Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama kina wenyewe. Na wenyewe wana makazi chini ya mlima mrefu
View attachment 2074380
View attachment 2074381
Hahahaaaa........kuna bwege mmoja wa Bavicha alikuwa anabisha.Chama kina wenyewe. Na wenyewe wana makazi chini ya mlima mrefu
View attachment 2074380
View attachment 2074381
Ni kuheshimiana tuuChama kina wenyewe. Na wenyewe wana makazi chini ya mlima mrefu
View attachment 2074380
View attachment 2074381
Spika akiwa mtu tajiri ni nafuu zaidi kuliko aliyezaliwa kwenye umaskini akakulia umaskini. Mfano ni Polepole, Kabudi, Bashiru, Makonda, NdugaiChama kina wenyewe. Na wenyewe wana makazi chini ya mlima mrefu
View attachment 2074380
View attachment 2074381
Kama na Ndugai, Kabudi, makonda, bashiru et alBavicha wengi dishi liko tenge
Ndio ujue hawa wana siasa wengi ni wajinga wajinga tu na wapigaji waliopata nafasi hizo kwa ujinga wa wanyonge wengi.Chenge ni mshirika wa Peter Msigwa
Nafikiri unagenda rofauti kati hoja ya juu na hoja ya chiniSpika akiwa mtu tajiri ni nafuu zaidi kuliko aliyezaliwa kwenye umaskini akakulia umaskini. Mfano ni Polepole, Kabudi, Bashiru, Makonda, Ndugai
Nadhani nimeeleweka.
Hawa jamaa walipata fursa kipindi chao. Kwakuwa ni wanyonge kama sisi tulidhani tumepona. Lakini katika kipindi chao Utekaji, mauwaji, uhuru wa habari, uhuru wa kutoa maoni ukawa hatarini.
Spika akiwa mtu tajiri ni nafuu zaidi kuliko aliyezaliwa kwenye umaskini akakulia umaskini. Mfano ni Polepole, Kabudi, Bashiru, Makonda, Ndugai
Nadhani nimeeleweka.
Hawa jamaa walipata fursa kipindi chao. Kwakuwa ni wanyonge kama sisi tulidhani tumepona. Lakini katika kipindi chao Utekaji, mauwaji, uhuru wa habari, uhuru wa kutoa maoni ukawa hatarini.
hahahaha kila chama huwa tunawaambia kina wenyewe...Lema ni mmoja wa wenyewe pia..
Wenyewe walivyotaka EL awe akawa...na wakuja walivyopinga walitulizwa..