Kila Mwanamke Ana Wanaume Watatu

Kila Mwanamke Ana Wanaume Watatu

Wa kwanza ni The Main Guy – Yule ambaye anampenda na kuvutiwa naye. Huyo mara nyingi hajali sana kuhusu yeye.

Kisha kuna wa pili, The Backup Guy – Kawaida ni mwanaume mzuri anayemtaka. Ni mzuri lakini yeye hamvutii. Anakuwa rafiki tu, na anahifadhiwa endapo yule anayempenda atamvunja moyo.

Huyu ndiye mtu anayepewa umakini wakati yule wa kwanza hajampa. Pia, ni yule anayezingatiwa kuanzisha uhusiano naye ikiwa The Main Guy atamvunja moyo.

Kisha kuna wa tatu, The Guy With No Chance. Huyu huitwa, "mwanaume asiye na nafasi." Huyu ni mtu ambaye hata malaika Mikaeli na Gabrieli wakimuomba amchague, hatakubali. Hana nafasi kabisa.

Mwanamke anaamka asubuhi, akiwa na matumaini kwamba The Main Guy atamtumia ujumbe. Anatarajia, anaomba, na kuomba kimya kimya. Hawezi kumwambia jinsi anavyotaka amtumie ujumbe, lakini anatarajia atapata wazo hilo na kufanya hivyo.

Kisha The Backup Guy anatuma ujumbe, "Habari ya asubuhi, Malaika." Wanaume hawa wa pili ni wazuri sana kwa hilo. Labda atampuuza, au atajibu tu ili asimwumize hisia zake.

Kisha The Guy With No Chance anatuma ujumbe. Huyu ni mbaya zaidi. "Habari ya asubuhi, Malaika." Anampuuza. Kisha anaendelea: "Naomba ulilala salama, Malaika?" Anampuuza tena. Kisha anaongeza: "Nilikuota usiku wa jana. Niliota umeshika ua nami nakuimbia." Bado anampuuza.

Kisha anamuuliza: "Naomba umekula leo asubuhi?" Hapa, mwanamke ana chaguzi mbili. Baadhi yao watampuuza tu. Wengine watatumia fursa hiyo kujibu.

Ikiwa atajibu, majibu yake yanaweza kuwa hivi: "Habari ya asubuhi mpendwa. Awwn, ni vizuri kuuliza kama nimekula au la. Kwa kweli, bado sijakula, unaweza kunipa elfu 5 kwa ajili ya kifungua kinywa?"

Yeye: "Tuma namba ya akaunti." Anatuma, na yeye anatuma pesa. Mwanamke: "Awwn! Asante! Hata umetuma elfu 7 badala ya elfu 5 nilizoomba. Wewe ni mwanaume wa kweli. Umenifurahisha sana."

Yeye: (Akiwa amejawa na furaha) "Sasa utaendelea kufanya nini leo, mpenzi?" Mwanamke: Anampuuza tena. Akilini mwake, anasema, mtcheew, nani ni mpenzi? Kisha anamjibu tena pale tu anapohitaji pesa.

Ikiwa uko na mwanamke, unatakiwa kujua kama wewe ni The Main Guy, The Backup Guy, au The Guy With No Chance. Lakini, haijalishi nini kitatokea, usiwe kama The Guy With No Chance. Jina lingine la The Guy With No Chance ni SIMP!
Acha hizi nadharia za mapenzi vijana zitawaua.

Tafuta vitu vingine vya kujipatia furaha ila si wanawake au wanaume.

Maisha yamevutuga watu hakuna aliyesalama, mke na mume wote wamekuwa hamnazo kwenye mapenz

Tafuta kitu kinachokupa furaha au huzuni nje yamapenzi utayafutahia maisha.

Tafuta mwanamke au mume Ambae unahisi hatakupa presha zaa nae idadi yawatoto unaowataka ikitimia mlie timing akizungua achana nae Lea watoto wako.

Vijana Kuna vitu vingi vyakufurahia hapa dunia mpaka mapenzi yenyewe yanaomba sub.

Kam hujui nitafuteni mim pm niwape vitu, yaan mpaka mapenz nakuambia hutayakumbuka
 
Ni mindset za kigalatia hizi. Mahusiano yako na Mungu ni mabaya ndo maana uko hapa kusema mwanamke ana wanaume watatu, ungekuwa na mahusiano mazuri na Mungu, ungempata mwanamke wa peke yako.
Mahusiano yake na sir God ndio yanamponza
 
Bora wanawake wao Wana wanaume 3, ukija kwa wanaume sasa ndo nisiseme kabisa😂
 
Lakini vp mkuu ulipata chochote kitu?😊
Hata busu sikupata mkuu.
Nikaachana naye tuu na namba yake Bado ninayo na Nina view status zake tuu bila kinyongo

Au Kuna shidoo??
 
Afu kuna wanawake wana kuja kuolewa na guy with no chance wakikosa kuolewa na main guy na second guy wanamvisha the guy with no chance bomu la ndoa. 😂😂😂
The guy with no chance na the backup guys wote ni simps, bad news huwa wanajua but they ignore na kujijaza na matumaini hewa

mwanamke ambae option alizokuwa anazitegemea zikimpiga chini, anampa chance the lowest bidder just kuficha failure yake, matokeo yake ni kwamba mle kwenye ndoa huyo guy ataenda kukiona

Mwanaume wa kweli usikubali kuwa last option, haijalishi mwanamke anakuvutia vipi, ukikubali tu hiyo dhamani yako imeshuka forever, rather stay single than being the last guy on the list
 
Acha hizi nadharia za mapenzi vijana zitawaua.

Tafuta vitu vingine vya kujipatia furaha ila si wanawake au wanaume.

Maisha yamevutuga watu hakuna aliyesalama, mke na mume wote wamekuwa hamnazo kwenye mapenz

Tafuta kitu kinachokupa furaha au huzuni nje yamapenzi utayafutahia maisha.

Tafuta mwanamke au mume Ambae unahisi hatakupa presha zaa nae idadi yawatoto unaowataka ikitimia mlie timing akizungua achana nae Lea watoto wako.

Vijana Kuna vitu vingi vyakufurahia hapa dunia mpaka mapenzi yenyewe yanaomba sub.

Kam hujui nitafuteni mim pm niwape vitu, yaan mpaka mapenz nakuambia hutayakumbuka
Tunakuja.
 
The guy with no chance na the backup guys wote ni simps, bad news huwa wanajua but they ignore na kujijaza na matumaini hewa

mwanamke ambae option alizokuwa anazitegemea zikimpiga chini, anampa chance the lowest bidder just kuficha failure yake, matokeo yake ni kwamba mle kwenye ndoa huyo guy ataenda kukiona

Mwanaume wa kweli usikubali kuwa last option, haijalishi mwanamke anakuvutia vipi, ukikubali tu hiyo dhamani yako imeshuka forever, rather stay single than being the last guy on the list
Hii naishi nayo kuwekwa kiporo mm nasema nitakaa kwa muda ila nikisha kula nita show unyama wangu
 
Back
Top Bottom