Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Joka La Kijani Andrew Chenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joka La Kijani Andrew Chenge
Hiyo amri ni kali kweli kweli. Imenikumbusha maneno ya Yesu wakati akiulizwa maswali akawa anawajibu kwa kifupi Wewe wasema! Sasa imekuja Futa na kweli mtu katii na kufuta mithili ya mapepo yanapotii amri za mitume na manabii!!Chama kina wenyewe. Na wenyewe wana makazi chini ya mlima mrefu
View attachment 2074380
View attachment 2074381
Akafuta!Hakumwambia kwa kumuamrisha kama mnavyotaka kupotosha au kucapitilize kwenye kinachoendelea huko CCM, bali alimwambia kwa utani wenye mantiki ya kuwa, huyo anayempendekeza ni sehemu ya cancer iliyopo kwenye mifumo yetu.
FutaKila mtu na mtu wake...
Akafuta!
Hata NDUGAI alitoa mawazo yake. Kilichompata, sina shaka unakijua!Kwahiyo uhuru wa kutoa maoni wanaoupigania hata huko kwao hakuna? Msigwa si ametoa tu maoni yake tena kupitia page yake binafsi? CHADEMA wanafiki sana