Kila Mwanamke Ana Wanaume Watatu

Na walioolewa wana wanaume wangapi ? Mume wa ndoa ni Main, backup au ?
 
Wanawake ni viumbe wa kupuuzwa tu, wawe wema au wabaya, hawana umuhimu mkubwa kuzidi majukumu ya kila siku ya mwanaume, jukumu la mwanaume ni kumuongoza mwanamke,kumlisha na kumvalisha. Hiyo ni option Kama huyo mwanamke siyo mwanamke wa ndoa, kuwa backup guy,guy with no chance cjui au main guy ni namna unavyoamua kumanipulate nature yako Kama mwanaume.

Usihakikishe wewe ni mwanaume wa Aina gani kati ya hao uliowataja, hakikisha wewe ni mwanaume mwenye uwezo wa kumpata mwanamke yoyote unaemtaka, hata Kama ni siku moja, hakikisha ni hivyo, akiwa mwanamke mwema tumia muda mrefu kuhakikisha, usije ukawa umeingia kwenye trap.

Ila Sasa hivi kupata mwanamke mwema ni ngumu sana, so Mara zote huwa naamini eat and run ni procedure ya maana kabisa kwenye kuimarisha Nguvu ya mwanaume Duniani.

NB: Wanaume tutafute zaidi pesa, tujijenge zaidi kimaendeleo, tupendeze sana, tusali sana, tufanye sana starehe😃😃 tunaweza kufanya vyote kwenye nyakati tofauti kwenye maisha yetu.
 
Suckers Idolizing Mediocre Pussy.
asante kamanda kwa kutoa somo

dunia ya leo imejaa wanawake THOTS - yaani "That Hoe Over There", wanaojirahisisha sana kwa wanaume for the sake of favour and delusional freedom

aisee kumpata wa peke yako ni ngumu sana

na hata ukimpata unaweza ukaharibu mambo kwa tamaa zako mwenyewe, ama akabadilika

binadamu hatuwezi kuishi kwa amani aisee

ukiwa kwenye mahusiano, enjoy it while it lasts
 
Umetumia ai kuandika hapo ?
 
Ni mindset za kigalatia hizi. Mahusiano yako na Mungu ni mabaya ndo maana uko hapa kusema mwanamke ana wanaume watatu, ungekuwa na mahusiano mazuri na Mungu, ungempata mwanamke wa peke yako.
Umeoa au kuolewa?
 
Lakini vp mkuu ulipata chochote kitu?😊
 
Nimtake wa nini malaya kama huyu? Kwenye maandishi anajifanya ameshika dini, lakini hana lolote.

Nawafahamu sana hawa. Ugali wanasongea msalaba. Lakini wafuate inbox, weeee! wanakata hadi wanadai nyongeza.
Duuuh kwa hio umenywea mzee mboni manzi bonge moja ya pisi hio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…