The guy with no chance na the backup guys wote ni simps, bad news huwa wanajua but they ignore na kujijaza na matumaini hewa
mwanamke ambae option alizokuwa anazitegemea zikimpiga chini, anampa chance the lowest bidder just kuficha failure yake, matokeo yake ni kwamba mle kwenye ndoa huyo guy ataenda kukiona
Mwanaume wa kweli usikubali kuwa last option, haijalishi mwanamke anakuvutia vipi, ukikubali tu hiyo dhamani yako imeshuka forever, rather stay single than being the last guy on the list