Kila Mwanamke Ana Wanaume Watatu

Kila Mwanamke Ana Wanaume Watatu

Kama ni kweli,Mimi nimeangukia Sana kundi la pili...la kwanza labda mara Moja mbili maishani, la tatu Mimi sio boya kiivo.
Mimi Kuna Wanawake wakinitafuta tu,najua huko kimeshanuka na mwenzie.

Sema ndio hivo , watoto wetu wanalelewa na wenzetu.
 
The guy with no chance na the backup guys wote ni simps, bad news huwa wanajua but they ignore na kujijaza na matumaini hewa

mwanamke ambae option alizokuwa anazitegemea zikimpiga chini, anampa chance the lowest bidder just kuficha failure yake, matokeo yake ni kwamba mle kwenye ndoa huyo guy ataenda kukiona

Mwanaume wa kweli usikubali kuwa last option, haijalishi mwanamke anakuvutia vipi, ukikubali tu hiyo dhamani yako imeshuka forever, rather stay single than being the last guy on the list
Hahaha
 
Na kwanini utoe mahari kwa mwanamke ambaye hakupendi. Ni rahisi sana kufahamu kuwa mwanamke hakupendi, anakutumia tu.
Inatokea sana hii, familia zina nguvu ya ku force mwanamke aolewe na mtu asiempenda, matokeo ya ndoa hiz huwa zinaonekana mbeleni.
Ila kamw mwanaume unatakiwa ufaham hili waaay back, itakuokoa sana
 
Inatokea sana hii, familia zina nguvu ya ku force mwanamke aolewe na mtu asiempenda, matokeo ya ndoa hiz huwa zinaonekana mbeleni.
Ila kamw mwanaume unatakiwa ufaham hili waaay back, itakuokoa sana
Kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom