anayotoa sadaka, wengine madhabahu zao ni bar, wengine kwenye vinena vya malaya, wengine kwa waganga je wewe unatoa wapi?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Kila mtu kuna madhabahu yake anayotoa sadaka, wengine madhabahu zao ni bar, wengine kwenye vinena vya malaya, wengine kwa waganga, wengine ni kwenye perfumes za bei mbaya, wengine kwenye simu, wengine kwenye magari ya kifari.

Kule pesa yako nyingi iendako, ndiko kwenye madhabahu yako.
 
Cha ajabu sadaka ya shilingi 1,000/= tu anayopewa Mungu inaweza kunungunikiwa mwaka mzima.

Lakini Sadaka ya 100,000/= anayopewa Malaya na ugonjwa akamuachia mtoaji, hiyo Huwa haimuumizi mtoaji.

Ila ngoja siku yamkute, afya shida, Malaya kapotea, Ndugu wako mbali, ndio utasikia huyo Mungu anavyotajwa!
 
Igweeeeeeeee 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…