Kila Mwanamke Ana Wanaume Watatu

Hapo nyuma nilikuwa "the guy with no chance" kwa mdada flani,akanipiga hela haf akaniambia tuachane,nilikubali bila kinyongo na sijutii lolote ambalo nimemfanyia ikiwemo hela nilizompa,.

FUNZO:sitaki Tena kwenye Hilo kundi au hio sehemu ya "the guy with no chance"
 
Ukweli mtupu ndio maana kidume always have three or more women.
Wee gegeda tuu wala usiwe na presha eti am in a relationship na huyu mwanamke hivyo i shuld not cheat...utakuja saga meno.
Wee gegeda wanawake wengi kadri uwezavyo pamoja na kiwa na main chick.

Afterall all women are after the lifestyle u can provide for them never inlove with u.
 
Afu kuna wanawake wana kuja kuolewa na guy with no chance wakikosa kuolewa na main guy na second guy wanamvisha the guy with no chance bomu la ndoa. 😂😂😂
 
Kikubwa wote wanakula kitumbua kimoja
 
Afu kuna wanawake wana kuja kuolewa na guy with no chance wakikosa kuolewa na main guy na second guy wanamvisha the guy with no chance bomu la ndoa. 😂😂😂ni hatari Sana

Afu kuna wanawake wana kuja kuolewa na guy with no chance wakikosa kuolewa na main guy na second guy wanamvisha the guy with no chance bomu la ndoa. 😂😂😂
Yani ni noma sana
Ndio maana watu tunachagua kuwa bad boys tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…